Tafuta pesa ukitoa ikuume kila mmoja atumie alichojaliwa .pesa atoe mwingine unaumiwa wewe ,maajabu! maajabu!Mkuu hawa chelwowowo ndio kawaida yao
Asa wewe kwa akili yako ya mbu unadhani kombe la Europa na kombe la FA lipi lina pesa nyingi?Giroud huyohuyo aliyewapatia kombe la Europa Chelsea na kuwaacha arsenal wakishinda vibao vya jamii.
Endelea hivyo hivyo kujidanganya.Wengi wa wanaomponda huyu dogo ni aidha wameanza kumfuatilia msimu huu so hawana idea yoyote juu ya huyu dogo au hawamjui kabisa wamesikia kwenye media so nao wanafuata mkumbo.
Nakumbuka mwaka jana niliwahi kuweka bandiko kwenye page aidha ya Liverpool, Man Utd au Arsenal nikasema timu itakayo msajili huyu dogo itakua imelamba dume parefu kipindi hicho sisi tumepigwa pin usajili so kukawa na tetesi kati ya hizo timu kutoka EPL. Kumbe kusema nilikua najisemea mwenyewe na hatimaue sogo amekuja na ninawahakikishia wote wanaopiga vijembe ni aidha timu zao zilijaribu zikashindwa au wanaona wivu zilishindwa ku compete na Chelsea kwa uyu dogo.
Wazee kama nilivyosema mwaka jana tumelamba dume kwa usajili huu. Tuendelee tu kunywa supu nyama zipo chini.View attachment 1559121
Hujui mpira ww kaà kimya kwa hyo ww kipimo cha mchezaji mzuri wakimtaka hzo tmu ulizozitaja ndio unajua mzuri hah Acha kulala ww mpira hauchezwi chumbani unachezwa wazi KAI NI FUNDI WA MPIRA SUBILI UONE .... KANGA MAJI WWEndelea hivyo hivyo kujidanganya.
Tukisema mmepigwa basi mmepigwa kweli.
We kama angekuwa mchezaji mzuri hao Man City, PSG, Bayern na Real Madrid walikuwa wapi mpaka wasimchukue.
Kasome taarifa kuhs hizo team nyingineEndelea hivyo hivyo kujidanganya.
Tukisema mmepigwa basi mmepigwa kweli.
We kama angekuwa mchezaji mzuri hao Man City, PSG, Bayern na Real Madrid walikuwa wapi mpaka wasimchukue.
Wewe ndio hujui mpira unajazwa ujinga..Hujui mpira ww kaà kimya kwa hyo ww kipimo cha mchezaji mzuri wakimtaka hzo tmu ulizozitaja ndio unajua mzuri hah Acha kulala ww mpira hauchezwi chumbani unachezwa wazi KAI NI FUNDI WA MPIRA SUBILI UONE .... KANGA MAJI WW
Wewe kweli kichwa maji.. Asa asieijui Bayern ni nani?Kasome taarifa kuhs hizo team nyingine
Madrid,Bayern kabla hujaongea
Mmemshindwa Brighton mbwa nyieKesho Jumapili Chelsea ina mechi ya kirafiki kujiandaa na msimu mpya.
Chelsea Vs Arsenal, NYUMBU, LiverKUKU
Nyie mmemaliza nafasi ya ngapiWewe ndio hujui mpira unajazwa ujinga..
Huyo Havertz labda awe fundi ujenzi lakini hawezi kuwa fundi wa mpira.
Endelea na hiyo hiyo mentality yako, msimu huu ntajiona kwenye nafasi ya 6.
Chupi-za-buluu fc
Unasema?Nyie mmemaliza nafasi ya ngapi
Unauliza matako cheltako? Subiri Arteta anaanza msimu full mwaka huu, pamoja na kuja katikati kabeba mataji mawili huku lampenalty akitoka na sifuriNyie mmemaliza nafasi ya ngapi
kwa timu gani? Hao watoto wa Mombasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]IKO SIKU KILA GOTI LITAPIGWA NA KILA ULIMI UTAKIRI YA KWAMBA BLUE IS THE COLOR AND LONDON IS BLUE NA HIVI VIRUSI VILIVYOTUINGILIA HATUTAVIONA TENA HUMU
Kwamba wameshikishwa kama kawaida yao,kama ilivyokuwa kwa Pazia Kepa [emoji3][emoji3]Bodi ya Leverkusen muda huuView attachment 1559332