Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wewe umekurupukia wapi? [emoji23] Tumeiongelea arsenal au Son? Hivi ukiwa shabiki wa hiki kikundi cha wapagazi lazima uwe kichaa?
nilitegemea utalikwepa hili swali kwasababu hakuna wakufikia kiwango cha chris mate pulisic pale arsenal,yaani nyie yatima wa mzee wenga hamjui hata kujibu maswali
 
Hili sio sawa.

Kutumia team mbovu kumpima coach tactic nounces zake?

By the way hao ma coach kufundisha team nzuri sio kitu kilikuja kama grant kwao...they earned that right.

Kama unaamini Pep, Klopp anatakiwa akafundishe team mbovu (akina Everton na mid table teams zingine?) hiyo ni biased opinion.

Carlo alifika huko Everton baada ya ku deteriorate kama miongoni mwa elites managers.

Kwa maneno mengine, sio kwamba kuna team kubwa ilimuhitaji Carlo akakataa kwa minajil kwamba anaenda kudhihirisha u tactical elite wake.

Kama umeshindwa kufahamu tactical levels za Klopp na Pep unasubiri wafike kwenye decline phase ya managerial life circle yao then team kubwa ziwapige chini watimkie huko Westham na wenzake.... you're getting it all wrong.

I can't believe ni kwa namna gani umeshindwa ku realize namna Klopp amei re define 4:3:3 with a lot of tactical inputs...ama unaiona hii 4:3:3 yake ni ile iliyozoeleka siku zote?

Pep, hii false 9 unaiona siku hizi, ilikuwepo before, lakini hakuna coach aliyewahi kuipa new breathing life kama Pep mapema 2009...with loads of tactical inputs kuifanya kuwa maarufu tena duniani baada ya kutumika miaka ya 80 watu wakai dump

Allegri, achana na Italy, unazungumzia coach aliyefika final 2 za UEFA akiwa na wachezaji kama Cuadrado.

Sasa unapozungumzia yeye kuto kutoboa UEFA, unazungumzia coach aliyefungwa final na Barca yenye inform MSN na Madrid yenye in form BBC.

Sio jukum langu, ila nakushauri ufanye home work zaidi kujua kwamba a good tactical coach anakua na indicators zipi.

Ama uanzie kwenye kufahamu kwanza tactics ni nini haswa kwenye football. Ni rahisi kuchanganya tactics na techniques japo zote zinatumika kwenye soka....well, in a single match
Tusichanganye Philosophy, Technique na Tactics pia kuna tricks
  1. Kocha anaanza na Phylosophy mfano Lampard phylosophy yake ni Quick passing
  2. Inakuja Techniques - Hapa inakuja matumizi ya talents kama driblings, crossing, penalty shooting, free kick shooting, tackling etc
  3. Inafuata Strategy yenye ndani yake Tactics na tricks - mfano packing the bus, high pressing, counter attack, long balls etc
Hiyo ya formation ni mpangilio wa wachezaji kulingana na talents zao tu
Yawezekana makocha wanazo zote na ndio maana wakafanikiwa, lakini mwanzo wa argument ilikuwa makocha wengine wanafaidika na talents za wachezaji hawana mbinu kubwa sana na tukamtolea mfano Lampard. Swala na Kocha mwenye mbinu mpe timu mbovu ilikuja kwa mukadha huo, muondoe hizo tallent je timu itafanya vizuri
Klopp kusajili wachezaji wazuri sioo mbinu, alipokuwa na timu mbovu alifika wapi?
Furgason angekuwa bado kocha ndie kocha pekee mwenye mbinu za kueleweka anafuatia MOU hao wengine wanatembelea tallents za wachezaji
 
Tusichanganye Philosophy, Technique na Tactics pia kuna tricks
  1. Kocha anaanza na Phylosophy mfano Lampard phylosophy yake ni Quick passing
  2. Inakuja Techniques - Hapa inakuja matumizi ya talents kama driblings, crossing, penalty shooting, free kick shooting, tackling etc
  3. Inafuata Strategy yenye ndani yake Tactics na tricks - mfano packing the bus, high pressing, counter attack, long balls etc
Hiyo ya formation ni mpangilio wa wachezaji kulingana na talents zao tu
Yawezekana makocha wanazo zote na ndio maana wakafanikiwa, lakini mwanzo wa argument ilikuwa makocha wengine wanafaidika na talents za wachezaji hawana mbinu kubwa sana na tukamtolea mfano Lampard. Swala na Kocha mwenye mbinu mpe timu mbovu ilikuja kwa mukadha huo, muondoe hizo tallent je timu itafanya vizuri
Klopp kusajili wachezaji wazuri sioo mbinu, alipokuwa na timu mbovu alifika wapi?
Furgason angekuwa bado kocha ndie kocha pekee mwenye mbinu za kueleweka anafuatia MOU hao wengine wanatembelea tallents za wachezaji
Mtoe Lampard hapo hana tracts, hana trucks, hana techniques, poor philosophy. Anatembelea ubora wa wachezaji. Lampard uwezo wake kufundisha mechi za bonanza.
 
Takataka ni arsenal hovyo kabisa, aje kocha mzuri Arsenal ni ile ile, matokeo yale yale. Mashabiki mnaishi kwa matumaini ndio maana mna hasira
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Takataka kweli ni takataka, msimu umeisha Arsenąl wana CS na FA wakati nyinyi mnapiga miyayo tu, alafu unakuja kubana pua nye nye nye nye nyeeeeeee
 
Mtoe Lampard hapo hana tracts, hana trucks, hana techniques, poor philosophy. Anatembelea ubora wa wachezaji. Lampard uwezo wake kufundisha mechi za bonanza.

Lampard sio koch bora kwel ukilinganish n top coaches but still anajity chuki binafsi isifanye utake kutuaminish Hana kitu

Klop mwenyw first time alianz poor in coaching

Kwn alivokuw derby Alkuw na top player!? Timu ilkuw avarage lakin iliperform
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Takataka kweli ni takataka, msimu umeisha Arsenąl wana CS na FA wakati nyinyi mnapiga miyayo tu, alafu unakuja kubana pua nye nye nye nye nyeeeeeee
nyie kweli ni yatima wa mzee wenga yaani mbele ya wanaume wenzio unajivunia community shield na FA 🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom