Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lampard bado ni small team coach..

Kuna theory rahisi sana ya mpira
"Never change a winning team"

Sasa pattern ya kante, kova na mount imekupa matokeo mazuri gemu kibao afu unaibadilisha kirahisi rahisi tu .

Eti unataka uaminishe watu kua unaeza fanya rotation na ukashinda...

Kingine, havertz anatakiwa abadilike, hajitumi ,, very weak link kwenye timu yetu..
Hana faida tukiwa na mpira na pia tusipokua na mpira..

Angetakiwa apigwe benchi awe anaingia timu ikishapata matokeo,, hadi atakapo kua tayari kufanya 100% commitment kwa timu...
Game ya leo hata baada ya sub ya kai hakuna chochote tulichokifanya, hakuna hata uhai ulioonekana
 
Lampard bado ni small team coach..

Kuna theory rahisi sana ya mpira
"Never change a winning team"

Sasa pattern ya kante, kova na mount imekupa matokeo mazuri gemu kibao afu unaibadilisha kirahisi rahisi tu .

Eti unataka uaminishe watu kua unaeza fanya rotation na ukashinda...

Kingine, havertz anatakiwa abadilike, hajitumi ,, very weak link kwenye timu yetu..
Hana faida tukiwa na mpira na pia tusipokua na mpira..

Angetakiwa apigwe benchi awe anaingia timu ikishapata matokeo,, hadi atakapo kua tayari kufanya 100% commitment kwa timu...
Mkuu umeongea ooint nzuri sana. Japo sijaangalia mpira ila uwepo wa Kante na Kova kwny midfield ni advantage kubwa sana kwetu. Halafu Mount na Kai wote ni attacking midfield wanacheza pamoja ina maana unataka ushambulie tu huku ukiacha space kubwa kuzima mashambulizi ya mpinzani. Hawa watoto wakicheza pamoja Kante anakua na kazi kubwa zaidi na inakua advantage kwa timu pinzani nadhani hapo ndipo Wolves walipotuwezea
 
WachambuZi uchwara waje hapa , wazee wa formations ? !!! Mmepoteana Kama mmemwagiwa upupu , na bado ! Next stop hammers, ile mijamaa ina miguvu ,, high pressing , kina Kai wataomba maji ya kunywa
 
Pigaaaaaaaa hizi mburukenge! Mnaongea Sana kwenye majukwaa ya watu , kisa mlishinda vimechi kadhaa na clean sheets ikawa kero !

Nyie ndo mnajiita title contenders ? Bado Sana !!!

Zigo la lawama mnampa Kai, time will tell, hata huyu werner sioni maajabu Yake !! Hapa sio ujerumani !

Mkumbuke game ya kwanza Epl alisema mabeki wana nguvu na warefu Sana , yes aliona mbali !!!

Ati Nini Eduardo hafungwi ???
Piga Sana mpka mpoteane, Thanks Nuno E,S!,, leo nalala usingizi muruaaaaa!
Alhamisi tunampita Chelsea kama wamesimama maana Sheffield United kazi ni ndogo tu..na bado tuna mechi mkononi
 
WachambuZi uchwara waje hapa , wazee wa formations ? !!! Mmepoteana Kama mmemwagiwa upupu , na bado ! Next stop hammers, ile mijamaa ina miguvu ,, high pressing , kina Kai wataomba maji ya kunywa
Wataomba maji na leso
 
Alhamisi tunampita Chelsea kama wamesimama maana Sheffield United kazi ni ndogo tu..na bado tuna mechi mkononi
Lampard ni kilaza sana, kweli hata kama ni mahaba kwa Abraham diyo kumtoa Giroud mechi ngumu kama ile ili utopolo uingie? Furahini washabiki wa timu zote tena narudia furahini sana.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Alhamisi tunampita Chelsea kama wamesimama maana Sheffield United kazi ni ndogo tu..na bado tuna mechi mkononi
Ole na Frank tofauti yao miondoko tu lkn uwezo ni huu huu.

Sio ajabu Sheffield akazindukia kwa Ole
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom