Oya sio vizuri kutukananaWe mku. ndu, kama hujui tulia mse. nge ww.
Oya sio vizuri kutukananaWe mku. ndu, kama hujui tulia mse. nge ww.
VP mkuu wanaweza kuwepo jpili?Chilwel na Thiago wameanza mazoezi rasmiView attachment 1571566View attachment 1571567View attachment 1571568View attachment 1571569View attachment 1571570
Dah hii game imekuja mapema sana ukizingatia hatukuwa na pre season games nyingi+ majeruhi....all in all blue is the colour naimani na lads.... ktbffhDah tusubirie press conference ya kocha kuelekea mechi ya jumapili.
Ila sidhani kama chilwell na thiago watapangwa kwa muda mfupi/wiki hii kuanza kutrain.
Ziyech bado hajaanza mazoezi
Pulisic 50/50.
Na pia km chilwell ndo hvyo 50/50 ....tucheze tu 3-4-3 formation inayomsuit Alonso vizuri...maana game ya jtatu DG tariq lamptey alikuwa anateleza tu upande Wa Alonso mithiri ya winga ...Jumapili Lampard asirudie kosa la kumpanga Harvetz kama winga. Tunataka kumuona anacheza nyuma ya striker/CAM
Toa hapo Christensen weka rudiger.Hahahaha nilisikia Alonso aliwekwa mfukoni. Sasa mkuu tukimpanga Alonso si ndio majanga ataweza kumkaba kiberenge salah?
Tuweke Azipu
Werner - Giroud - Mount
Kovacic - Harvetz - Kante
Azipu - Zouma - Christensen - James
Umemuangalia kwenye game za international?RUDGER? Mzee huyu jamaa siku hizi amekuwa kijana mang'aa, hajatulia kabisa, maboko mengi, mawenge sijui amepatwa na nini.
Kweli rudiger msimu uliopita alikuwa ovyo lakini uwezi kumfananisha na mtu Kama Christensen, Christensen ana tatizo kwenye ukabajiSijamwangalia mkuu, hata Batshuayi international anakiwasha hatare. Ila mechi ya Juzi na Brighton si alianzia bechi?
Lamptey ananiuma sana yule dogo sijui kwanini Chelsea walimuuza.Na pia km chilwell ndo hvyo 50/50 ....tucheze tu 3-4-3 formation inayomsuit Alonso vizuri...maana game ya jtatu DG tariq lamptey alikuwa anateleza tu upande Wa Alonso mithiri ya winga ...
Tulia wewe😂😂😂😂😂
Huyu nani kaumbika hivi?
Hamna kitu magarasa watupuChilwel na Thiago wameanza mazoezi rasmiView attachment 1571566View attachment 1571567View attachment 1571568View attachment 1571569View attachment 1571570
Huyo dogo mechi iliyopita alicheza vizuri sana sidhani kama kocha atafanya makosa ya kumweka nje CB aliyeanza na form nzuri namna hiyo. Rudiger kumuweka ni kubahatisha, wakati ligi inaishia alikuwa kwenye bad formToa hapo Christensen weka rudiger.
LAMPARD OUTLampard ana matatizo sana, huyo jamaa siku akiondoka Chelsea nitachinja mbuzi.
Kocha gani hajui ata kupanga kikosi
Kwahiyo kama wote vilaza basi huu uzi tuuite VILAZA THREAD.Na wewe kilaza tu kama yeye, wazoefu wa getto na madawa, STUPID IDIET
Watu wana wasiwasi inawezekana Super Frank yuoo humu anachungulia tu, kama Ole anavyochungulia kule kwa manyumbuSasa ninaanza kuwaelewa vizuri akina Dully, kuna watu hapa ni screen tu zinawaficha lakini wangejitokeza ni hovyo sana, hawezi kuchangia bila kutukana, hawezi kumpinga shabiki mwingine bila tusi, Na hivi hivi kwenye majukwaa mengine mnaleta aibu
Mimi kusema tu Giroud atolewe kama swap deal ya kumpata Mendy basi wao mitusi utafikiri mimi nina mamlaka ya kumtoa Giroud na ni wazo tu. Wao wanaona Giroud ni wa muhimu sawa sikatai lakini mimi nimeona kipa wa muhimu zaidi,
Samahani kwa wana Chelsea wenzangu, Mimi mtu akinijia kichwa kichwa na mimi hivyo hivyo. Hakuna mtu mwenye hati miliki ya mawazo na jukwaa hili. Kama mtu anajua kuliko wengine humu na hataki mawazo mbadala asepe. Huu ni ujinga mtupu kuendekeza wala unga humu kwenye mwamvuli wa ushabiki