Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
That is football, Chelsea hatuchekani, hamna kitu
Daaa leo mpira imewakataa wachezaji aisee. Bora tutoe hata droo tu♀️
♀️
Hakuna kocha hapo japo tukisema mnatuita plastic fans nadra sana timu kushinda kwa tactical switch kutoka kwa kochaTimu yangu hii bado kabisa kuwa title contender, tunacheza kawaida sana, no proper game plan, no tactics.
Kocha na wachezaji bado wana kazi kubwa sana ya kufanya mazoezini.
I think Coach and players are eating salary free
🤪🤪🤪🤪ongeeni Sasa.
Humu hamjambo.. naona mnakusanya mashuka kwenda kufua.
Kazi imekwisha fasta kwa viwili tu vya uzazi wa mpango

Kinyume chake.. Mkeka umelowa nduguNdiyo uwezo wa wachezaji, kocha afanye nini, sema nimewapa mshinde na over 1.5 ila sioni hata dalili za kushinda
nasikia mipango yenu ni kubeba Uefa sio EPL?Mkuu tumekubali kushindwa. Tunaenda kujipanga upya. Tutarudi tukiwa moto![]()
Tumecheza hovyo leo yani hata tungeongezewa dakika 50 tusingefanya lolote zaidi ya kurukarukaLeo Chelsea tumecheza Kama wamama wajawazito hatukuonesha kabisa tunataka point 3
Wamejificha kwenye ushungiMashabiki wa chelsea kama wamasai hua wanaikimbia maiti.
Mkileta masikhara mtashangaa ndugu wameyeyuka hapahapa mmebaki na maiti hamjui muipeleke wapi


!!! 

