DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,878
Kama hazard,Thibaut courtuer tu[emoji23][emoji23]Kama ambavyo Fabregas, Gallas, Cole, Giroud walivyotoka timu ndogo wakaemda kubwa kufuata makombe.
Kama hazard,Thibaut courtuer tu[emoji23][emoji23]Kama ambavyo Fabregas, Gallas, Cole, Giroud walivyotoka timu ndogo wakaemda kubwa kufuata makombe.
Acha kepa aonekane shati, kwa beki hizo ni bora ya mwamnyeto na OnyangoZouma ana afadhali kulilo rudiger kwa sasa
Beki za kati ni zouma na silva kwa sasa hao wengine itawachukua mda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aubameyang ni suala la muda tuAuba anaweza kuwa ni calibre ya Willian, akishaweka karatasi saini basi tena na umri huu, Arsenal wana kazi tena kubwa
Klop bila kumnuna vvd na alison beki zake zilikuajeKiongozi unaona nini special FL anakileta tokea nusu ya msimu uliopita zaidi ya game 25 sioni positive improvement upande wa kudefend matatizo yaleyale toka derby county Klopp hakuwa na mafanikio misimu 3 ya mwanzo ila alikuwa na positive progress big game unamuona kabisa ni threat, Sisi ni mabingwa wa kupossess kwenye area isiyo na madhara kwa adui wachezaji hawana fighting spirit ya kichampion yaani timu huwa inakubali matokeo kirahisi, pili napoongelea plan B sio ya kimfumo tu huwezi dominate league kwa flat tactic kuna game unatakiwa ushinde kwa long range, kutengeneza mazingira ya penalty, freekicks sasa sion kama kuna kitu design hiyo tunagenerate
Christensen hafundishiki huyo Ni wa kuuzwa kabisaRudiger,zouma,tomori na christensen wakitulia vizur na wakatumia uwepo wa thiago kujufunzs na kupunga makosa yao
Wakijirekebisha tu wakaacha kufanya error tunazozifanya
Tunaweza kuchallange ubingwa maana kule mbele hakuna shida
Kingine majeruh ya mda mrefu tusiwe nayo, hasa huku nyuma huku kwa mendy na thiago na chilwel
Hiyo chelsera ni timu mpya? [emoji23] [emoji23]Wewe hamia Chelsera tu kwa sababu unaijua Chelsea kuliko hata baadhi ya mashabiki wa Chelsea.
-UMESEMA SAWA NDG
Huyu mason mount ana gundu humu, ila ni ni talented Aiseeehhh, Southgate anamkubali kuliko Jack grealish, lampard anamwelewa vibaya ila visolokokwinyo kutoka bong'oankusweke wanamdharau,Siku akiperform watu huwa hawaongei y mount kachezeshwa nafas ambayo siyo yake
Ils siku team ikafungwa or draw watakuja hapa lamps anapendelea anafurahish waingereza wenzake maneno mengi
Na kuuza sikazi rahis, leo hii tumeshindwa kuwauza wakina alonso/emerson kutokana kudemand pesa nzuriChristensen hafundishiki huyo Ni wa kuuzwa kabisa
Sijalamika bro, ndio maana mwishon nimesema wakiwa fitSasa si alipanga wale waliokuwepo na ndio kilichotokea. Sasa lawama za nini na wakati ametoa alichonacho
Na kwanini acheze LW au RW wakati wapo natural wingers wamejaa... Mount ni wa kuingia kipindi cha piliMount anacheza #10 lakini pia anaweza kucheza kama Wing.
Naamini Lampard anatupa makombe lakini siyo msimu huu na kama itatokea msimu huuni kheri
Pulisic na ziyech wote wametoka injury na huwez kuwarakishaNa kwanini acheze LW au RW wakati wapo natural wingers wamejaa... Mount ni wa kuingia kipindi cha pili
Ziyech>mount
Pulisic>mount
Kai> mount
Au kama lampard anampenda sana akacheze nafasi ya zouma
Hayo mambo kwa Klopp ulianza kuyaona baada ya misimu mingapi ndani ya msimu huohuo akaanza kudominate big games.? Ambacho ninaamini hata akija kocha gani lazima malalamiko kama haya yatakuwepo kwa sababu sisi mashabiki siyo watu wa kuridhika. Tumesha hangaika sana kubadilisha makocha ifike kipindi kocha apewe muda kuweza kujenga timu yake baada ya hapo ndio tuanze kumjudge. Binafsi nitaanza kumkosoa baada ya huu msimu otherwise naona bado ni kocha sahihi kwetu kutufikisha nchi ya ahadi.Kiongozi unaona nini special FL anakileta tokea nusu ya msimu uliopita zaidi ya game 25 sioni positive improvement upande wa kudefend matatizo yaleyale toka derby county Klopp hakuwa na mafanikio misimu 3 ya mwanzo ila alikuwa na positive progress big game unamuona kabisa ni threat, Sisi ni mabingwa wa kupossess kwenye area isiyo na madhara kwa adui wachezaji hawana fighting spirit ya kichampion yaani timu huwa inakubali matokeo kirahisi, pili napoongelea plan B sio ya kimfumo tu huwezi dominate league kwa flat tactic kuna game unatakiwa ushinde kwa long range, kutengeneza mazingira ya penalty, freekicks sasa sion kama kuna kitu design hiyo tunagenerate
Kijana tuongee kwa hoja usifuate tu moyo wako. Hata kwa Sarri mlisema ivyo ivyo mlichoshindwa kuelewa ni alikosa baadhi ya wachezaji kuikamilisha Chelsea tuliyoitaka. Sasa hivi mpo kwa Lampard na hata akija kocha mwingine mtasema ivyo ivyo tu.johsee nakuunga mkono huyo jamaa anamtetea Sana Lampard sijui anampa Nini? Hatuwezi kuchukua ubingwa ikiwa kocha Ni Lampard
Kama Van Persie, Sanchez, Nasri, Clichy, Song na wengine wengi.Kama hazard,Thibaut courtuer tu[emoji23][emoji23]
Mimi nilidhani tunafanya mjadala serious kumbe kuna utani. Mkuu am outNa kwanini acheze LW au RW wakati wapo natural wingers wamejaa... Mount ni wa kuingia kipindi cha pili
Ziyech>mount
Pulisic>mount
Kai> mount
Au kama lampard anampenda sana akacheze nafasi ya zouma
Ni suala la muda tu tutakubaliana kuwa kwa sasa lampard hayupo level ya kuinoa chelsea, labda kama lengo sio kuchukua vikombe kwenye misimu hii miwili inayofuatia.Mimi nilidhani tunafanya mjadala serious kumbe kuna utani. Mkuu am out
Kwani chelsea mna mawazo ya ubingwa? [emoji23] [emoji23]Ni suala la muda tu tutakubaliana kuwa kwa sasa lampard hayupo level ya kuinoa chelsea, labda kama lengo sio kuchukua vikombe kwenye misimu hii miwili inayofuatia.
Ndg Lampard ni kocha mzuri. Hakuna kocha asiyekuwa na mapungufu. Na hii ligi ya mwaka huu ndio mtajua kuwa kila kocha ana mapungufu tena makubwajohsee nakuunga mkono huyo jamaa anamtetea Sana Lampard sijui anampa Nini? Hatuwezi kuchukua ubingwa ikiwa kocha Ni Lampard