OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,960
- 25,312
Hivi kwanini Lampard anampiga bench Giroud?Mbona Benzema ni top striker bado anakalishwa na Giroud, tukubali tu kocha hatuna pale.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hivi kwanini Lampard anampiga bench Giroud?Mbona Benzema ni top striker bado anakalishwa na Giroud, tukubali tu kocha hatuna pale.
Ni chuki tu na uwezo mdogo wa kocha, hamna kingine.
Kwani Benzema anapata namba timu ya taifa?Abraham kaanza kupata namba baada ya pulisic kuumia
Mimi sitetei Giroud eti acheze. Wakati Gaucho Ronaldinho anapigwa benchi ili Messi apate nafasi hakuna aliyemwelewa vzr Guadiola. Kilichotekea baadae ni storiKuna baadhi ya matatizo aliyonayo Lampard hasa ya kuwaamini kupita kiasi baadhi ya academy kama Abraham dhidi ya Giroud na nyingine kupanga wachezaji out of position lakini haimuondolei kuwa kocha mzuri
After all kila kocha ana madhaifu yake na mashabiki husika wa hizo timu wanazijua madhaifu ya makocha wao
Hata Klopp na uzoefu wake alishawahi kukiri kuwa huwezi kusajili wachezaji wazuri wengi kwenye timu na wakaleta mafanikio ya haraka. Wachezaji wanahitaji kujuana, kumjua kocha na falsafa yake ndipo waanze kuleta matokeo. Msimu huu ni msimu wa timu kujuana na kumsoma kocha. Akiboronga msimu ujao no way lazima tumbadilishe kocha ila msimu huu, tumuache kwanza aisuke na kutengeneza culture ya timu ili iweze kuleta makombe.
Shime tumpe Lampard muda na tuache kusodoa au kukashifu hata mafanikio aliyoyapata akiwa na wachezaji wa kawaida tu
Wee ulitegemea baada ya Hazard kuondoka akina Luiz, Willian, Kepa, Tammy Abraham, Christensen, Tomori watuletee makombe??, Top 4 yenyewe ilikuwa ni miracle na nadhani Lampard alipewa bonus kwa kupata hayo mafanikio. Management walimtaka tu timu isishuke daraja. Maana yake hata kama Chelsea ingeshika nafasi ya 17 bado Lampard angekuwa na mafanikio
Tumpe Lampard muda aijenge timu na timu izoeane ili waanze kutupa raha
Kwa akili yako unaona Giroud ni bora kuliko Benzema?Mbona Benzema ni top striker bado anakalishwa na Giroud, tukubali tu kocha hatuna pale.
ID ya October 2020 ndo unakuja kuitumia kusema Lampard uwezo mdogo!? Au wewe ndo mwenye uwezo mdogo?Ni chuki tu na uwezo mdogo wa kocha, hamna kingine.
Na wewe kwa akili yako na nakocha wako mmbovu Abraham ni bora kuliko Giroud?Kwa akili yako unaona Giroud ni bora kuliko Benzema?
Sasa mambo ya ID yanaingiaje hapa?, kocha kiufupi uwezo wake mdogo, mimi uwezo mdogo ila kocha uwezo mdogo zaidi.ID ya October 2020 ndo unakuja kuitumia kusema Lampard uwezo mdogo!? Au wewe ndo mwenye uwezo mdogo?
Umeshaijua sababu ya Benzema kutoitwa nationa team?Sijasema benzema ni mbovu, nilimquote alichokisema kua kane ni top striker ndio mana anaanza mbele y Abraham, ndio mana nikamuuliza hilo swali.
We ndio hujui chochote, home work yako fanya mwenyewe.
Naisubiri hiyo sikuMkuu una roho ngumu kama ya paka[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kante yule mfupi afu Mweusii,ana uwezo wa kumfikia Partey kweli?[emoji23][emoji16]1 KANTE = 15 PARTEY
1 ZIYECH = 20 PEPE + 4 WILLAN
1 WERNER = 50 LACAZETE
1 THIAGO = 50 MUSTAFI + 2 LUIS
Mkuu ni weweBenzima kashfa za ufuska ndio zimekuweka nje.
Pamoja kiongoziNdio mkuu, kuchangia mada mbili tatu sio mbaya. Chelsea fc is our Team, Blues is our colour.
Hivi unaamini benzema haiitwi kwa ajili ya uwepo wa Giroud? [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona Benzema ni top striker bado anakalishwa na Giroud, tukubali tu kocha hatuna pale.
Endi brauzi izi yua dresi[emoji15][emoji1787]Ndio mkuu, kuchangia mada mbili tatu sio mbaya. Chelsea fc is our Team, Blues is our colour.
Bange wanazovuta ni kali sanaKante yule mfupi afu Mweusii,ana uwezo wa kumfikia Partey kweli?[emoji23][emoji16]
Usifananishe arsenal na upuuzi
Endi brauzi izi yua dresi[emoji15][emoji1787]
😂😂 Huu ndo mpira kila mtu n mawzo yakeHivi unaamini benzema haiitwi kwa ajili ya uwepo wa Giroud? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ama kweli. [emoji23][emoji23][emoji23] Huu ndo mpira kila mtu n mawzo yake