Wameshaanza kuogopa, fujo zao zimepungua sana. Ligi inavyozidi kusonga mbele huwa kawaida Arsenal wanakuwa na adabu.Sasa humu kuna amani bado asernal tuuu
Tetesi za usajili zinasemaje? Je unaona dalili zozote za Chelsea kusajili.Lampard hana mpango wa kuwatumia akina Rudiger Alonso, Moses, RLC, DrinkWater
Kinyume chake Lampard adai ana mpango na Odoi na hivyo Bayern Munich wamekata tamaa kumfuatilia Odoi
Mkuu unata tusajili mchezaji gani tena? Bakayoko kaenda Napoli kwa mkopo.Tetesi za usajili zinasemaje? Je unaona dalili zozote za Chelsea kusajili.
Labda Arsenal Tula,Sisi Arsenal ya Mikel kifua mbele mwanzo mwishoWameshaanza kuogopa, fujo zao zimepungua sana. Ligi inavyozidi kusonga mbele huwa kawaida Arsenal wanakuwa na adabu.
Wahenga walisema
"Mwenzako akinyolewa, wewe tia maji"
Arsenal kwa sasa wanatia maji ...
Daah mpaka nawaonea huruma.Haya Leteni Gorginho
Hapa
Ceballos Gorginho Partey
Ili tukikutana tuwapige 7-2[emoji23][emoji23]
Mkuu, nasubiri dirisha lifungwe nithibitishe kama wewe unajua mpira au ni mpiga ramli tu mwenye unazi uliotukuka kwa kauli yako uliyoileta kule Gunners [emoji1]Mkuu unata tusajili mchezaji gani tena? Bakayoko kaenda Napoli kwa mkopo.
Sasa ivi akili zinaanza kuwakaa sawa sasa. Fujo mmepunguza japo bado zipozipo na hii ni baada ya hivi vipigo heavy vya majirani zetu.Labda Arsenal Tula,Sisi Arsenal ya Mikel kifua mbele mwanzo mwisho
Mmesajili Houssem na Partey tayari?[emoji26][emoji25]Mkuu, nasubiri dirisha lifungwe nithibitishe kama wewe unajua mpira au ni mpiga ramli tu mwenye unazi uliotukuka kwa kauli yako uliyoileta kule Gunners [emoji1]
Ili sisi tukae kimya timu yako inabidi ifanye vizuri, otherwise sisi bado wa moto, hatupoi[emoji3][emoji3]Sasa ivi akili zinaanza kuwakaa sawa sasa. Fujo mmepunguza japo bado zipozipo na hii ni baada ya hivi vipigo heavy vya majirani zetu.
Sasa ili mnyamaze mnatakiwa mpigwe za kutosha sana
Dua la kuku, mtapigwa nyie na makipa wenu wa OvyoSasa ivi akili zinaanza kuwakaa sawa sasa. Fujo mmepunguza japo bado zipozipo na hii ni baada ya hivi vipigo heavy vya majirani zetu.
Sasa ili mnyamaze mnatakiwa mpigwe za kutosha sana
Ulileta dharau eti Partey hawez kuacha Kucheza UCL aje Europa haya huyo hapo anapanda ndege anakuja londonMmesajili Houssem na Partey tayari?[emoji26][emoji25]
Kufungwa kwa hao wengine ,sisi inatuhusu nini?Sasa ivi akili zinaanza kuwakaa sawa sasa. Fujo mmepunguza japo bado zipozipo na hii ni baada ya hivi vipigo heavy vya majirani zetu.
Sasa ili mnyamaze mnatakiwa mpigwe za kutosha sana
Kwani timu yangu inafanya vibaya? [emoji23]Ili sisi tukae kimya timu yako inabidi ifanye vizuri, otherwise sisi bado wa moto, hatupoi[emoji3][emoji3]
Hebu kamilisheni kwanza ndio uje hapa jukwaaniUlileta dharau eti Partey hawez kuacha Kucheza UCL aje Europa haya huyo hapo anapanda ndege anakuja london
Kipa uyo unga unga mwana tayari ana clean sheet mechi ya kwanza EPLKufungwa kwa hao wengine ,sisi inatuhusu nini?
Msiposhinda tutakuja hapa kuweka kambi kama nyie mnavyokuja kwetu
Wiki hii ni nzuri kwa Arsenal na Chelsea ,ndio maana unaona kama kimya
Sasa tuache kweli kuwasumbua Man6 na 7iverpool ,
Wewe siuna beki Zouma na Thiago babu. ,kipa Unga Unga Mwana [emoji23][emoji23]
Cleansheet kwa palace ambao hawakupiga hata On target moja langoni?Kipa uyo unga unga mwana tayari ana clean sheet mechi ya kwanza EPL