Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa tim kama man utd tungesema tushambulie tulikuwa tunapoteza
Msim uliopita tuliingia kwa kushambulia na tukapoteza mechi zote, man city alikuwa anaingia kwa kushambulia game zote dhid ya man utd katika league na zote alipoteza
Liverpool inafungwa goal lakini mwisho wa mechi inashinda. What's clean sheet kama unashindwa kuchukua point 3 muhimu?

Kufunguka sio tatizo mkuu, tatizo unafunguka kwa mbinu zipi? Kwa plan gani? Kwa style gani? Lampard akifunguka huwa anaacha gap between backline na Mildfilders Matokeo mabeki wanakuwa exposed.
 
Nikumuangalia Lampard vizuri naona ni ka hawezi kutufikisha pale tunapotaka,,

Timu iko slow sana, na hata tukifika 18 yards hakuna uwezo wa kuifungua defense ya timu pinzani na kufunga.

Magoli mengi ya msimu huu ni kama bahati nasibu tu.

Unaeza kuta timu imefika mpaka nje ya 18 badala washoot mpira unarudishwa nyuma hadi kwa kipa,, sidhani kama haya nimaamuzi ya wachezaji wenyewe nadhani hii ni mbinu wanayofundisha..

Ni bora mapema tukamchukua either Bielsa au Pochettino..

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Ni aibu Chelsea kuwa na kocha mbovu kama Lampard halafu Everton inakuwa na kocha mkali kama Ancellot.
 
Wale mnaomlaum lamps mechi ya leo kosa lake ni lipi

Maana mechi ya leo tungesema tushambulie tulikuwa tunapoteza
Msim uliopita kwenye league na carabao tuliingia kwa kushambulia na tukapoteza

Vipi mechi ya leo kakosea wapi???
Mimi ni mpenzi mkubwa wa Lampard na nitaendelea kuwa hivyo ila penye ukweli tuseme. Labda Lampard abadilike mbele ya safari ila kwa msimu uliopita na huu unaoendelea sioni kama Lampard ana mbinu za kufanya vizuri. Tuna wachezaji bora kuliko timu nyingi za EPL including Aston Villa na Everton to mention few. Sioni mbinu za kikocha hapa, ninachoona wachezaji wamekaririshwa namna ya kucheza na ndio maana hawachezi vizuri. Nakuambia hii timu angerudi MOU tungechukua ubingwa mwaka huu ukichukulia kuwa consistency ya timu zilizotegemewa kushindania hili kombe kama Liverpool na Man City sio nzuri. Ila kwa kuendelea kucheza mchezo wa kukaririshwa sioni kama tutabeba hata kombe la mbuzi achilia mbali top 4. Kama mmeshagundua upepo wa ushindani mwaka huu umebadilika. Kuna dalili za sura mpya kuwepo top 4 na 6.
Ligi ya England huwezi kuchukua kwa sababu tu eti una wachezaji wa ghali na world class kama Mendy, Silva, Werner, Pulisic, Havertz, Kante nk. Kombe la England linabebwa kwa mbinu na tacktics na tricks za hapa na pale. Sioni kama haya madoido Lampard anayo.
Kwa takwimu tu kwa wale wasiojua madhara ya matokeo tunayopata, katika mechi 6 tumefungwa moja, tume droo 2 na kushinda mbili. Maana ya takwimu hizi ni nini? Katika point 18 tumepata 9 na kupoteza 9 au kwa maneno mengine katika mechi 6 tumeshinda 3 tukafungwa 3. Mtizamo mwingine wa takwimu ni huuu, katika mechi 5 za hivi karibuni tumeshinda 1 tumefungwa 1 na kudroo 3 maana yake katika point 15 tumepata 6 na kupoteza 9. Hii ni trend mbaya kabisa. Maana yake katika mechi 5 za mwisho tumeshinda 2 na kufungwa 3. Huko mbele wachezaji watazoea kufungwa na kudroo na mwisho wa msimu tutaishia kugombea Europa na akina Westham
Hizi timu mwaka huu ziko moto na ndio basis ya maoni yangu kuwa Chelsea na Kocha hafanyi vizuri. Leeds, Aston Villa, Everton, ukiachilia mbali zile za top 6 ambao tayari wao ni washindani wetu. Kwa kusema haya Chelsea ina competitors 8 wa top 4 na Europa. Siwaoni Arsenal wakuboronga kama mwaka jana, siwaoni Liverpool wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, siwaoni Man city wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, siwaoni Spurs wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, sizioni hizo timu ngeni nilizozitaja zikiboronga kiasi cha kukosa top 4. Sasa kama. Sasa kama timu 8 zote zina sifa za kuingia top 4, Chelsea inawekwa wapi kwenye top 4 au Europa?. Unless Lampard anakuja na techniques, tactics, tricks za kupora point 3 kila mechi kama Conte na MOU ndipo Chelsea itakuwa na uhakika wa top 4 kama sio ubingwa
 
3-4-3 Huu mfumo Huu sio ngumu kufunga sema tu kocha wako ajui namna ya kuset vizuri eneo la ushambuliaji mbona Conte anafunga magoali mengi kea Huu mfumo
Ninaposema huu mfumo wa 3-4-3 sio mzuri kwa ufungaji nina base kwenye context ya sasa sio ile ya Conte. Lengo la mfumo wowote ni kuwatumia wacheza waliopo at maximum. Huu mfumo unafanya wachezaji wazuri wasicheze na wengine out of position ukitofautisha na ule wa 4-3-3 au 4-2-3-1. Pili huu mfumo unafaa kwa kocha anyesisitiza counter attack kwa sababu ni mfumo unainvest mabeki wengi kuliko kuliko washambuliaji. Nama rahisi ya kuuelezea 3-4-3 ni hivi 5-2-3 au 5-2-2-1. Mbele wanakuwepo fowards watatu tu wakati kwenye 4-3-3 foward wanakua watano kwa sababu inakuwa hivi 4-3-3 ni sawa na 4-1-2-3 Dm mmoja atatckers 5. Kwa wachezaji tulionao tukiimarisha defense, 4-3-3 ndio inatufaa
 
Mimi ni mpenzi mkubwa wa Lampard na nitaendelea kuwa hivyo ila penye ukweli tuseme. Labda Lampard abadilike mbele ya safari ila kwa msimu uliopita na huu unaoendelea sioni kama Lampard ana mbinu za kufanya vizuri. Tuna wachezaji bora kuliko timu nyingi za EPL including Aston Villa na Everton to mention few. Sioni mbinu za kikocha hapa, ninachoona wachezaji wamekaririshwa namna ya kucheza na ndio maana hawachezi vizuri. Nakuambia hii timu angerudi MOU tungechukua ubingwa mwaka huu ukichukulia kuwa consistency ya timu zilizotegemewa kushindania hili kombe kama Liverpool na Man City sio nzuri. Ila kwa kuendelea kucheza mchezo wa kukaririshwa sioni kama tutabeba hata kombe la mbuzi achilia mbali top 4. Kama mmeshagundua upepo wa ushindani mwaka huu umebadilika. Kuna dalili za sura mpya kuwepo top 4 na 6.
Ligi ya England huwezi kuchukua kwa sababu tu eti una wachezaji wa ghali na world class kama Mendy, Silva, Werner, Pulisic, Havertz, Kante nk. Kombe la England linabebwa kwa mbinu na tacktics na tricks za hapa na pale. Sioni kama haya madoido Lampard anayo.
Kwa takwimu tu kwa wale wasiojua madhara ya matokeo tunayopata, katika mechi 6 tumefungwa moja, tume droo 2 na kushinda mbili. Maana ya takwimu hizi ni nini? Katika point 18 tumepata 9 na kupoteza 9 au kwa maneno mengine katika mechi 6 tumeshinda 3 tukafungwa 3. Mtizamo mwingine wa takwimu ni huuu, katika mechi 5 za hivi karibuni tumeshinda 1 tumefungwa 1 na kudroo 3 maana yake katika point 15 tumepata 6 na kupoteza 9. Hii ni trend mbaya kabisa. Maana yake katika mechi 5 za mwisho tumeshinda 2 na kufungwa 3. Huko mbele wachezaji watazoea kufungwa na kudroo na mwisho wa msimu tutaishia kugombea Europa na akina Westham
Hizi timu mwaka huu ziko moto na ndio basis ya maoni yangu kuwa Chelsea na Kocha hafanyi vizuri. Leeds, Aston Villa, Everton, ukiachilia mbali zile za top 6 ambao tayari wao ni washindani wetu. Kwa kusema haya Chelsea ina competitors 8 wa top 4 na Europa. Siwaoni Arsenal wakuboronga kama mwaka jana, siwaoni Liverpool wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, siwaoni Man city wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, siwaoni Spurs wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, sizioni hizo timu ngeni nilizozitaja zikiboronga kiasi cha kukosa top 4. Sasa kama. Sasa kama timu 8 zote zina sifa za kuingia top 4, Chelsea inawekwa wapi kwenye top 4 au Europa?. Unless Lampard anakuja na techniques, tactics, tricks za kupora point 3 kila mechi kama Conte na MOU ndipo Chelsea itakuwa na uhakika wa top 4 kama sio ubingwa
Umeongea points sana, kwenye points 18 tumevuna 9 aisee, ni mwenendo mbovu sana. Kwa sasa hatuna timu ya ushindani na yote haya anasababisha kocha wetu mbovu.

Mastaa tuliowasajili Werner, Harvetz, Ziyech huko walipotoka walikuwa moto mkali kila mechi wanatupia na kuasisist, leo hii Chelsea wanastruggle kuingia kukatiza ngome ya lango mpinzani? Shame on you Lampard muuaji vipaji.

Hawa mastaa wetu wanahitaji mwalimu mzuri mwenye maono,tactics za kurahisisha mpira, Lampard anacomplicate sana ufundishaji wake.
 
Ninaposema huu mfumo wa 3-4-3 sio mzuri kwa ufungaji nina base kwenye context ya sasa sio ile ya Conte. Lengo la mfumo wowote ni kuwatumia wacheza waliopo at maximum. Huu mfumo unafanya wachezaji wazuri wasicheze na wengine out of position ukitofautisha na ule wa 4-3-3 au 4-2-3-1. Pili huu mfumo unafaa kwa kocha anyesisitiza counter attack kwa sababu ni mfumo unainvest mabeki wengi kuliko kuliko washambuliaji. Nama rahisi ya kuuelezea 3-4-3 ni hivi 5-2-3 au 5-2-2-1. Mbele wanakuwepo fowards watatu tu wakati kwenye 4-3-3 foward wanakua watano kwa sababu inakuwa hivi 4-3-3 ni sawa na 4-1-2-3 Dm mmoja atatckers 5. Kwa wachezaji tulionao tukiimarisha defense, 4-3-3 ndio inatufaa

Mfumo wa 4231 na 433 hauwezekani chini ya Lampard. Unakuwa na mapungufu mengi sana. Mildfilders na Backlines huwa hazielewani magap kibao uwanjani.
 
Mimi ni mpenzi mkubwa wa Lampard na nitaendelea kuwa hivyo ila penye ukweli tuseme. Labda Lampard abadilike mbele ya safari ila kwa msimu uliopita na huu unaoendelea sioni kama Lampard ana mbinu za kufanya vizuri. Tuna wachezaji bora kuliko timu nyingi za EPL including Aston Villa na Everton to mention few. Sioni mbinu za kikocha hapa, ninachoona wachezaji wamekaririshwa namna ya kucheza na ndio maana hawachezi vizuri. Nakuambia hii timu angerudi MOU tungechukua ubingwa mwaka huu ukichukulia kuwa consistency ya timu zilizotegemewa kushindania hili kombe kama Liverpool na Man City sio nzuri. Ila kwa kuendelea kucheza mchezo wa kukaririshwa sioni kama tutabeba hata kombe la mbuzi achilia mbali top 4. Kama mmeshagundua upepo wa ushindani mwaka huu umebadilika. Kuna dalili za sura mpya kuwepo top 4 na 6.
Ligi ya England huwezi kuchukua kwa sababu tu eti una wachezaji wa ghali na world class kama Mendy, Silva, Werner, Pulisic, Havertz, Kante nk. Kombe la England linabebwa kwa mbinu na tacktics na tricks za hapa na pale. Sioni kama haya madoido Lampard anayo.
Kwa takwimu tu kwa wale wasiojua madhara ya matokeo tunayopata, katika mechi 6 tumefungwa moja, tume droo 2 na kushinda mbili. Maana ya takwimu hizi ni nini? Katika point 18 tumepata 9 na kupoteza 9 au kwa maneno mengine katika mechi 6 tumeshinda 3 tukafungwa 3. Mtizamo mwingine wa takwimu ni huuu, katika mechi 5 za hivi karibuni tumeshinda 1 tumefungwa 1 na kudroo 3 maana yake katika point 15 tumepata 6 na kupoteza 9. Hii ni trend mbaya kabisa. Maana yake katika mechi 5 za mwisho tumeshinda 2 na kufungwa 3. Huko mbele wachezaji watazoea kufungwa na kudroo na mwisho wa msimu tutaishia kugombea Europa na akina Westham
Hizi timu mwaka huu ziko moto na ndio basis ya maoni yangu kuwa Chelsea na Kocha hafanyi vizuri. Leeds, Aston Villa, Everton, ukiachilia mbali zile za top 6 ambao tayari wao ni washindani wetu. Kwa kusema haya Chelsea ina competitors 8 wa top 4 na Europa. Siwaoni Arsenal wakuboronga kama mwaka jana, siwaoni Liverpool wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, siwaoni Man city wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, siwaoni Spurs wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, sizioni hizo timu ngeni nilizozitaja zikiboronga kiasi cha kukosa top 4. Sasa kama. Sasa kama timu 8 zote zina sifa za kuingia top 4, Chelsea inawekwa wapi kwenye top 4 au Europa?. Unless Lampard anakuja na techniques, tactics, tricks za kupora point 3 kila mechi kama Conte na MOU ndipo Chelsea itakuwa na uhakika wa top 4 kama sio ubingwa
Penye ukweli na usemwe.

Lampard si kocha wa kuwapa mafanikio.
 
Penye ukweli na usemwe.

Lampard si kocha wa kuwapa mafanikio.
Lampard ni kocha, maoni yako ni very extreme. Kila kocha ana madhaifu yake, hata hao unaondani ni makocha wazuri kuna wakati utawaita nao sio makocha. Unapotoa maoni uwe rational. Natumaini Lampard atakuja na mbinu za kushinda mechi kwa vile kwanza naona first eleven hiyo inataka kutulia.
Kinachomwangusha pia Lampard ni form kuteremka ya wachezaji muhimu kama Kovacic, Kante, Rudiger hao wakiwa kwenye ubora wao, Chelsea inakuwa moto
 
Leo Lampard kajitahidi japo bado hakuna muunganiko wa timu maana Wener anapambana pekee mbele bila kupea assist na mtu yeyote na hili ndiyo tatizo maana sidhani kama angekuwepo Edern Hazard asingekuwa anapata final pass assist ili afunge zaidi magoli kama sasa hivi.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Na ndio maana Ziyech ni muhimu arudi kwenye fitness yake haraka
 
Mimi ni mpenzi mkubwa wa Lampard na nitaendelea kuwa hivyo ila penye ukweli tuseme. Labda Lampard abadilike mbele ya safari ila kwa msimu uliopita na huu unaoendelea sioni kama Lampard ana mbinu za kufanya vizuri. Tuna wachezaji bora kuliko timu nyingi za EPL including Aston Villa na Everton to mention few. Sioni mbinu za kikocha hapa, ninachoona wachezaji wamekaririshwa namna ya kucheza na ndio maana hawachezi vizuri. Nakuambia hii timu angerudi MOU tungechukua ubingwa mwaka huu ukichukulia kuwa consistency ya timu zilizotegemewa kushindania hili kombe kama Liverpool na Man City sio nzuri. Ila kwa kuendelea kucheza mchezo wa kukaririshwa sioni kama tutabeba hata kombe la mbuzi achilia mbali top 4. Kama mmeshagundua upepo wa ushindani mwaka huu umebadilika. Kuna dalili za sura mpya kuwepo top 4 na 6.
Ligi ya England huwezi kuchukua kwa sababu tu eti una wachezaji wa ghali na world class kama Mendy, Silva, Werner, Pulisic, Havertz, Kante nk. Kombe la England linabebwa kwa mbinu na tacktics na tricks za hapa na pale. Sioni kama haya madoido Lampard anayo.
Kwa takwimu tu kwa wale wasiojua madhara ya matokeo tunayopata, katika mechi 6 tumefungwa moja, tume droo 2 na kushinda mbili. Maana ya takwimu hizi ni nini? Katika point 18 tumepata 9 na kupoteza 9 au kwa maneno mengine katika mechi 6 tumeshinda 3 tukafungwa 3. Mtizamo mwingine wa takwimu ni huuu, katika mechi 5 za hivi karibuni tumeshinda 1 tumefungwa 1 na kudroo 3 maana yake katika point 15 tumepata 6 na kupoteza 9. Hii ni trend mbaya kabisa. Maana yake katika mechi 5 za mwisho tumeshinda 2 na kufungwa 3. Huko mbele wachezaji watazoea kufungwa na kudroo na mwisho wa msimu tutaishia kugombea Europa na akina Westham
Hizi timu mwaka huu ziko moto na ndio basis ya maoni yangu kuwa Chelsea na Kocha hafanyi vizuri. Leeds, Aston Villa, Everton, ukiachilia mbali zile za top 6 ambao tayari wao ni washindani wetu. Kwa kusema haya Chelsea ina competitors 8 wa top 4 na Europa. Siwaoni Arsenal wakuboronga kama mwaka jana, siwaoni Liverpool wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, siwaoni Man city wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, siwaoni Spurs wakiboronga kiasi cha kukosa top 4, sizioni hizo timu ngeni nilizozitaja zikiboronga kiasi cha kukosa top 4. Sasa kama. Sasa kama timu 8 zote zina sifa za kuingia top 4, Chelsea inawekwa wapi kwenye top 4 au Europa?. Unless Lampard anakuja na techniques, tactics, tricks za kupora point 3 kila mechi kama Conte na MOU ndipo Chelsea itakuwa na uhakika wa top 4 kama sio ubingwa
Napenda sana uchambuzi wako sio wamatusi kejeri hata kama mtu umpedi.....Ila ombi langu kama mwana Chelsea mwenzio mpe Lisu kura yako ikifikapo tarehe 28/10......bigup blues
 
Lampard ni kocha, maoni yako ni very extreme. Kila kocha ana madhaifu yake, hata hao unaondani ni makocha wazuri kuna wakati utawaita nao sio makocha. Unapotoa maoni uwe rational. Natumaini Lampard atakuja na mbinu za kushinda mechi kwa vile kwanza naona first eleven hiyo inataka kutulia.
Kinachomwangusha pia Lampard ni form kuteremka ya wachezaji muhimu kama Kovacic, Kante, Rudiger hao wakiwa kwenye ubora wao, Chelsea inakuwa moto
Lampard ndio anateremesha viwango vya wachezaji mifumo yake mibovu, haiwezekani wachezaji waliponunuliwa walikuwa wanawasha moto wanakuja Chelsea makali yanaisha, Rudger, Kovacic, Giroud wakiwa timu ya taifa wanakipiga sana ila wakiwa Chelsea viwango vimeshuka.

Pulisic, Werner, Harvetz, Ziyech, Chilwell soon watafuata mkumbo wa Rudger, Kante, Kovacic kudrop viwango vyao.

Hatuna kocha wa kutengeneza viwango na kuviboresha zaidi kwenda level nyingine ya juu bali tuna kocha muuaji wa viwango.
 
If LAMPARD continue coaching Chelsea, we will go 10 years without a trophy. The truth is that Chelsea is bigger than lampard.

He is a legend, yes but We Can't continue being like this because he is our legend. Some fans will say lampard is good. But look at his performance so far against big team. Very poor.

He lacks team selection(formation)
We need a big coach.

Sarri spend only a year and won a trophy
Same with Conte

Lampard is still gaining Experience in coaching. And Chelsea is not an Academy for young coaches.

Understand my point, A legend can come back anytime!!!

We have good and Excellent players, but no one to manage them well
 
Ujue kumcompare ancellot na lamps ni vitu viwili tofauti.
Lamps hata kwa yule kocha wa rb liepzig bado hajamfikia kwa uwezo

Ancellot kuwepo everton, ni hali ndio iliyoamua coz alikuwa napoli akafukuzwa na akakaa bila tim thn everton hao
Ahsante sana, Kumbe unajua uwezo wa Lampard ni mdogo, sasa mbona unang'ang'ania aendelee kuifundisha Chelsea?
 
Lampard ni kocha, maoni yako ni very extreme. Kila kocha ana madhaifu yake, hata hao unaondani ni makocha wazuri kuna wakati utawaita nao sio makocha. Unapotoa maoni uwe rational. Natumaini Lampard atakuja na mbinu za kushinda mechi kwa vile kwanza naona first eleven hiyo inataka kutulia.
Kinachomwangusha pia Lampard ni form kuteremka ya wachezaji muhimu kama Kovacic, Kante, Rudiger hao wakiwa kwenye ubora wao, Chelsea inakuwa moto
Kovacic kapunguaje kiwango? Hiv unaangaliaga mpira kweli?
 
Kovacic kapunguaje kiwango? Hiv unaangaliaga mpira kweli?
Bora umeuliza wewe? Kova nimchazaji naemkubalisa anajua kupiga pasi za kwenda mbele sio kawa wengine side way pass, na huwa anajua kupandisha timu. Nashangaa sijui kwa nini siku hizi hapangwi! hapa ndipo panaponipa ukakasi. Lampard sio kocha kabisa.

Giroud pia, sijui kwa nini anakua chaguo la mwisho, wakati huyo tammy hamfikii hata robo ya uwezo wa Giroud. Lampard sio kocha wa kuifundisha chelsea bora afukuzwe tu.
Ningefurahi sana jana kama tungefungwa ili afukuzwe.
 
Bora umeuliza wewe? Kova nimchazaji naemkubalisa anajua kupiga pasi za kwenda mbele sio kawa wengine side way pass, na huwa anajua kupandisha timu. Nashangaa sijui kwa nini siku hizi hapangwi! hapa ndipo panaponipa ukakasi. Lampard sio kocha kabisa.

Giroud pia, sijui kwa nini anakua chaguo la mwisho, wakati huyo tammy hamfikii hata robo ya uwezo wa Giroud. Lampard sio kocha wa kuifundisha chelsea bora afukuzwe tu.
Ningefurahi sana jana kama tungefungwa ili afukuzwe.
Simpendi lampard san kama kocha wa kibongo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom