Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,361
- 77,176
Kepa alisajiliwa kwa 72M mwaka 2018 akawa kipa ghali zaidi duniani. Msimu wa 2018/19 alipata clean sheets 23 along the way akifanya amazing saves na one vs one za kutosha.
Alichangia chelsea kushika nafasi ya 3 epl, ubingwa wa uel na kushindania leagu cup.
Kisha kabla ya msimu wa 2019/20 kuanza akaachana na mpenzi wake, huyu mpenzi wake alikua naye kwa miaka 7, wote tunajua stress zinaweza kumfanya nini mtu wa kawaida. Hiki siyo kisingizio lakini hata wachezaji nao ni binadamu na kila mtu ana namna yake ya kudeal na hizi mambo.
Chelsea na bodi nzima inajua hilo ndiyo maana imeendelea kumuamini Kepa. Sisi wengine hatujali hilo tunachojali ni kutupa madongo tu which is not fair kama tutaongelea swala la ubinadamu.
Mendy kaja lakini hajaletwa kuchukua nafasi ya kwanza, nafasi ya kwanza ni reserved kwa Kepa amekuja kuleta ushindani tu wa hapa na pale na siyo kumpokonya namba.
Natumaini atarudi wenye right track. By the time acha Arsenal tuendelee kupambana.
Alichangia chelsea kushika nafasi ya 3 epl, ubingwa wa uel na kushindania leagu cup.
Kisha kabla ya msimu wa 2019/20 kuanza akaachana na mpenzi wake, huyu mpenzi wake alikua naye kwa miaka 7, wote tunajua stress zinaweza kumfanya nini mtu wa kawaida. Hiki siyo kisingizio lakini hata wachezaji nao ni binadamu na kila mtu ana namna yake ya kudeal na hizi mambo.
Chelsea na bodi nzima inajua hilo ndiyo maana imeendelea kumuamini Kepa. Sisi wengine hatujali hilo tunachojali ni kutupa madongo tu which is not fair kama tutaongelea swala la ubinadamu.
Mendy kaja lakini hajaletwa kuchukua nafasi ya kwanza, nafasi ya kwanza ni reserved kwa Kepa amekuja kuleta ushindani tu wa hapa na pale na siyo kumpokonya namba.
Natumaini atarudi wenye right track. By the time acha Arsenal tuendelee kupambana.