lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,696
- 25,910
Ila Pulisic alitakiwa acheze position yake ya left sio right•Wachezaj wapi wanafurahishwa or wanapendelewa
•Mount ni mchezaj mzuri tu, kujituma kwake ndio kunamfanya apangwe game ya wba team ilikuea iko hovyo ils nimount ndie aliyeirudisha team mchezoni
Kila mchezaj huwa na downs zao hawez cheza 30+ yuko kwa form haiwezekani
•Utajuaje first eleven wakat wachezaj wengine ni majeruhi na wachezaj wengin ni kama gar la mkaa, game hii wanacheza vizur game 3 zijazo wanacheza hovyo
Mount anaweza kucheza katikati na kuli angpangwa huko