Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Taratibu mzee baba maana washabiki wengine hatukupiga kelele Liverpool ilipofungwa 7-0 na Aston Villa na hata mkifungwa huwa hatuna vihere here vya kuja kwenye uzi wenu.Baada ya kelele za baadhi ya washabiki humu kuomba kukutana na Bayern nilianza kujiuliza ni game gani kubwa Chelsea amecheza akashinda!
Maana ana draw ya United na Tottenham, kafungwa na Liverpool, bado hajacheza na Leicester, Man City na Arsenal (huyu nimemweka kiheshima tu).
Kila timu ipambane na hali yake.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
