Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kitu ambacho nimegundua kwa Mateo Kovacic msimu Huu ame add value kwenye uchezaji wake moja ya kitu ambacho ameongeza Ni kufanya forward run without ball ili kuwa kwenye nafasi ya kufunga magoal Kama alivyokuwa Lampard kipindi kile.Hili Jambo nimeanza kuliona kuanzia kwenye game ya shelfied united na moja ya Kati ya chance aliyopata kutoka pass ya Ziyech angefunga goal sema yule beki akablock mpira na hii pia ameenda nayo mpaka kwenye team yake ya Taifa na Jana ametupia goal 2 Chelsea wenzangu sijui mmeliona hili
Kyatile
lembu
Cash Money Forever
Mkohoti
 
Giroud Ni mzuri kwenye link up kitu ambacho kinafit kwa Sasa hiv lakini pia upigaji wa cross wa Ziyech Ni faida pia kwa Giroud sambamba na cross zile za Benchillwel kitampa faida Sana Giroud tatizo la kocha wako anachuki Binafsi na Giroud anaona akimpa nafasi Giroud mwingereza mwenzake Abraham atakosa nafasi.Kumbuka pia bila magoals ya Giroud sisi tusingeingia big 4 msimu

Wenger wakati anamweka benchi alikuwa haboi? Hivi style ya uchezaji wa Chelsea unaona inamfaa Giroud? Kila aina ya mpira ina wachezaji wake
Somtmc watu wanataka vile watakavyo wao kwa msimu huu uwez mlaumu lmpard kumchzesh Tammy , giroud mzur but
Giroud Ni mzuri kwenye link up kitu ambacho kinafit kwa Sasa hiv lakini pia upigaji wa cross wa Ziyech Ni faida pia kwa Giroud sambamba na cross zile za Benchillwel kitampa faida Sana Giroud tatizo la kocha wako anachuki Binafsi na Giroud anaona akimpa nafasi Giroud mwingereza mwenzake Abraham atakosa nafasi.Kumbuka pia bila magoals ya Giroud sisi tusingeingia big 4 msimu Huu

Giroud Ni mzuri kwenye link up kitu ambacho kinafit kwa Sasa hiv lakini pia upigaji wa cross wa Ziyech Ni faida pia kwa Giroud sambamba na cross zile za Benchillwel kitampa faida Sana Giroud tatizo la kocha wako anachuki Binafsi na Giroud anaona akimpa nafasi Giroud mwingereza mwenzake Abraham atakosa nafasi.Kumbuka pia bila magoals ya Giroud sisi tusingeingia big 4 msimu Huu.
Kila mtu amechangia Chelsea kuwa top four uwez sem bila giroud tusingkuw top four stil kun other players wamescore n kuchngia point
Saiz mech za league nane t ambazo kati ya hzi kun gemu Abraham nae hajacheza ,so uwz laamu mbon hachezi kisa sio muingeleza
Timmo, harvetz sio waingeleza lakin wamecheza almost game zote despite of starting poorly
 
Somtmc watu wanataka vile watakavyo wao kwa msimu huu uwez mlaumu lmpard kumchzesh Tammy , giroud mzur but



Kila mtu amechangia Chelsea kuwa top four uwez sem bila giroud tusingkuw top four stil kun other players wamescore n kuchngia point
Saiz mech za league nane t ambazo kati ya hzi kun gemu Abraham nae hajacheza ,so uwz laamu mbon hachezi kisa sio muingeleza
Timmo, harvetz sio waingeleza lakin wamecheza almost game zote despite of starting poorly
Kipi kinachofanya Giroud asipangwe? Kama sio chuki Ni Nini?kwangu Giroud Ni better than Abraham kiuzoefu mpaka kiuwezo
 
na mm nimekukumbusha2 maana naona ushaanza kufurah sjui unapatia wap nguv ya kufurah
Mkuu jamaa huwa anafurahi pindi wachezaji wameenda international break. Manake hakuna game za Epl. Ila wakirudi na mechi Zikianza anakuwa mdogo kama piritoni[emoji16][emoji16]
 
Kipi kinachofanya Giroud asipangwe? Kama sio chuki Ni Nini?kwangu Giroud Ni better than Abraham kiuzoefu mpaka kiuwezo
mchezaji kutopangwa haimanishi ndo chuki, kwa maon yako tammy mbovu ila Koch yeye anaon yupi anfaa kwa wakati huo
Giroud nae mda wake atacheza.you can't jump to conclusion kuwa kocha anachuki n mchezaji,si angekuw kauzwa tayari dirisha lililopta
 
Mkuu jamaa huwa anafurahi pindi wachezaji wameenda international break. Manake hakuna game za Epl. Ila wakirudi na mechi Zikianza anakuwa mdogo kama piritoni[emoji16][emoji16]
Huwa wananenepa kabla ya ligi kuanza na international breaks, baada ya hapo ni maumivu. Mi nilitaka kupunguza kitambi nikashabikia Arsenal wiki mbili kitambi chote kwishnei.
 
Kipi kinachofanya Giroud asipangwe? Kama sio chuki Ni Nini?kwangu Giroud Ni better than Abraham kiuzoefu mpaka kiuwezo
Hapo ni chuki tu hamna kingine, na hatukaa tubebe chochote kama lampard akiendelea kua kocha. Hat top 4 sidhani, tupo hapa.
 
