Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi mseme yote lakini jozeee moriho amechangia kiasi kikubwa kuharibu viwango vya wachezaji huyo kelvin,salah,lukaku,saizi pale Tottenham ndugu yangu Dele Ali kitenzi cha watu kauwaaaaaa huyu Mzee angekuwa bongo ningempiga yao viza
 
Mbali na ukweli mchungu kuwa Giroud ni bora kuliko Abraham lakini haiondoi ukweli kuwa Lampard anatengeneza long term planning kwa Chelsea na Tammy Abraham ili aje awe mchezaji bora huko mbeleni lkn si kwa mwaka m1 au miwili ijayo tu.

Kelvin De Brune na Mohamed Salah walichukuliwa poa mno na kuachwa Chelsea lkn sasa hivi tunaona moto wake jinsi wanavyong'aa ktk soka bora baada ya kuaminiwa na kupewa muda wa kutosha na akina Klopp na Pep.

Kumbukeni hata Raheem Sterling naye alikuwaga kimeo vivyo hivyo akiwa Liverpool lkn Pep alimuamini kwa kumpatia muda mwingi wa kucheza hatimaye alikuja kutisha na kuwa mchezaji tegemezi ktk kikosi cha Man City na hata England National Team.

Nawaomba washabiki wezangu tuendelee kuwa na uvumilivu tusiwe na mihemuko na Kocha wala Wachezaji kwa kutaka mafanikio ya haraka haraka.

Ilivyomgharimu Juggen Klop kutengeneza timu kwa zaidi ya misimu mi3-mi4 kuisuka Liverpool hadi ikawa na football chemistry nzuri England hadi Ulaya nzima ndivyo pia inapaswa kumvumilia Lampard ambaye hajamaliza hata msimu m1 na wachezaji aliowasajili.

Ikumbukwe usajili wa wachezaji wapya zaidi ya 8, watahitaji muda wa kumuelewa kocha na kuzoeana ndipo tutamtendea haki Lampard kumuhukumu ubora na ubaya wake.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Point, pamoja na kumchukua miaka minne Klopp alikuja akiwa na miaka mingi ya uzoefu kama kocha wakati Lampard ndio mwaka wake wa pili kwenye football na wa kwanza kwenye big league. Waliokuwa wanamsodoa Klopp akiwemo King Ngwaba leo hii wamekuwa wapole kama njiwa
 
Katika kocha aliyewahi/kuifundisha Chelsea mashabiki wakatokea kumchukia ni Lampard, Lampard amevunja rekodi ya club ya kuchukiwa na mashabiki. Kocha wa baridiiiiiiii kimbinu, kimipango, kimaono, kimkakati, kimvuto, kiufundishaji, matokeo n.k amefeli kila idara. Mbaya zaidi kocha anakichwa kigumuu kama jiwe. Lampard hata ashinde makombe 100 Chelsea hayana mzuka wowote Kama makombe tulioshinda na Morihno na conte.
Mashabiki wangapi wanamchukia: Hiyo sensa umeifanya lini na kwa methodology ipi? Hakuna kocha aliyewahi kupendwa na mashabiki wote asipobeba makombe. Kocha wa kwanza kupendwa na idadi kubwa ya mashabiki hata bila makombe ni Lampard
 
Umesahau pia kama anataka vijana alimnunua Silva kwan ni kijana. Kama anaweza mtumia silva kwa short plan inashindikana vipi kwa Giroud.
Mchezaji anawekwa kwa umuhimu wake bila kujali umri, Concern kubwa ya defense imelazimu Silva acheze hata kama ni mzee, yaani tusubutu kuwaweka wale vichwa wenda wazimu tufungwe 5 kila mechi kama yale mabao ya Bonemouth?
Kule mbele imesukwa vizuri na ndio maana sasa hivi hakunma ukame wa magoli, acheze Abrahama au Giroud Chelsea itafunga tu. Na kocha kaliona hilo akaamua kumpa muda Abraham apandishe form yake. Hata hivyo pulisic akipona kabisa Abrahama anakuwa sub tu

Kwa kocha kumpanga Abrahama amefanya hivyo kwa kuzingatia risk yake atakayoimpose ni ndogo tofauti na risk ya kumuacha Silva na kumuweka Tomori au the likes
 
Chelsea ndio timu inayoongoza mpaka sasa kwa kufunga, imefunga magoli 20, inayofuatia ni Spurs magoli 19
Aidha Chelsea na Spurs zinaongoza kwa GD ya 10
Kwa maelezo haya Ukweli ni kwamba mbele tumekamilika. Backline yetu ikiendelea kuzuia magoli, Chelsea tutafanya vizuri kuliko msimu uliopita
 
Kimauno.
Kwasababu nyinyi ni chelwowowo basi na mauno damudamu,
Huyu kocha ni wa baridi kimauno, kudadadeki lazima afukuzwe, maana anaenda kinyume falsafa na msingi ya klabu,...
Wamuajiri huyu basi, cheltyako bwana
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    26.9 KB · Views: 6
Sikumzungumzia mana sio mchezaji wa chelsea, halafu nahis kama sikosei yeye mwenyewe ndio alifosi kuondoka liverfool.
Nimekutolea mfano sababu hapa tunajadili mustakabali wa Lampard na wachezaji wa Chelsea Tammy Abraham na Giroud, kwani mbona hukunipinga nilipowatolea mifano Klopp na Pep/Makocha wa timu zingine ilihali tunajadili habari za Lampard? Ebu pevuka kiakili basi siyo kiumri ukiwa na mihemuko ya chuki zako binafsi ndugu.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Hata hao wakongwe wenyewe akina Klopp na Pep hawajawahi kujenga timu ya vijana wadogo kiumri bila ya kuchanganya na wakulungwa ili kuwapatia za kiuzoefu na kujiamini zaidi kisoka.

Mfano umeona tangu Silva aje Chelsea kidogo imeanza kutengamaa kiukuta japo bado inahitaji marekebisho mbali mbali ili iweze kuwa na beki imara hasa, hiki ndicho kitu ambacho Beki ya Chelsea ilikuwa inakikosa hapo nyuma chini ya Lampard.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Kumbe unakubaliana na Mimi Sasa kwanini amuweka benchi Giroud?
 
Tayari nishamjibu, msidhani kuwa kama hamumkubali Lampard kwa madhaifu yake basi ndiyo inapelekea asiendelee na ukocha wake chini ya Chelsea, au basi watu wote watamchukia HAPANA, klabu ni zaidi ya kocha lkn tumpe muda maana ndiyo kwanza hajamaliza hata msimu m1 na wachezaji wapya aliowasajili hivi karibuni.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Mimi sijasema afukuzwe ila ninapinga kitendo chakutompanga Giroud
 
Kumbe unakubaliana na Mimi Sasa kwanini amuweka benchi Giroud?
Giroud mnayetupigia naye kelele ni galasa tu, kwani huyo Giroud wenu anafikia hata nusu ya uwezo wa strikers kama Diego Costa?

Pale Arsenal alikuwa anatengenezewa nafasi hata 10 na kufunga goli 1 au mawili tu, huyo ndiye mnayemlalamikia kuwa hapangwi Chelsea?

Asipopangwa hata zaidi ya miaka 100 ijayo bado Giroud ni Lacazzete aliyechangamka tu.

Striker amecheza kombe la dunia 2018 bila kupiga shot on target hata 1 ilihali timu yake ilibeba kombe la dunia?

Kama mnashabikia Chelsea sababu ya mikeka akili zenu haziwezi kamwe kuchanganua mambo kiupeo.

Nimekutolea mfano Thiago Silva 36yrs old kupangwa Chelsea ili awakomaze mabeki wengine na umuhimu wake umeonekana hadi tangu aje ukuta umeanza kuimarika tofauti na kabla hajaja Chelsea ilikuwa haiko imara kiukuta.

Huyo huyo Giroud wenu alifanya kipi hasa chini ya Sarry?

Tumieni akili kwa utashi wa kufikiri kiupana zaidi nnje ya boksi wala si kutumia mihemuko yenu tokana na mahaba yenu kumkosoa Lampard ktk ukocha wake.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Hapa leo nitahamia! Kuna kilio kitarindima jioni ya leo! Hivyo muuguwe pole.
 
Chelsea ndio timu inayoongoza mpaka sasa kwa kufunga, imefunga magoli 20, inayofuatia ni Spurs magoli 19
Aidha Chelsea na Spurs zinaongoza kwa GD ya 10
Kwa maelezo haya Ukweli ni kwamba mbele tumekamilika. Backline yetu ikiendelea kuzuia magoli, Chelsea tutafanya vizuri kuliko msimu uliopita

Post kama hizi will not last longer, soon zitapotea mutarudi kwenye Post zenu za Lampard bado anajenga Timu.
 
Hii timu naipenda kuliko. Yani kila Muda naiwaza. Mungu ibariki Chelsea, mbariki kocha wetu King Lampard, wabariki wachezaji wote wa Chelsea, wabariki ma fans wote wa Chelsea. Wote wanaompenda King Lampard wabarikiwe, Mamluki walaaniwe

Hii Chelsea ni timu ya baba, timu ya mama, timu ya babu, timu ya bibi, na ni timu ya ukoo. Sote tunajua kuwa ukiwa Fan wa Chelsea basi umebarikiwa kuliko, maana Chelsea inamilikiwa na wayahudi. Na tunavyojua kama ilivyoandikwa amebarikiwa mtu yule aibarikiye Israel. Kwa maana nyingine mashabiki wa Arse8, Manyumbu na takataka zingine wamelaaniwa kwa sababu huiponda club ya Myahudi, hivyo tutegemee timu zao kuwa takataka hadi apo watakapojitambua na kuamua kuungana na Chama kubwa Duniani.

#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hapa leo nitahamia! Kuna kilio kitarindima jioni ya leo! Hivyo muuguwe pole.
Karibu sana kwenye baraka, ukiibariki Chelsea umebarikiwa wewe na familia yako. Ila ukiandika utopolo kama huu basi jiandae kuleta matatizo kwenye familia yako.

Badili haraka sema Chelsea leo atashinda.
#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
kama tunampinga kocha au baadhi ya wachezaji wenyewe uwezo mdogo kuchezeshwa basi tuangalie na mazingira ya kupinga.

Tupinge pale tunapoona tunafungwa halafu kuna majembe benchi hayapangwi. Msimu ulioisha mwishoni nilipinga abraham kuchezeshwa alikuwa hafungi, akapangwa Giroud tukawa tunashinda.

Leo hii timu inashinda kwa kishindo hatuwezi mpinga Abraham kuchezeshwa kwa sababu timu inapata matokeo hata asipofunga. Tumwache acheze aendelee kupata uzoefu.

Tupingeni jambo kwa wakati sahihi. Tuwaacheni vijana wacheze wakati huu timu inapata matokeo mazuri.
Afu Giroud wao wanaomlilia alipokuwa na rika sawa na alilonalo Abraham kwa sasa alikuwa hana uwezo kama huo alionao Abraham japo bado anahitaji uzoefu wa kutosha, yani kweli dunia haiishiwi vituko tokana na aina ya watu kama hao wanaoona wako sahihi kupinga kila kitu kwa ujuaji mwingi kumbe "ujuaji mwingi mbele ni giza la tororo kabisa"

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom