Wanarudi tar 3/10 sio za ndani hizi za nje, kwa sasa nafikiri wanapata match fitnessHabari wakuu. Ivi Zerych na Pulisic wanarudi lini kikosini mwenye taarifa za ndani ndani alete tafadhali
GoodTarehe 3 October Ziyech na Pulisic watakuwa wamerudi ila sijui kama watakuwa fit
Soon utaona aibu kwa kauli yako.Hii Timu ni TAKATAKA kabisa! Game tatu tu imesharuhusu GOLI6????
#coyg
Wanarudi tar 3/10 sio za ndani hizi za nje, kwa sasa nafikiri wanapata match fitness



Tena tunaweza kuwaona Mara chache sana maana fixture zijazo hzo za mwez wa 10 mmmhNi bora haya matakataka ya Arsenal yatapotea siku kadhaa. Maana yalizidi fujo.
Shubamiti.
Asante sana kwa utabiri wako chifu.Soon utaona aibu kwa kauli yako.
@ the blues
Waelewane tu ili kuleta hali ya hewa nzuri kwenye vyumba vya kubadilishia nguo....hatutaki mambo ya migomo baridi na virusiLampard amshushia hasira Alonso akiwa dressing room baada ya kutoroka uwanjani badala ya kuangalia mechi akiwa benchi
Kwa vita hii, alonso kuichezea Chelsea ndio kwisha kabisa hata Carabao sidhani kama atapewa
Frank Lampard 'gave Marcos Alonso a furious dressing down in front of a stunned Chelsea squad after the Spaniard went back on the team coach after being subbed at half-time' in their 3-3 draw at West Brom
Frank Lampard 'berated Marcos Alonso in front of squad' after WBA draw
- Marcos Alonso was substituted at the interval as Chelsea drew 3-3 at West Brom
- The defender was reportedly savaged by coach Frank Lampard after the match
- Lampard is said to have been furious that Alonso tried to return to the team bus
- Alonso returned to the stands in the second half after being at fault for two goals
Toa mfano wacha kuropokaWenzetu wanasajili na mchezaj anaingia uwanjan mapema na anaonyesha mafanikio, lkn hali n tofaut Chelsea mana ety n lzm mchezaj afanye mazoezi ndipo aanze kucheza rasmi..
Kwel Chelsea tumepigwa kuanzia kocha ad wasaidiz
JotaToa mfano wacha kuropoka
Toa mfano wacha kuropoka
Jota katoka EPL sio ligi ya njeJota