Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Kaka Man City pumzi imekata kweli au hukuuangalia vizuri mpira aliocheza na Liverpool pale Ethard kabla ya mechi ya jana na Spurs?Spurs nimwepesi sana sema Man City pumzi zimekata ndo maana spurs alijichukulia ujiko,lakini siyo kwamba spurs anampira wakutisha.
Sema nyota ya kun'gaa kwa matokeo ndiyo imekuwa butu sasa hivi kwa Man City lkn upepo ukiwabadilikia usije kuikataa hii kauli Chifu.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
