Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pointless from a pointless fan. Sijatoa hii stat kwamba itadumu, na wala hakuna anayesema Lampard hajengi timu. Kwani Klopp yeye kamaliza kujenga timu, mbona kawaingiza Jota na Thiago. Ndio maana nikasema Pointless

Pointless from a pointless fan always quoted by a pointless man

Hii ni Win-Win situation
 
So far ninachoona tunahitaji kuzitumia nafasi vizuri. Ile header ya Tammy na zile chance alizokosa Timo zinaashiria tunahitaji kuwa more clinical hasa kwny attacking.

Ziyech ni zaidi ya mtu asee maana kwa hii mi cross inanipotezea attention kabisa.
 
Point, pamoja na kumchukua miaka minne Klopp alikuja akiwa na miaka mingi ya uzoefu kama kocha wakati Lampard ndio mwaka wake wa pili kwenye football na wa kwanza kwenye big league. Waliokuwa wanamsodoa Klopp akiwemo King Ngwaba leo hii wamekuwa wapole kama njiwa

Mimi sikumkosoa Klopp kwasababu ya uwezo wake kwani alishaprove uwezo wake since yupo Dortmund.

Mimi na wengine kama mimi tulimkosoa Klopp kwasababu ya Falsafa zake za usajili pale alipokuja na kusema "Anashangaa kuona Manchester anasajili wachezaji wa bei ghali" yeye akasema hatosajili wachezaji wa bei ghali bali ataboresha alionao na wale atakaonunua kwa bei ndogo.

Hapo ndiyo Vitaa vikaanza kwani kwa Magarasa aliyokuwa nayo hakukuwa na mbinu ya kuboreka.

Alipoanza kushusha Kina VVD, SALAH, OX tu tulinyamaza kwasababu ametupa tunachotaka, kwahiyo kumkosoa haukua ujinga na kunyamaza sasahivi si ujinga.

Ujinga ni kukosoa pale ambapo hapana cha kukosoa.

Na sidhani kuwa sasahivi simkosoi Klopp kama unavyowaaminisha Watu! Labda uwe huji kwenye Uzi wetu.

Issue inakuja kwa Lampard!

  • Kisingizio cha kuwa hana Wachezaji bora hakipo tena.
  • Kisingizio cha kuwa Wachezaji wake hawana experience hakipo tena.
  • Kisingizio cha kuwa kufungiwa kusajili hakipo tena.

Kwahiyo kwasasahivi wakati Timu inafanya vizuri kumlalamikia ni Ujinga! Ila kumaliza Msimu bila ya Kombe (EPL au UCL) na sio mickey mouse cup basi washabiki wanayo haki ya kumlalamikia na kukosoa uwezo wake.

• Klopp hakupata bahati kama Lampard kwani Matajiri wa Liverpool hawakumpa pesa ya kusajili wachezaji wengi kwa pamoja bali alipewa kidogokidogo ndiyomana inamchukua miaka 4 kupata mafanikio.
Ukiangalia kina MANE, SALAH, VVD, ALISSON wote hao wamekuja kwa madirisha tofauti.

But Lampard kupata bahati ya kupewa CHILWELL, MENDY, KAI, ZIYECK, WERNER, SILVA ndani ya Msimu mmoja ambao wote hao ni Wazoefu wa Bara Ulaya unataka nayeye asubiriwe atimize miaka MINNE kama Klopp?

Kaka Lampard ni lazima kudiliver msimu huu vinginevyo Washabiki hawatomuelewa.
 
Mauno fc mnaongoza kwa kutoa utopolo, Giroud katika umri wa Tammy alibeba golden boot na kuiwezesha klabu yake ya kubeba ubingwa wa ligi,
Usimfananishe Giroud na uchafu

Unapoteza nguvu nyingi kumjibu Mtu ambaye kaanza kumuona Giroud WC 2018.
 
Sema tumekosa nafasi nyingi sana. Timo japo kajitahidi sana ila pia amekosa chances nyingi tungewezakuondoka na magoli mengi zaidi. Tuna improve mno
 
Mauno fc mnaongoza kwa kutoa utopolo, Giroud katika umri wa Tammy alibeba golden boot na kuiwezesha klabu yake ya kubeba ubingwa wa ligi,
Usimfananishe Giroud na uchafu
Uchafu ni Willian mliyemsajili akawabambika siasa kuwa amekuja kushinda UEFA ilihali Arse8 inashiriki EUROPA

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom