Ni kweli kabisa kwa maono yako. Giroud ana miaka 34 na Tammy ana miaka 23 mbingu na ardhi hapo. Lakini huyu Giroud alikua na kiwango hikii alichonacho Tammy? Katika ligi ya ushindani hivi?
Hatuwezi kuforce flani kuwa flani ila ni lazima tuelewe kila kitu ni process na progress. Akipewa nafasi anafanya vizuri so mi nashukuru kwa hilo. Ila Tammy ana advantage kubwa kwa sababu yupo kati ya watu wenye madini mengi kumsaidia kukuza carrier yake. Nalitambua hilo na ndio maana sijataka kuwafananisha
Sent using
Jamii Forums mobile app