Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Afu sasa wanalonga tulivyotoa sare na brighton

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumetest mitambo , wakaingia U23

Mechi muhimu tulishashinda , mbona hukupost?
IMG_20200904_234236.jpg
 
Haaahaaaa duh Hata sisi tulitest mitambo na kipindi cha pili timu zote waliingiza U23 lkn hatukujitetea hvyo km nyie....... mlisema Brighton walitupa alarm KWA sare ...VP nyie kiminyo hichi ?View attachment 1559988

Sent using Jamii Forums mobile app
Mna U23 nyie toka lini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona huulizi hizi mech rasmi tulizo cement history?

lukinjatigana-20200829-0001.jpg
 
Masikini huwezi ukampangia tajiri matumizi ya pesa yake.ndo maana mtu ambaye hana hela akikuona mwenye pesa unanunua hata soda atasema unatumia pesa vibaya,eti kisa tu kwasababu yeye hana hata hera yakununulia chunvi.
Ndio hivyo, jenga uwanja kwanza.
 
Kwa usajili huu naona tumetibu matatizo mengi sana tena kwa muda mrefu..

Namba 9 - werner + werner inamaana tuna uhakika wa miaka zaidi ya 7 mbele kuwa na watu hatari kabisa

Kai , Ziyech, Odoi, Pulisic, Kovacic. Hawa watu wanamda mrefu tuu wakutamba pale the blues

T.Silva el captain naamini atasaidia kuwajenga vizuri zouma pamoja christiansen..

The Blues tuna miaka zaidi ya 10 mbele kua kati ya timu bora duniani
Kwa hiyo Mtachukua kombe gani nxt season?
 
Hatukumpiga Liverpool tu
1599376085063.png

Kwenye usajili wa Timo werner timu kubwa za EPL zilikutana au kumpigia simu agent wa Timo Werner ili kumshawishi ajiunge na timu zao.
Liverpool wao walishindwa mapema kwa sababu ya Corona
Ole alikutana na agent wa Timo kule Berlin kumshawishi ajiunge na Manure
Naye Pep alimpigia simu akimtaka mteja wake akubali kuja Etihad
Mwisho wa siku Timo aliamua kuja Darajani kwa sababu ya ushawishi mkubwa aliokuwa nao Frank Lampard. Na hii ndio trait mojawapo ya kiongozi mzuri, USHAWISHI"
 
Kai Havertz sio mchezaji ghali wa siku zote Chelsea
Pesa iliyolipwa ni Paundi mil 62 na paundi mil 8 zitalipwa kama addons
Kepa atabakia kuwa mchezaji ghali wa siku zote Chelsea
1599376686708.png

"This is according to the Telegraph, who claim the initial fee is actually closer to £62m with a further £8m in add-ons – rather than the previously believed £72m initial fee and £20m in add-ons"
 
Manabii wa UONGO wamenza tena
Robbie Savage is tipping Manchester United to finish as runners-up to Liverpool FC in the Premier League table this season, with Chelsea FC coming third.
1599376842554.png
 
Arsenyeto Fans msimu huu hawatakuwa na kazi ya kuifuatilia timu yao kabisa
bali wataifuatilia Chelsea kwa karibu
Chelsea ikifungwa au kutoa droo, huku hakutakalika
Kwa hiyo tuna kazi kubwa ya kufunga hizo DOMO KAYA
zilizojaa kejeli na mitusi msimu huu
 
The Blues plan to either sell or loan the likes of
  1. Jorginho,
  2. Emerson Palmieri,
  3. Fikayo Tomori and
  4. Tiemoue Bakayoko
 
Mashabiki wa chelsea tunaharib hii thread yetu sisi wenyewe,tukiacha maswala ya kuwaita sijuo g** gooner na maneno ya hovyo sidhani kama mashabiki wa arsenal wataendelea kupost vitu ambavyo no vya kipuuzi humu ndani.

Tuangalie ma jukwaa ya liverpool na man utd wanavyojadili kule unaweza peleka ujinga wako watu wakaupuuza ila hukh ujinga ukipostiwa tu watu tunataka tujib

Tushakuwa watu wazima tuact kama watu wazima.
Tudiscuss issue zinazoihus team wapi tunahitaj improvement, na wapi tunaelekea baada ya sajili hizi n etc sio kuanza kuitana na mashabiki wa arsenal maneno ua kipuuzi
 
Kwa usajili huu naona tumetibu matatizo mengi sana tena kwa muda mrefu..

Namba 9 - werner + werner inamaana tuna uhakika wa miaka zaidi ya 7 mbele kuwa na watu hatari kabisa

Kai , Ziyech, Odoi, Pulisic, Kovacic. Hawa watu wanamda mrefu tuu wakutamba pale the blues

T.Silva el captain naamini atasaidia kuwajenga vizuri zouma pamoja christiansen..

The Blues tuna miaka zaidi ya 10 mbele kua kati ya timu bora duniani
Yale matakataka yasikisia hivi yatapata homa ya gafla

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Watu wana cement history ,nyie mnaleta ujanja ujanja

Nan atakukumbuka ulimaliza top 4 , watu watakukumbuka kwa kubeba taji lolote

Watu wanafunga safari pande NNE za dunia kwenda kufanya tour kuona history za vilabu na kujione mataji .
Sarri kafukuzwa kwa sababu ya taji la ulaya wakati ligi ya serie A kabeba ..heshima ipo kule bwana alaa.. wew endelea na vishilingi vyako vya CS[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jinsi gani unadhihirisha ninyi ni timu ndogo.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
[emoji828]Shevchenko flopped there
[emoji828]Robben flopped there[emoji12]
[emoji828]Morata flopped there[emoji847]
[emoji828]Torres flopped there[emoji28]
[emoji828]Falcao flopped there[emoji41]
[emoji828]Debryne flopped there[emoji2]
[emoji828]Salah flopped there[emoji85]
[emoji828]Kepa flopped there

And
[emoji3502]Ziyech will ... there[emoji23]
[emoji3502]Wemer will ... there[emoji1745]
[emoji3502]Sarr will ...there[emoji1787]
[emoji3502]Thiago will ... there[emoji849]
[emoji3502]Chiwell will .... there[emoji2297]

Which club is that[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Angalia uyu takataka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom