Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Msishangae kuwaona humu na majukwaa mengine wakipiga umbea na kutukana tukana ovyo mnatakiwa mtambue hapo ni sawa na kipofu kaona mwezi tena wengi wao ndio kwa mara kwanza wanashuhudia timu yao ikiongoza toka waanze kushabikia. Kikubwa tujue namna ya kuishi nao baada ya mwezi najua hali zao zitakuaje hatutaona humu wala huko kwao.
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Then ni mgawanyo wa majukumu tu,wewe baki kule mimi kaz yangu kuhakikisha kwa wapinzani njaa haikauki, wewe ni mgeni siwezi kukulaumu,
kama torreira,