Hapo ni chuki tu hamna kingine, na hatukaa tubebe chochote kama lampard akiendelea kua kocha. Hat top 4 sidhani, tupo hapa.
Kwani last season aliingiaje top four

Muwe na akiba ya maneno, last season nyie ndo mshabiki mliokuw mnasema ataishush timu daraja
Uwez mjaji lampard ukawalinganish ns klopp n gadiora they dar better than him in all coaching staff but uwz sema kuwa lampard han kitu last season timu ilkuw mbov Zaid ya sahiz but now timu ina improve it's better umjudge at nusu msmu ukifk ndo kwanz eight games played one loose only
Hao Liverpool ambao wanastrong squad pia wamepoteza games zao
 
Huwa wananenepa kabla ya ligi kuanza na international breaks, baada ya hapo ni maumivu. Mi nilitaka kupunguza kitambi nikashabikia Arsenal wiki mbili kitambi chote kwishnei.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wala msihofu Kabisa, Lampard msimu huu ni wa mwisho kama kocha wa Chelsea. Tunafahamu tunavyoumia na kuhuzunika yana mwisho wake, muda ni mwalimu mzuri. Kocha wa makombe yupo njiani anakuja mtacheka na kufurahi sana na kusahau haya maumivu ya sasa. Tuweni wavumilivu ni swala la muda tuu kuletewa kocha bora.
 
Kwani last season aliingiaje top four

Muwe na akiba ya maneno, last season nyie ndo mshabiki mliokuw mnasema ataishush timu daraja
Uwez mjaji lampard ukawalinganish ns klopp n gadiora they dar better than him in all coaching staff but uwz sema kuwa lampard han kitu last season timu ilkuw mbov Zaid ya sahiz but now timu ina improve it's better umjudge at nusu msmu ukifk ndo kwanz eight games played one loose only
Hao Liverpool ambao wanastrong squad pia wamepoteza games zao
Rubbish top 4. Chelsea ni club ya makombe na sio kugòmbania kumaliza Top 4.
 
Rubbish top 4. Chelsea ni club ya makombe na sio kugòmbania kumaliza Top 4.
so kocha gani angechukua kombe mbele ya Liverpool msimu uliopita na timu iliokuwa na academic graduates na few top players
Last season ata angekuwa kocha gani asingechukua kombe
 
Mkuu jamaa huwa anafurahi pindi wachezaji wameenda international break. Manake hakuna game za Epl. Ila wakirudi na mechi Zikianza anakuwa mdogo kama piritoni[emoji16][emoji16]
Niwe mdogo kwa hizi takataka? [emoji23] [emoji23]
 
Mzee hyo sio furaha ni uvumilivu tu..shabiki wa man city wameamua kusuuza roho zao wakahama lkn nyie bado mnavumilia tehtehteh
Hata wewe soon utahamia everton, cz hiko kitimu chako ni kitimu cha decade wonder
 
Kwani last season aliingiaje top four

Muwe na akiba ya maneno, last season nyie ndo mshabiki mliokuw mnasema ataishush timu daraja
Uwez mjaji lampard ukawalinganish ns klopp n gadiora they dar better than him in all coaching staff but uwz sema kuwa lampard han kitu last season timu ilkuw mbov Zaid ya sahiz but now timu ina improve it's better umjudge at nusu msmu ukifk ndo kwanz eight games played one loose only
Hao Liverpool ambao wanastrong squad pia wamepoteza games zao
Last season timu zote zilikua mbovu, liverfools tu ndio walikua vizur na city kwa mbali. Na tulikua wa4 kw sababu y uwezo binafsi wa wachezaji, tena ingekua kuna kuongeza games, last season zingeongezwa games mbili tu leceister au spars wangetupita.
Msimu huu usiujudge kw kuangalia last season, timu zipo moto, sisi bado tunategemea uwezo wa wachezaji, kocha hamna kitu.
 
Last season timu zote zilikua mbovu, liverfools tu ndio walikua vizur na city kwa mbali. Na tulikua wa4 kw sababu y uwezo binafsi wa wachezaji, tena ingekua kuna kuongeza games, last season zingeongezwa games mbili tu leceister au spars wangetupita.
Msimu huu usiujudge kw kuangalia last season, timu zipo moto, sisi bado tunategemea uwezo wa wachezaji, kocha hamna kitu.
Msimu huu big teams almost zote ziko ovyo statistically t Tim msmu hazipo vzr
,Chuki binafsi iskufny usimpe credit mtu akifanya vzr ata kwa icho kdgo
It's true lampard sio bora kma klopp but atleast kajitaidi huu msmu wa pili kwa lmpard so subiri muda uamue
 
Msimu huu big teams almost zote ziko ovyo statistically t Tim msmu hazipo vzr
,Chuki binafsi iskufny usimpe credit mtu akifanya vzr ata kwa icho kdgo
It's true lampard sio bora kma klopp but atleast kajitaidi huu msmu wa pili kwa lmpard so subiri muda uamue
The blues hatuko ovyo ila kocha anatufanya tuwe ovyo, Wachezaji wa sasa wangepata kocha fundi Msimu huu tungebeba ubingwa mchana kweupe.
 
The blues hatuko ovyo ila kocha anatufanya tuwe ovyo, Wachezaji wa sasa wangepata kocha fundi Msimu huu tungebeba ubingwa mchana kweupe.
Mimi swez kumjudge vibay Koch kwa mda ambao mechi zmechezwa
Thus y klopp mwenyw alipoulizw kuhucu Chelsea kusajili msimu akajibu sio rahic timu kupata muunganiko haraka kwa usajili wa wachezaji wengi kwa wakati mmoja somtmc judge mtu realistically not by ur personal view en hate
Pep mwenyw Koch bora kbsa msmu wake wa kwanz hkuchukua kombe
Kingine unadai kocha mbovu unajudge kwa vgezi vipi
Ukisem mpira mzur morinho ni moj y makocha bora lakin ana mpira mbovu
Ancelloti koch mwenye uefa but Anglia Everton
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom