Pulisic kahama Chelsea?Wachezaji wa Chelsea na timu zao za Taifa
- E. Mendy - Senegal
- Kepa - Spain
- K. Zouma - France
- T. Silva - Brazil
- A. Christensen - Denmark
- A. Rudiger - German
- R. James - England
- C. Azpipilueta - Spain
- Ben chilwell - England
- N. Kante - France
- Kovacic - Croatia
- Jorginho - Italy
- M. Mount - England
- H. Odoi - England
- H. Ziyech - Morocco
- K. Havertz - German
- O. Giroud - France
- T. Abraham - England
- Timo Werner - German
Naona unaanza taratibu kujirudi kwa RudigerNimecheki mechi kati ya Ukraine na Germany jana, Rudiger katoa bonge la Assist kwa goli la kwanza
Ndg yangu wewe unataka sasa utulazimishe tuanze kuwabagua wachezaji, sijwahi kumchukia mchezaji yeyote. Rudiger ni CB mzuri, Zouma yuko onfire, Silva haitaji kusemewa, yuko mzoefu, competition ndani ya Chelsea ndiyo tuliyotaka ili timu iwe competitiveNaona unaanza taratibu kujirudi kwa Rudiger
Nenda nyuma ya TV yenu kaongee haya maneno huenda Lampard atasikia kilio chako na utasaidika.Msimu huu mpaka leo saa hii Zouma ana magoli mengi kuliko Werner na Havertz.
Siku lampard akimpanga Zouma kama CF na Werner akawa CB msishangae
Siyo mimi ni takwimuNenda nyuma ya TV yenu kaongee haya maneno huenda Lampard atasikia kilio chako na utasaidika.
Wewe uliniuzi ulivyosema Rudiger atolewe kwa mkopo na ukasema Rudiger amedrop kiwango ndio maana hata sub hawekwiNdg yangu wewe unataka sasa utulazimishe tuanze kuwabagua wachezaji, sijwahi kumchukia mchezaji yeyote. Rudiger ni CB mzuri, Zouma yuko onfire, Silva haitaji kusemewa, yuko mzoefu, competition ndani ya Chelsea ndiyo tuliyotaka ili timu iwe competitive
Kwa kiwango alichonacho Zouma na Silva anajulikana Rudiger inabidi ajitume sana ili abreak thru. Huo ndio msimamo wangu na haukubase kumdharau au kumchukia Rudiger. Na nafikiri hata kocha msimamo wake nao ndio huo, mchezaji akifanya vizuri anapata namba, akifanya vibaya anatemwa.
Kesho Zouma akiboronga au Silva nitaungana na anayefanya vizuri. Kamwe siwezi mtetea mchezaji eti kwa sababu wakati fulani alikuwa onfire. Mimi namtaka mchezaji aliye onfire kwa sasa sio history
Nilionge kilichopo na hali halisi ndivyo ilivyokuwa hata Rudiger mwenye kabaki tu kwa sababu alishindwa kutokaWewe uliniuzi ulivyosema Rudiger atolewe kwa mkopo na ukasema Rudiger amedrop kiwango ndio maana hata sub hawekwi
Weka comment yako tuone,Wapiga ramli huwa ni kwa ajili ya mambo yajayo. Sasa tunamuongelea mchezaji kwa mambo aliyofanya akiwa darajani ivyo ni wakati uliopita.Simpondi Willian kisa ameondoka Chelsea. Kama mtafuatilia vizuri nimeanza kumkosoa kitambo toka akiwa darajani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpk sasa zouma ana goli nyingi kuliko Pierre auba na comrade kipepe....sitashangaa arteta akihitaji huduma yake January hapoMsimu huu mpaka leo saa hii Zouma ana magoli mengi kuliko Werner na Havertz.
Siku lampard akimpanga Zouma kama CF na Werner akawa CB msishangae
Hehehe Mfananishe na CF wa Arsenal kama mimi nilivyofananisha kwa CF wa Chelsea. Pierre ni RW na Pepe ni LW.Mpk sasa zouma ana goli nyingi kuliko Pierre auba na comrade kipepe....sitashangaa arteta akihitaji huduma yake January hapo
Acha kurukaruka mzee ..anaweza akaja na akacheza winger vilevile....naona hata salah mwenye goli 5 mpk sasa ni CF! ...na naona kwenye TV yako Werner na kai ktk game za Chelsea walicheza CF game nyingi........Hehehe Mfananishe na CF wa Arsenal kama mimi nilivyofananisha kwa CF wa Chelsea. Pierre ni RW na Pepe ni LW.
Huhuhu Salah ana goli nyingi na haujui kwanini? Umewahi kusikia kuhusu false 9? HeheheAcha kurukaruka mzee ..anaweza akaja na akacheza winger vilevile....naona hata salah mwenye goli 5 mpk sasa ni CF! ...na naona kwenye TV yako Werner na kai ktk game za Chelsea walicheza CF game nyingi........
Upande huo huo aliowekwa Werner Aubameyang ana goli tayariAcha kurukaruka mzee ..anaweza akaja na akacheza winger vilevile....naona hata salah mwenye goli 5 mpk sasa ni CF! ...na naona kwenye TV yako Werner na kai ktk game za Chelsea walicheza CF game nyingi........
We si umeleta habari za CF mbona unakimbilia false 9 ?Huhuhu Salah ana goli nyingi na haujui kwanini? Umewahi kusikia kuhusu false 9? Hehehe
Sasa tofauti ya goli 1 ndo kipi cha kutisha mzee?Upande huo huo aliowekwa Werner Aubameyang ana goli tayari
Hehehe bob siyo kila CF kazi yake itakua kuscore. Kwakua haujui acha nikuambie kua kwenye False 9 scorers wanakua RW na Lw.We si umeleta habari za CF mbona unakimbilia false 9 ?