Hivi unakumbuka zile sub za Solomon Kalou, Frank Malouda, Ramires?
Brother usifanye sub kujaza nafasi, wewe unawaza sub za kujaza nafasi.
Fanya sub ya kiufundi, kupata kilicho bora zaidi kuboresha game. Angalia man city benchi lao la sub mpaka vilabu epl vimepiga kura sub 5 ziondolewe man city angeua mtu.
Chelsea kwa sasa hatuna sub za maana bali tuna wachezaji wa kujaza nafasi;-
Barkely
Mount
Cheek
Tammy
Joginho
Odoi
Tena ikiwezekana tunatakiwa tusign angalau winga mbili (Kushoto Na kulia) kwa mkopo kabla dirisha halijafungwa.