Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,192
Daah zile ban ziliwafundisha wengi sana kuna jamaa alikua anajiita Sergio kwenye majukwaa haya haya ya michezo tulikua tunapishana sana na ukipishana na naye ilikua ni mitusi kwemda mbele alikula ban ya maisha mpaka leo sijamuona tena.
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app



