Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Just a greetings to his neighbour..... Nyie
 
Hehehe jezi ya Arsenal ilishika nafasi ya kwanza kwa mauzo mwezi uliopita. Kabla ya Arsenal kushika namba 1 iliyokua namba 1 ni liva nyinyi plastic fans labd mpo wengi ila hata kununua jezi hamuwezi.
Wewe ndugu utakua mshamba sana. Labda ni kwambie kwa ufupi nina jezi ya Chelsea, Everton, Leicester, Liver, Yanga, Roma, Madrid. Jiulize tuko wangapi tunaonunua jezi tofauti tofauti kama mimi.

Hizi mada za mashabiki tukianzisha huwa mnakimbia wenyewe pamoja na kuwaletea sources zote. Inatosha mimi nimechoka
 
Ukikutana na plastic kutoka chelsea hatasita kukuambia hajawahi kutokea mchezaji hatari kama Drogba na EPL nzima hajawahi kuwepo. Sasa twende polepole;

Henry alishinda kombe la UCL 2009 alichangia magoli 8, 6 alifunga katika hatua ya mtoano. Drogba alipata UCL 2012 akachangia magoli 8, 4 tu ndiyo alifunga katika hatua ya mtoano.

Henry ana jumla ya magoli 58 ya kuamua ushindi kwenye ligi ya EPL, Drogba ana magoli 31.
Pia Henry amechagia magoli 64 dhidi ya timu za Top 4 EPL + Hatua ya mtoano kwenye UCL, wakati Drogba ana 41.

Tangu Drogba afike Chelsea mpaka anaondoka ana jumla ya magoli 20 dhidi ya top 6 wakati Henry ana magoli 24 dhidi ya Liva, Man U na Chelsea pekee. Hapo hujamhesabia waliobaki.

Henry amefunga magoli 20+ mara nne katika EPL wakati Drogba amefunga magoli 15+ mara mbili tu.

Drogba amejinyakulia kiatu cha dhahabu pale EPL mara mbili. Henry amechukua kiatu cha dhahabu mara NNE.

Henry amepata tuzo ya Player of the Season mara 2 na katika tuzo za Ballon D'Or amefika kwenye tatu bora mara mbili. Drogba hapa hana chake.

Kimataifa Henry ameshinda kombe la dunia 1998 na kua France top scorer na 2006 akatoboa mpaka fainali. Bwana Drogba hapa hana kitu pia aliishia hatua ya mtoano mara tatu zote alizonusa kombe la dunia.

Kuna plastic litakuja kuandika komedi hapa.
Wewe ni kituko yan unajitekenya na unacheka mwenyewe. Hayo maneno yako wenyewe angekua amesema shabiki wa Chelsea sawa.

Yan unajitengenezea kastori basi tu ilimradi ujichangamshe. Umekosa kazi blaza.
 
Wewe ndugu utakua mshamba sana. Labda ni kwambie kwa ufupi nina jezi ya Chelsea, Everton, Leicester, Liver, Yanga, Roma, Madrid. Jiulize tuko wangapi tunaonunua jezi tofauti tofauti kama mimi.

Hizi mada za mashabiki tukianzisha huwa mnakimbia wenyewe pamoja na kuwaletea sources zote. Inatosha mimi nimechoka
Hahaha na ushamba tena boss?
 
Wewe ni kituko yan unajitekenya na unacheka mwenyewe. Hayo maneno yako wenyewe angekua amesema shabiki wa Chelsea sawa.

Yan unajitengenezea kastori basi tu ilimradi ujichangamshe. Umekosa kazi blaza.
Also as a bonus. Henry amekua kwenye kikosi kilichochukua kombe bila kupoteza hata mechi moja.
 
Ukikutana na plastic kutoka chelsea hatasita kukuambia hajawahi kutokea mchezaji hatari kama Drogba na EPL nzima hajawahi kuwepo. Sasa twende polepole;

Henry alishinda kombe la UCL 2009 alichangia magoli 8, 6 alifunga katika hatua ya mtoano. Drogba alipata UCL 2012 akachangia magoli 8, 4 tu ndiyo alifunga katika hatua ya mtoano.

Henry ana jumla ya magoli 58 ya kuamua ushindi kwenye ligi ya EPL, Drogba ana magoli 31.
Pia Henry amechagia magoli 64 dhidi ya timu za Top 4 EPL + Hatua ya mtoano kwenye UCL, wakati Drogba ana 41.

Tangu Drogba afike Chelsea mpaka anaondoka ana jumla ya magoli 20 dhidi ya top 6 wakati Henry ana magoli 24 dhidi ya Liva, Man U na Chelsea pekee. Hapo hujamhesabia waliobaki.

Henry amefunga magoli 20+ mara nne katika EPL wakati Drogba amefunga magoli 15+ mara mbili tu.

Drogba amejinyakulia kiatu cha dhahabu pale EPL mara mbili. Henry amechukua kiatu cha dhahabu mara NNE.

Henry amepata tuzo ya Player of the Season mara 2 na katika tuzo za Ballon D'Or amefika kwenye tatu bora mara mbili. Drogba hapa hana chake.

Kimataifa Henry ameshinda kombe la dunia 1998 na kua France top scorer na 2006 akatoboa mpaka fainali. Bwana Drogba hapa hana kitu pia aliishia hatua ya mtoano mara tatu zote alizonusa kombe la dunia.

Kuna plastic litakuja kuandika komedi hapa.
2nd paragraph. Nilidhani ni mlinganyo akiwa Arsenal peke yake.
Hahaha acha bwana kumbe ndiyo nnachojivunia
 
2nd paragraph. Nilidhani ni mlinganyo akiwa Arsenal peke yake.
Hii comparison imeenda mpaka levo ya kimataifa. Wote wamecheza levo ya kimataifa. Na kwakua wote walienda UCL na kuchukua ndiyo maana ikawa included. Kama unahisi Drogba kaonewa ruhusu tupretend Henry hajachukua UCL
 
Hii comparison imeenda mpaka levo ya kimataifa. Wote wamecheza levo ya kimataifa. Na kwakua wote walienda UCL na kuchukua ndiyo maana ikawa included. Kama unahisi Drogba kaonewa ruhusu tupretend Henry hajachukua UCL
pretend wewe basi maana Drogba ana EPL 4 Henry anazo 2 naona hili hili hukuliona katika comparison zako.

Tupretend wote(mimi na wewe) Drogba anazo 2 nayeye hizo 2 nyingine pretend ni za kuokota. Naomba tusizungumzie FA Cup tupretend walikua hawashiriki
 
Hadi mwezi July 2020 hizi timu 5 bora ndizo zinazoongoza kwa mashabiki duniani , kama timu yako haipo hapo kachongeni midoli itaongeza namba
  1. Real Madrid – 225m

  2. Barcelona – 217m

  3. Manchester United – 127.5m

  4. Juventus – 83.8m

  5. Chelsea – 82.2m

 
Hadi mwezi July 2020 hizi timu 5 bora ndizo zinazoongoza kwa mashabiki duniani , kama timu yako haipo hapo kachongeni midoli itaongeza namba
  1. Real Madrid – 225m

  2. Barcelona – 217m

  3. Manchester United – 127.5m

  4. Juventus – 83.8m

  5. Chelsea – 82.2m

Lazima watakuja kupinga
 
Germany Vs Swiss katika kikosi cha kwanza wameanza Timo, Kai na Rudiger

Huku Spain naona leo Keppa kaanzia benchi De Gea kaanza.
 
Hadi mwezi July 2020 hizi timu 5 bora ndizo zinazoongoza kwa mashabiki duniani , kama timu yako haipo hapo kachongeni midoli itaongeza namba
  1. Real Madrid – 225m

  2. Barcelona – 217m

  3. Manchester United – 127.5m

  4. Juventus – 83.8m

  5. Chelsea – 82.2m

Mashabiki wa arsenal watabisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom