Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo walinzi wote wamecheza yaani Thiago,zouma,james na azpliqeta naona kidogo ulinzi ulikuwepo huyu kipa amemleta Peter kwa hiyo kama atafanya fyongo Peter atakuwa ametuangusha
 
Naona VAR haikua kazini leo
Yule Magwaya yaani alimshindilia roba azpilicueta kama kibaka wa mwananyamala kwa mama zakaria
1603006711008.jpg
 
Kafanya save za world class GK , hajabahatisha , anaweza,

Angekuwa kepa Leo , man u wangesheherekea ,
Kwa mara ya kwanza nimekuona ukiwa positive psychologically kuongea ukweli baada ya kuweka ushabiki pembeni, safi sana Chifu.

Sevu 2 ikiwemo ya Rashford na ya dkk za mwisho, hakika Lampard anajua kusajili ila kufundisha bado hajawa ktk ubora unatakiwa kama akina Zizzou.

Maana hata baada ya sub ndipo Chelsea ililemewa kwa kushambuliwa zaidi na Man U, inamaana kuwa Haverts na Wener walikuwa vizuri sana mbele kuliko Abraham na Mount walipoingia sub.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Wale mnaomlaum lamps mechi ya leo kosa lake ni lipi

Maana mechi ya leo tungesema tushambulie tulikuwa tunapoteza
Msim uliopita kwenye league na carabao tuliingia kwa kushambulia na tukapoteza

Vipi mechi ya leo kakosea wapi???
Leo Lampard kajitahidi japo bado hakuna muunganiko wa timu maana Wener anapambana pekee mbele bila kupea assist na mtu yeyote na hili ndiyo tatizo maana sidhani kama angekuwepo Edern Hazard asingekuwa anapata final pass assist ili afunge zaidi magoli kama sasa hivi.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Kuna walioanzisha mpaka thread wakisema tunafungwa. Nashangaa tumetoa draw, hii inaashiria kwamba tuwe na akiba ya maneno hata kama huna imani na timu yako isifikie hatua kumtangazia kilamtu ajue usivyo jiamini.
 
Huko nyuma tuliongelea hizi formation mbili na faida na hasara zake

Formation ya 4-3-3 inapendelea mbele na kuexpose defense kwa mashambulizi. 4-3-3 inawapa fursa Pulisic na Ziyech wacheze kwa wakati mmoja na Havertz acheze CAM lakini 3-4-3 inawapendelea mabeki kwa sababu wanakuwa wengi golini (Mabeki watano) na pia inawapa Silva, ZOuma, Azpi, Chillwell na James kucheza kwa mara moja kwa sababu wote ni mabeki wazuri lakini inawanyonga kule mbele kwa sababu aidha Ziyech, Mount na Havertz anakaa benchi na pia kumlazimisha Havertz kucheza out of prefered position ndicho kilichotokea jana
Kwenye 4-3-3/4-2-3-1 lazima tufungwe ila na sisi lazima tufunge
Kwenye 3-4-3/3-4-2-1 kufungwa ni ngumu ila pia kufunga ni ngumu
Sasa Lampard ana kazi ya kuchagua kusuka au kunyoa
 
Mwaka huu ligi ni ngumu hata Man U walioko nafasi ya 15 akishinda kiporo chake anatupita
Mpaka sasa hakuna mbabe sana
 
Huko nyuma tuliongelea hizi formation mbili na faida na hasara zake

Formation ya 4-3-3 inapendelea mbele na kuexpose defense kwa mashambulizi. 4-3-3 inawapa fursa Pulisic na Ziyech wacheze kwa wakati mmoja na Havertz acheze CAM lakini 3-4-3 inawapendelea mabeki kwa sababu wanakuwa wengi golini (Mabeki watano) na pia inawapa Silva, ZOuma, Azpi, Chillwell na James kucheza kwa mara moja kwa sababu wote ni mabeki wazuri lakini inawanyonga kule mbele kwa sababu aidha Ziyech, Mount na Havertz anakaa benchi na pia kumlazimisha Havertz kucheza out of prefered position ndicho kilichotokea jana
Kwenye 4-3-3/4-2-3-1 lazima tufungwe ila na sisi lazima tufunge
Kwenye 3-4-3/3-4-2-1 kufungwa ni ngumu ila pia kufunga ni ngumu
Sasa Lampard ana kazi ya kuchagua kusuka au kunyoa
3-4-3 Huu mfumo Huu sio ngumu kufunga sema tu kocha wako ajui namna ya kuset vizuri eneo la ushambuliaji mbona Conte anafunga magoali mengi kea Huu mfumo
 
Leo Lampard kajitahidi japo bado hakuna muunganiko wa timu maana Wener anapambana pekee mbele bila kupea assist na mtu yeyote na hili ndiyo tatizo maana sidhani kama angekuwepo Edern Hazard asingekuwa anapata final pass assist ili afunge zaidi magoli kama sasa hivi.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Tatizo jamaa anazurula sana, yupo kama Daniel James yeye anawaza mbio tu, mpaka Fred anamwambia dogo tulia kwanza,
 
Lampard hawezi kubalance vyote viwili kufunga bila kufungwa, hana mbinu hizo. Sasa hivi aamue kutoa draw mpaka pale atakapofukuzwa.

Timu imetumia zaidi ya £150 milioni kununua washambuliaji wanashindwa kufunga hata goli 1? Jana man u walikuwa bora wanadefence na kushambulia.

Siwezi kumpongeza Lampard kwa draw jana ukilinganisha na word class attacking players tulionao kwa sasa. Mbinu hakuna pale.

Lampard out
 
Lampard hawezi kubalance vyote viwili kufunga bila kufungwa, hana mbinu hizo. Sasa hivi aamue kutoa draw mpaka pale atakapofukuzwa.

Timu imetumia zaidi ya £150 milioni kununua washambuliaji wanashindwa kufunga hata goli 1? Jana man u walikuwa bora wanadefence na kushambulia.

Siwezi kumpongeza Lampard kwa draw jana ukilinganisha na word class attacking players tulionao kwa sasa. Mbinu hakuna pale.

Lampard out
Kwa tim kama man utd tungesema tushambulie tulikuwa tunapoteza
Msim uliopita tuliingia kwa kushambulia na tukapoteza mechi zote, man city alikuwa anaingia kwa kushambulia game zote dhid ya man utd katika league na zote alipoteza
 
Nikumuangalia Lampard vizuri naona ni ka hawezi kutufikisha pale tunapotaka,,

Timu iko slow sana, na hata tukifika 18 yards hakuna uwezo wa kuifungua defense ya timu pinzani na kufunga.

Magoli mengi ya msimu huu ni kama bahati nasibu tu.

Unaeza kuta timu imefika mpaka nje ya 18 badala washoot mpira unarudishwa nyuma hadi kwa kipa,, sidhani kama haya nimaamuzi ya wachezaji wenyewe nadhani hii ni mbinu wanayofundisha..

Ni bora mapema tukamchukua either Bielsa au Pochettino..

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom