DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Kimauno.Katika kocha aliyewahi/kuifundisha Chelsea mashabiki wakatokea kumchukia ni Lampard, Lampard amevunja rekodi ya club ya kuchukiwa na mashabiki. Kocha wa baridiiiiiiii kimbinu, kimipango, kimauno, kimkakati, kimvuto, kiufundishaji, matokeo n.k amefeli kila idara. Mbaya zaidi kocha anakichwa kigumuu kama jiwe. Lampard hata ashinde makombe 100 Chelsea hayana mzuka wowote Kama makombe tulioshinda na Morihno na conte.

Kwasababu nyinyi ni chelwowowo basi na mauno damudamu,
Huyu kocha ni wa baridi kimauno, kudadadeki lazima afukuzwe, maana anaenda kinyume falsafa na msingi ya klabu,...
