Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mechi ya PSG yatelekezwa kwa sababu kocha msaidizi kutoka Cameroon kafanyiwa ubaguzi
İstanbul Başakşehir@ibfk2014
✊🏻✊🏿 NO TO RACISM | #Respect https://t.co/Ic1BzfANoi
 
Kuna mashabiki wao kila kitu ni kulaumu ata kama sehm kun Zuri lazima atafute kasoro akosoe,
Watu wanamlaum kai wamesahau last season pia walkuwa wanamponda mount kuwa anapendelewa hana kitu now days ana waprove wrong watu wanajichekesha tu

Kai anahitji mda ili kuja kuwa bora sio kila mchezaji akisjiliwa ataanza kuperfom sana
, Mda upo aboreshe tu training has strength yuko weak physically but haimanishi kuwa ni mchezaji mbaya
 
Kuna mashabiki wao kila kitu ni kulaumu ata kama sehm kun Zuri lazima atafute kasoro akosoe,
Watu wanamlaum kai wamesahau last season pia walkuwa wanamponda mount kuwa anapendelewa hana kitu now days ana waprove wrong watu wanajichekesha tu

Kai anahitji mda ili kuja kuwa bora sio kila mchezaji akisjiliwa ataanza kuperfom sana
, Mda upo aboreshe tu training has strength yuko weak physically but haimanishi kuwa ni mchezaji mbaya
Then katoka kwenye majeruhi
 
Kuna mashabiki wao kila kitu ni kulaumu ata kama sehm kun Zuri lazima atafute kasoro akosoe,
Watu wanamlaum kai wamesahau last season pia walkuwa wanamponda mount kuwa anapendelewa hana kitu now days ana waprove wrong watu wanajichekesha tu

Kai anahitji mda ili kuja kuwa bora sio kila mchezaji akisjiliwa ataanza kuperfom sana
, Mda upo aboreshe tu training has strength yuko weak physically but haimanishi kuwa ni mchezaji mbaya
We kuna kitu hukielewi, hakuna aliyesema Mount ni mbaya, na mount alishaonekana from game la kwanza kuwa atakuja kuwa mchezaji muzur siku za mbele. Walichokua wanalalamika watu ni kuwa hata siku gemu imemkataa mount bado lampard alikua anamchezesha hivyo hivyo tofaut na mchezaj mwingine akiboronga anafanyiwa maamuzi ya kubadilishwa.

Havartz kwa unyororo ule sidhani kama EPL atatoboa, tumepgwa.
 
This Is Chelsea. We are Chelsea, We are the Best ..We will win either UEFA or EPL..
#CFC
Uefa...........Maybe

EPL ...........No, big NO

Unataka kujua sababu? Kuna kichaa kapewa rungu huko. Jose kapewa wachezaji mpaka kakiri hadharani kuwa alipewa zaidi ya matarajio. Sasa unategemea nini hapo. Kombe linaye mwenyewe tayari.
 
Uefa...........Maybe

EPL ...........No, big NO

Unataka kujua sababu? Kuna kichaa kapewa rungu huko. Jose kapewa wachezaji mpaka kakiri hadharani kuwa alipewa zaidi ya matarajio. Sasa unategemea nini hapo. Kombe linaye mwenyewe tayari.
Ligi iishe na akabidhiwe kombe lake bc au unasemaje mkuu
 
Hatua ya mtoano timu Chelsea anaweza kupewa ni zile zolizoshika nafasi ya pili
Barcelona,reizpng , Atalanta,atletico ,fc porto ,m'gladbach

Wadau yupi apo unpend tukutane nae

Kwangu mm watupe fc porto au Barcelona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom