DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Hakuna mshabiki atakae sema drogba au henry kuwa mmoja wapo ni mchezaji bora kywahi kutokea epl
Yoyote atakae sema hvyo bas huyo hajui mpira kbsa..
Wewe nae unajua mpira? Bas sawaHakuna mshabiki atakae sema drogba au henry kuwa mmoja wapo ni mchezaji bora kywahi kutokea epl
Yoyote atakae sema hvyo bas huyo hajui mpira kbsa..
Wewe nae unajua mpira? Bas sawaWewe ndugu utakua mshamba sana. Labda ni kwambie kwa ufupi nina jezi ya Chelsea, Everton, Leicester, Liver, Yanga, Roma, Madrid. Jiulize tuko wangapi tunaonunua jezi tofauti tofauti kama mimi.Hehehe jezi ya Arsenal ilishika nafasi ya kwanza kwa mauzo mwezi uliopita. Kabla ya Arsenal kushika namba 1 iliyokua namba 1 ni liva nyinyi plastic fans labd mpo wengi ila hata kununua jezi hamuwezi.
Wewe ni kituko yan unajitekenya na unacheka mwenyewe. Hayo maneno yako wenyewe angekua amesema shabiki wa Chelsea sawa.Ukikutana na plastic kutoka chelsea hatasita kukuambia hajawahi kutokea mchezaji hatari kama Drogba na EPL nzima hajawahi kuwepo. Sasa twende polepole;
Henry alishinda kombe la UCL 2009 alichangia magoli 8, 6 alifunga katika hatua ya mtoano. Drogba alipata UCL 2012 akachangia magoli 8, 4 tu ndiyo alifunga katika hatua ya mtoano.
Henry ana jumla ya magoli 58 ya kuamua ushindi kwenye ligi ya EPL, Drogba ana magoli 31.
Pia Henry amechagia magoli 64 dhidi ya timu za Top 4 EPL + Hatua ya mtoano kwenye UCL, wakati Drogba ana 41.
Tangu Drogba afike Chelsea mpaka anaondoka ana jumla ya magoli 20 dhidi ya top 6 wakati Henry ana magoli 24 dhidi ya Liva, Man U na Chelsea pekee. Hapo hujamhesabia waliobaki.
Henry amefunga magoli 20+ mara nne katika EPL wakati Drogba amefunga magoli 15+ mara mbili tu.
Drogba amejinyakulia kiatu cha dhahabu pale EPL mara mbili. Henry amechukua kiatu cha dhahabu mara NNE.
Henry amepata tuzo ya Player of the Season mara 2 na katika tuzo za Ballon D'Or amefika kwenye tatu bora mara mbili. Drogba hapa hana chake.
Kimataifa Henry ameshinda kombe la dunia 1998 na kua France top scorer na 2006 akatoboa mpaka fainali. Bwana Drogba hapa hana kitu pia aliishia hatua ya mtoano mara tatu zote alizonusa kombe la dunia.
Kuna plastic litakuja kuandika komedi hapa.
Huyu anajitekenya na kucheka mwenyewe. Atuambie ni nani kasema ivyoHakuna mshabiki atakae sema drogba au henry kuwa mmoja wapo ni mchezaji bora kywahi kutokea epl
Yoyote atakae sema hvyo bas huyo hajui mpira kbsa..
Sema hapo mmepata mtu bhana. Yan ni kama Leicester wakiwa na Ndidi.Just a greetings to his neighbour..... NyieView attachment 1598481
Mwambie Lembu akusaidie kufukua comments zangu kama alivyofanya kwa Ngwaba.Weka comment yako tuone,
Hahaha na ushamba tena boss?Wewe ndugu utakua mshamba sana. Labda ni kwambie kwa ufupi nina jezi ya Chelsea, Everton, Leicester, Liver, Yanga, Roma, Madrid. Jiulize tuko wangapi tunaonunua jezi tofauti tofauti kama mimi.
Hizi mada za mashabiki tukianzisha huwa mnakimbia wenyewe pamoja na kuwaletea sources zote. Inatosha mimi nimechoka
Also as a bonus. Henry amekua kwenye kikosi kilichochukua kombe bila kupoteza hata mechi moja.Wewe ni kituko yan unajitekenya na unacheka mwenyewe. Hayo maneno yako wenyewe angekua amesema shabiki wa Chelsea sawa.
Yan unajitengenezea kastori basi tu ilimradi ujichangamshe. Umekosa kazi blaza.
Baada ya hapo akaenda Barca kuchukua UCL na ndio unachojivunia.Also as a bonus. Henry amekua kwenye kikosi kilichochukua kombe bila kupoteza hata mechi moja.


Hahaha acha bwana kumbe ndiyo nnachojivuniaBaada ya hapo akaenda Barca kuchukua UCL na ndio unachojivunia.![]()
2nd paragraph. Nilidhani ni mlinganyo akiwa Arsenal peke yake.Ukikutana na plastic kutoka chelsea hatasita kukuambia hajawahi kutokea mchezaji hatari kama Drogba na EPL nzima hajawahi kuwepo. Sasa twende polepole;
Henry alishinda kombe la UCL 2009 alichangia magoli 8, 6 alifunga katika hatua ya mtoano. Drogba alipata UCL 2012 akachangia magoli 8, 4 tu ndiyo alifunga katika hatua ya mtoano.
Henry ana jumla ya magoli 58 ya kuamua ushindi kwenye ligi ya EPL, Drogba ana magoli 31.
Pia Henry amechagia magoli 64 dhidi ya timu za Top 4 EPL + Hatua ya mtoano kwenye UCL, wakati Drogba ana 41.
Tangu Drogba afike Chelsea mpaka anaondoka ana jumla ya magoli 20 dhidi ya top 6 wakati Henry ana magoli 24 dhidi ya Liva, Man U na Chelsea pekee. Hapo hujamhesabia waliobaki.
Henry amefunga magoli 20+ mara nne katika EPL wakati Drogba amefunga magoli 15+ mara mbili tu.
Drogba amejinyakulia kiatu cha dhahabu pale EPL mara mbili. Henry amechukua kiatu cha dhahabu mara NNE.
Henry amepata tuzo ya Player of the Season mara 2 na katika tuzo za Ballon D'Or amefika kwenye tatu bora mara mbili. Drogba hapa hana chake.
Kimataifa Henry ameshinda kombe la dunia 1998 na kua France top scorer na 2006 akatoboa mpaka fainali. Bwana Drogba hapa hana kitu pia aliishia hatua ya mtoano mara tatu zote alizonusa kombe la dunia.
Kuna plastic litakuja kuandika komedi hapa.
Hahaha acha bwana kumbe ndiyo nnachojivunia
Hii comparison imeenda mpaka levo ya kimataifa. Wote wamecheza levo ya kimataifa. Na kwakua wote walienda UCL na kuchukua ndiyo maana ikawa included. Kama unahisi Drogba kaonewa ruhusu tupretend Henry hajachukua UCL2nd paragraph. Nilidhani ni mlinganyo akiwa Arsenal peke yake.
Hii comparison imeenda mpaka levo ya kimataifa. Wote wamecheza levo ya kimataifa. Na kwakua wote walienda UCL na kuchukua ndiyo maana ikawa included. Kama unahisi Drogba kaonewa ruhusu tupretend Henry hajachukua UCL

pretend wewe basi maana Drogba ana EPL 4 Henry anazo 2 naona hili hili hukuliona katika comparison zako.

Sijazoea kusikia wachezaji wakitukana mpaka nilipoanza kucheki video za kina Laca na Auba. hUYU NAE YUMO 😀 😀Just a greetings to his neighbour..... NyieView attachment 1598481
Lazima watakuja kupingaHadi mwezi July 2020 hizi timu 5 bora ndizo zinazoongoza kwa mashabiki duniani , kama timu yako haipo hapo kachongeni midoli itaongeza namba
Real Madrid – 225m
Barcelona – 217m
Manchester United – 127.5m
Juventus – 83.8m
Chelsea – 82.2m
Mashabiki wa arsenal watabishaHadi mwezi July 2020 hizi timu 5 bora ndizo zinazoongoza kwa mashabiki duniani , kama timu yako haipo hapo kachongeni midoli itaongeza namba
Real Madrid – 225m
Barcelona – 217m
Manchester United – 127.5m
Juventus – 83.8m
Chelsea – 82.2m