lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,705
- 25,948
Nawashauri mashabiki wenzangu mnaomchukia Lampard muweke akiba ya hasira, msionyeshe waziwazi msije kuwa kama ndg yetu King Ngwaba sasa hivi anahangaika kutafuta posts za 2017 ili azifute kwa sababu zinamuumbua. Alikuwa hajamkubali kabisa KLOP na falsafa yake. Leo hii kule Liverpool kila mtu anamkubali
Siku za neema zikifika kila shabiki wa Chelsea atamkubali Lampard
Siku za neema zikifika kila shabiki wa Chelsea atamkubali Lampard