Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Um
Kuna mashabiki wao kila kitu ni kulaumu ata kama sehm kun Zuri lazima atafute kasoro akosoe,
Watu wanamlaum kai wamesahau last season pia walkuwa wanamponda mount kuwa anapendelewa hana kitu now days ana waprove wrong watu wanajichekesha tu

Kai anahitji mda ili kuja kuwa bora sio kila mchezaji akisjiliwa ataanza kuperfom sana
, Mda upo aboreshe tu training has strength yuko weak physically but haimanishi kuwa ni mchezaji mbaya
Umemjibu kisomi sana safi kk
 
Next stage inaweza isiwe ngumu sana especially kama umeongoza kundi, ila stage zote zilizobaki ugumu wake unalingana. Yaani utakayepangwa naye robo ana weight sawasawa na unayeweza kukutana naye nusu au fainali yenyewe.

Mara nyingi level hizo zinabebwa na uzoefu kwa kiasi kikubwa.

Chelsea ina timu nzuri, kwa timu za EPL zilizovuka, ni Chelsea ndiyo team nayotamani zaidi kupangwa nayo robo kuliko City.
Mkuu be carefull what you wish.

I repeat, be careful!!
 
Masharti ya droo yanayojulikana ni
Timu haiwezi cheza na mwenzake wa group moja
Timu haiwezi cheza na mwenzake wa ligi moja
Timu zilizoshika nafasi ya pili zitacheza nyumbani kwanzan na zile zilizoshika nafdasi ya kwanza zitacheza nyumbani mechi ya marudiano

Manabii wametabiri
  1. RB Leipzig vs Real Madrid
  2. Barcelona vs Chelsea
  3. Atletico Madrid vs PSG
  4. Atalanta vs Borussia Dortmund
  5. Porto vs Liverpool
  6. Lazio vs Bayern Munich
  7. Sevilla vs Manchester City
  8. Borussia Monchengladbach vs Juventus
 
Wajeeeee wajeeee
Masharti ya droo yanayojulikana ni
Timu haiwezi cheza na mwenzake wa group moja
Timu haiwezi cheza na mwenzake wa ligi moja
Timu zilizoshika nafasi ya pili zitacheza nyumbani kwanzan na zile zilizoshika nafdasi ya kwanza zitacheza nyumbani mechi ya marudiano

Manabii wametabiri
  1. RB Leipzig vs Real Madrid
  2. Barcelona vs Chelsea
  3. Atletico Madrid vs PSG
  4. Atalanta vs Borussia Dortmund
  5. Porto vs Liverpool
  6. Lazio vs Bayern Munich
  7. Sevilla vs Manchester City
  8. Borussia Monchengladbach vs Juventus
 
Kama inawezekana tupewe Barcelona na Munich (kwa pamoja waunde timu moja) tucheze nao
 
UPENDO HUPOFUSHA, LAMPARD AKIRI ANAVYOMPENDA TAMMY ABRAHAM HATA KAMA ANA MAGOLI 3 TU KWA MECHI 10 WAKATI MWENZAKE CALVERT-LEWIN ANA GOLI 11 KWENYE MECHI 11


"I PROFESS MY LOVE FOR TAMMY ENOUGH SITTING HERE. HE'S MY PLAYER.
 
UPENDO HUPOFUSHA, LAMPARD AKIRI ANAVYOMPENDA TAMMY ABRAHAM HATA KAMA ANA MAGOLI 3 TU KWA MECHI 10 WAKATI MWENZAKE CALVERT-LEWIN ANA GOLI 11 KWENYE MECHI 11


"I PROFESS MY LOVE FOR TAMMY ENOUGH SITTING HERE. HE'S MY PLAYER.
Hiki kitu ndio kinachoniboa kwa Lampard na ukiona hiyo kauli ujue leo atamchezesha Abraham anaichukulia Chelsea kama team yake ya Taifa na huyo aliyemuuliza Hilo swali Ni mpuuzi.
 
UPENDO HUPOFUSHA, LAMPARD AKIRI ANAVYOMPENDA TAMMY ABRAHAM HATA KAMA ANA MAGOLI 3 TU KWA MECHI 10 WAKATI MWENZAKE CALVERT-LEWIN ANA GOLI 11 KWENYE MECHI 11


"I PROFESS MY LOVE FOR TAMMY ENOUGH SITTING HERE. HE'S MY PLAYER.
Ujinga tu unamsumbua
 
UPENDO HUPOFUSHA, LAMPARD AKIRI ANAVYOMPENDA TAMMY ABRAHAM HATA KAMA ANA MAGOLI 3 TU KWA MECHI 10 WAKATI MWENZAKE CALVERT-LEWIN ANA GOLI 11 KWENYE MECHI 11


"I PROFESS MY LOVE FOR TAMMY ENOUGH SITTING HERE. HE'S MY PLAYER.
Sidhan kama inamaana kubwa sana,
Usitegemee kuona kocha anamkana mchezaj mbele ya media

Hata angeulizwa kuhus kepa angejib hivyo hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom