Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hamponii
Screenshot_20201213-004900_LiveScore.jpg
 
Formation imetumaliza, Kante akiwekwa pembeni tunazidiwa kwenye midfield kirahisi. Lampard angemaitain 433 na kante akiwa CDM hao wengine wapeleke mashambulizi mbele. Kule mbele leo kumekosa creativity kabisa
 
Bila usajili wa Winga atufiki popote, winga zetu kila siku ziko gereji
 
Winga ndio tatizo, ameenda na mfumo huo sababu hana winga
Formation imetumaliza, Kante akiwekwa pembeni tunazidiwa kwenye midfield kirahisi. Lampard angemaitain 433 na kante akiwa CDM hao wengine wapeleke mashambulizi mbele. Kule mbele leo kumekosa creativity kabisa
 
Formation imetumaliza, Kante akiwekwa pembeni tunazidiwa kwenye midfield kirahisi. Lampard angemaitain 433 na kante akiwa CDM hao wengine wapeleke mashambulizi mbele. Kule mbele leo kumekosa creativity kabisa
Formation ni ile ile tunayocheza siku zote,

Tusitafute mchawi, kutokuwepo kwa winga yeyote leo, tulikosa ubunifu mbele jinsi ya kuifungua ngome ya everton
 
Tunahitaji winger anayeweza kukusanya kijiji hatuwezi kunlock timu especially zinapoamua kupaki bus overall havertz ni liability kwa EPL ila Mourinho angukuwa kocha mapema tu angeingia Aziplicueta then James angempandisha then huyo model wa kijerumani angetoka
 
Tunahitaji winger anayeweza kukusanya kijiji hatuwezi kunlock timu especially zinapoamua kupaki bus overall havertz ni liability kwa EPL ila Mourinho angukuwa kocha mapema tu angeingia Aziplicueta then James angempandisha then huyo model wa kijerumani angetoka
Sidhan kama azplicueta angemuweza richarlison kwa pace yake
 
Baada ya kelele za baadhi ya washabiki humu kuomba kukutana na Bayern nilianza kujiuliza ni game gani kubwa Chelsea amecheza akashinda!

Maana ana draw ya United na Tottenham, kafungwa na Liverpool, bado hajacheza na Leicester, Man City na Arsenal (huyu nimemweka kiheshima tu).
Leo kuwakosa Pulisic na Ziyech kwa pamoja imetucost
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom