Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea ni kikundi cha Baikoko au wakata viuno, hamna timu mle
 
Shida yetu sisi wabongo huwa hatupendi kuwapa watu nafasi
Mara nyingi huwa tunajump kweny conclusion kwamba huyu dg hafai

Ila muda utaongea, itamchukua kai muda kuadapt epl, inabidi apate nafasi si vidakika vichache wakat tim ishashinda inabid apambane akikishe tim inapata matokeo kuanzia mwanzo
Havertz sio mchezaji mbaya, ila kalegea sana aisee! akiwa uwanjani mi nahesabia pungufu ya mchezaji mmoja.

Tumepigwa.
 
Kwahiyo Lampard ameshindwa kabisa ya kupata ushindi dhidi ya timu inayo jilinda???

Alafu huyu Havertz ni FALA sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom