juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Sijui kwa nini VAR hata haijaangalia hili tukio
Sijui kwa nini VAR hata haijaangalia hili tukioView attachment 1610877

Ya man u walikuwa wanatafuta hata ukucha tuSijui kwa nini VAR hata haijaangalia hili tukioView attachment 1610877
Hili tukio wangekuwa wamefanyiwa Man u,VAR ingefanya kazi nalingekuwa tuta sikunyingi sana.Sijui kwa nini VAR hata haijaangalia hili tukioView attachment 1610877
Nimechanganya backline na viungo. 3-4-3hii formation umeitoa wapi?
back four hakuna mabeki ni watano
formation ni 3-4-2-1
Huyu jamaa alishawahi kumpiga mbupu Batshuayi zikasambaa picha na video kamahivi lakini hakuna alichofanywa. So usitegemee lolote imepita hiyoSijui kwa nini VAR hata haijaangalia hili tukioView attachment 1610877


maana muda wowote yaweza kuibukaWakienda tu kwenye VAR Bruno anaanza kujiandaa ...Ya man u walikuwa wanatafuta hata ukucha tu
Really. Mechi inaboa.mnaogopana sana mpaka mechi inapoteza hamu ya kuangalia.
Dah pale tumepata KipaPongezi mingi mingi kwa Mendy 🔥🔥🔥
Angekuwa kepa sijui ingekuwaje hapa leo
Huu usajili wa mendy watu wengi waliubeza kwa sababh jamaa ni muafrika, kingine hajulikan ila anazid kuwanyamanzisha
Angekuwa Kepa kulikuwa na 3-0 za wazi waziAngekuwa kepa sijui ingekuwaje hapa leo
Huu usajili wa mendy watu wengi waliubeza kwa sababh jamaa ni muafrika, kingine hajulikan ila anazid kuwanyamanzisha
Mendy pale kuna kipaAngekuwa kepa sijui ingekuwaje hapa leo
Huu usajili wa mendy watu wengi waliubeza kwa sababh jamaa ni muafrika, kingine hajulikan ila anazid kuwanyamanzisha