lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,694
- 25,910
Matusi hayo tenaYeah KEPA tunampeleka kaa mkopo arsenal au hata Spurs uko akapate uzoefu zaidi.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Matusi hayo tenaYeah KEPA tunampeleka kaa mkopo arsenal au hata Spurs uko akapate uzoefu zaidi.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Matusi gani, mfano uyo kipa uliyempendekeza akanunuliwa kepa atabaki kufanya nini? Atakuwa second choice?Matusi hayo tena
🤣🤣🤣🤣🤣 Aron arsenal nae inabidi apigwe ban la sivyo itakuwa uonevu.Huyo jamaa unamuulizia kaisha pigwa ban
Sawa dogoGay gooner.
Hawa hawasumbui mkuu, ni watoto wadogo[emoji23]Yaan chelsea mkilalamika kuwa hawa jamaa wanawakera kwenye jukwaa lenu mnakwama sana na ndio mnawapa nguvu ya kuwatekenya vizuri. dully jr njoo huku uongeze dozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wangu maisha yako yatazidi kuwa magumu sababu ya vitu viwili,Matusi gani, mfano uyo kipa uliyempendekeza akanunuliwa kepa atabaki kufanya nini? Atakuwa second choice?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Naona mnawakabia juu kwa TorreiraHawa hawasumbui mkuu, ni watoto wadogo[emoji23]
Tushaswitch mfumo, tunakaba kwenye final third[emoji23]
Mm.siwez kupigwa ban ,sina matusi ,wala kashfa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aron arsenal nae inabidi apigwe ban la sivyo itakuwa uonevu.
Du sioni kama ni jambo Zuri kumuacha KANTE TUNAHITAJI WATU WALIOPEVUKA wachanganyikane na vijana ili kuleta chemistry nzuri watuwazima nao ni kitu cha muhimu sana katika timu kumuacha asepe si kitu kizuri ni Mtazamo wangu tuInter determined to sign Kante
The Nerazzurri are ready to sell Joao Mario, Ivan Perisic and Dalbert Henrique in order to fund a swoop for the French midfielder, who is currently valued at £60 million ($79m).
Inter boss is eager to reunite with Kante at San Siro, having worked with the 29-year-old at Chelsea between 2016 and 2018.
View attachment 1561397
Bado kuna anayejiita Gpil na Ollachuga OC [emoji23][emoji23]Huyo jamaa unamuulizia kaisha pigwa ban