Sielewi jamaa kaona wapi 4 4 2Sky wanasema ni 4-2-3-1
Sielewi jamaa kaona wapi 4 4 2Sky wanasema ni 4-2-3-1
Mnaongozwa mbiliBest wishes the blues
Timo anafungua akaunti ya mabao leo
Ni mbiliAZIZA leo kapigwa benchi kaanza mjomba KOBELO ambaye naye kisha chezea kidude,Tammy na Warner wanashindana kukosa magoli.
😀
Mnaongozwa tatuBest wishes the blues
Timo anafungua akaunti ya mabao leo
Wes brom tunaongoza
,wameshatongozwa (sijakosea) huku 3 bila .
nilikuwa sijaamini (imenibidi nikimbilie google)