usijisahaulishe umetoka kula 3 tunaendelea palepale tulipoishiaMnaendeleaje na mahangaiko ya jumanne? [emoji23]
Salamu haitii mimba yakheeusijisahaulishe umetoka kula 3 tunaendelea palepale tulipoishia
na mm nimekukumbusha2 maana naona ushaanza kufurah sjui unapatia wap nguv ya kufurahSalamu haitii mimba yakhee
Sasa unashabikia chama kubwa kama Arsenal kwanini usifurahina mm nimekukumbusha2 maana naona ushaanza kufurah sjui unapatia wap nguv ya kufurah
furaha yako inakarbia kugeuka huzun next step leeds[emoji26]Sasa unashabikia chama kubwa kama Arsenal kwanini usifurahi
Usijisahaulishe una Leeds ujueSasa unashabikia chama kubwa kama Arsenal kwanini usifurahi
Hiyo inaitwa full-kukela.Mnaendeleaje na mahangaiko ya jumanne? [emoji23]
Umetapiliwa kijana, arsenal sio timu kubwa , (labda hiyo zamani)Sasa unashabikia chama kubwa kama Arsenal kwanini usifurahi
Chama kubwa forever lile, siku ikitokea timu itakayobeba golden trophy [emoji471] kwa kuvunja record ya unbeaten ndio ntakubali usemi wakoUmetapiliwa kijana, arsenal sio timu kubwa , (labda hiyo zamani)
Lampard anaboa Sana kumuweka huyu mnyama benchiGiroud ni mnyama sana, kwa kuwa Lampard uwezo wake ni mdogo huwa halionagi hilo.
Wenger wakati anamweka benchi alikuwa haboi? Hivi style ya uchezaji wa Chelsea unaona inamfaa Giroud? Kila aina ya mpira ina wachezaji wakeLampard anaboa Sana kumuweka huyu mnyama benchi
Giroud Ni mzuri kwenye link up kitu ambacho kinafit kwa Sasa hiv lakini pia upigaji wa cross wa Ziyech Ni faida pia kwa Giroud sambamba na cross zile za Benchillwel kitampa faida Sana Giroud tatizo la kocha wako anachuki Binafsi na Giroud anaona akimpa nafasi Giroud mwingereza mwenzake Abraham atakosa nafasi.Kumbuka pia bila magoals ya Giroud sisi tusingeingia big 4 msimu Huu.Wenger wakati anamweka benchi alikuwa haboi? Hivi style ya uchezaji wa Chelsea unaona inamfaa Giroud? Kila aina ya mpira ina wachezaji wake