kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,191
- 15,912
Tutawapita na akili zitawakaa SawA tu , !!!! Na wamesajili timu nzima !!!!Alhamisi tunampita Chelsea kama wamesimama maana Sheffield United kazi ni ndogo tu..na bado tuna mechi mkononi
Tutawapita na akili zitawakaa SawA tu , !!!! Na wamesajili timu nzima !!!!Alhamisi tunampita Chelsea kama wamesimama maana Sheffield United kazi ni ndogo tu..na bado tuna mechi mkononi
Pole sana mkuu.. ila usisahau kuweka NET mbu washenzi sanaLampard ni kilaza sana, kweli hata kama ni mahaba kwa Abraham diyo kumtoa Giroud mechi ngumu kama ile ili utopolo uingie? Furahini washabiki wa timu zote tena narudia furahini sana.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app



Hiyo mechi ndio itaamua Lampard akafundishe Arsenal na Arteta afundishe Chelsea.Tutafungwa na timu zote ila sio wale wafu wanaocheza mpira. Lazima wapate zawadi ya Christmass
Kuna team kuzishabikia ni lazima uwe na moyo wa spare sababu maumivu yake ni zaidi ya kukosa msosi shughulini..!!
anyways, blue will always be my colour..!!
Kwani KAI alisajiliwa acheze mechi ya Mwadui tu mkuu JKT ruvu hapana?Huyu LAMPARD bado sana kupewa majukumu ya kuifundisha timu kama Chelsea. Lampard hajui amuanzishe nani ama amtoe nani.
Yaani unakutana na Wolves kisha unamuanzisha Havertz aliye legea mithili ya mrenda kweli, yaani Havertz ni wakumpiga benchi Kovacic kweli.
Huyu Lampard anatutania sana, eti anamtoa Giroud kisha anaingia Abraham.![]()
Pole bidadaKuna team kuzishabikia ni lazima uwe na moyo wa spare sababu maumivu yake ni zaidi ya kukosa msosi shughulini..!!
anyways, blue will always be my colour..!!

Inauma sana
Lampard ni ana utoto utoto flani hivi wakati mwingine, leo kulikuwa na sababu gani ahdi Kovasic asianze na kumfanyia Giroud sub ya Tammy?Epl ngumu sana ile ligi.....
Bora ww umesema maana huu usajili niliuona mapema nikisema naonekana sababu rivals fanHavertz tumepigwa tena ngumi za uso
Huyu Werner ni suala la mda tu
Lampard hafai kuwa Chelsea
Ata mniite plastic fan lakin ukweli ndio huo.
Mm naomba tupigwe mechi 10 mfululizo ili kibiyongo Lampard aondoke.

