Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama ambavyo wakati ule mnajipanga sisi tunabeba tu makombe yeye Arsenal alikua anaendelea kushangaa shangaa tu kama saivi.

So ngoja na sisi tuendelee kujipanga nyie endeleeni kutembea tutakutana mbele kwa mbele.
Mchukueni Samatta aje acheze namba ya Werner mkuu
#Coyg
 
Chelsea mna mikwala sana,mechi mnaanza kwa kasi km maji ya bomba.Ule mpira anaofundisha Lampard haupo, abadilike,imagine West brom anakuwa matured kuliko nyie
 
*Looking at how active Chelsea are in this window u would think that they are winning Premier league, Champions league, FA cup, Caraboa cup and Club World Cup. But when they are on the pitch u would see Norwich under 23*
 
Westham vs Wolves 4-0
Mkuu, nakumbuka ulitudanganya humu kwamba Auba mlitaka mumchukue january mkaamua kumuacha,interview ya Auba now imeonesha story zako nyingi humu ni uwongo mtupu.
 
Bayern munich , Dotmund wafungwa na vitimu vidogo, Juve kaponea kama Chelsea kwa Roma
 
Mkuu, nakumbuka ulitudanganya humu kwamba Auba mlitaka mumchukue january mkaamua kumuacha,interview ya Auba now imeonesha story zako nyingi humu ni uwongo mtupu.
Wewe unaamini Auba anasema ukweli, unajua kitu kinaitwa diplomasia, hao wanafundishwa namna ya kusema na media kwenye maswala nyeti kama hayo. Hawaropoki kama tunavyofanya hapa JF
 
Wewe unaamini Auba anasema ukweli, unajua kitu kinaitwa diplomasia, hao wanafundishwa namna ya kusema na media kwenye maswala nyeti kama hayo. Hawaropoki kama tunavyofanya hapa JF
Sasa kama hawaropoki wewe hiyo story alikwambia senior gani wa Chelsea?
 
Kuanzia jana timu ndogo zimeuwasha moto si mchezo. Kuanzia Brighton, West Brom, Leicester, Hoffenheim na West Ham kashamsomea kesi Wolves.
 
Mkuu, nakumbuka ulitudanganya humu kwamba Auba mlitaka mumchukue january mkaamua kumuacha,interview ya Auba now imeonesha story zako nyingi humu ni uwongo mtupu.
1601245951365.png

As translated below, he says Aubameyang deserves to be playing for a team of the calibre of Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona or Liverpool, as well as City, which presumably means Manchester City…
1601246013934.png
 
Kesho tuko na Spurs, huyu Lampard asiweke kikosi cha kimama. Mourinho aliongea shit wakati tunasajili ..kesho Werner na Kai watamuonesha kazi.
#CFC 💙💙💙
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom