Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndio maana juzi nilisema namuona Werner akicheza sana kushoto kuliko katikati kwa sababu Pulisic kila siku majeruhi. Labda asajiliwe winga mwingine wa kushoto kusaidiana na Pulisic ili Werner acheze katikati.
Hyo had mwsho wa msmu
Lampard juz alisem kutokana na majeruh yule dogo anjorin ataanza kutumika ad ziyech atakapo pona
 
Chelsea should sell Pulisic am tired of his injuries.
Hakuna mchezaji Chelsea nae mkubali kama pulisic, lkn injury zinanifanya nmtoe akilini.

Kwa kikosi cha leo hasa mbele kule sidhan kama tutakiwasha, but let's see if we can get 3 points
 
Leo kule mbele ubunifu utapungua hasa cross James anacheza vizuri akiwa na ziyech ila kai lazima timu itaslow down
 
Leo itabid tuwe makini na cross huyu dcl nimzuri sana kwenye mipira ya juu
 
Havertz atoke aingie Anjolin, Havertz anazingua sana ata kutoa pasi hajui.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom