Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hawa kikos chao cha makaratasi kinawapa kiburi

Subiri waone moto kuanzia wiki ijayo
Nikikumbukuka Chelsea hii ulioimba inashuka daraja ,itakuwa ya kumi na saba ...matokeo yake miaka inapita hiyo ata champions league position arsenal imekuwa ndoto .Ngoja tuache muda useme ,maana unakuwaga mpole na mtulivu
 
Ndio maana nimesema anza na wanyumban kwako hao ndio wanakuja kuleta fujo na kejeri

Ndio maana unaona na Sisi tuna react ,
Ninyi hamzijui taratibu kuwa mnapaswa kutaarifu kwa Moderators wamtoe kabisa kwenye JF?

Sasa mnapata faida gani kujibizana na watu matusi ilihali hii ni sehemu ya burudani?

Tena isitoshe labda ni watu wazima mnaoongoza familia hata wasifu mbalimbali katika jamii.

Tafadhalini sana ndugu zangu nawaomba tuheshimiane ili tufurahie maisha kuliko matusi.
 
Ninyi hamzijui taratibu kuwa mnapaswa kutaarifu kwa Moderators wamtoe kabisa kwenye JF?

Sasa mnapata faida gani kujibizana na watu matusi ilihali hii ni sehemu ya burudani?

Tena isitoshe labda ni watu wazima mnaoongoza familia hata wasifu mbalimbali katika jamii.

Tafadhalini sana ndugu zangu nawaomba tuheshimiane ili tufurahie maisha kuliko matusi.
Ndg unapoteza muda, HIYO sababu wameokota njiani tu, wao wana jambo lingine kabisa, nI wivu ndio inawala ndio maana baada ya chelsea kufanya usajili wa nguvu na pesa wakaona wivu. Wakiangalia Liverpool, Man city, Chelsea, Man United wanaona hawana pa kutobokea top 4 mwakani. Jealousy is killing them
 
Subiri mtaendelea kulialia, kama matusi ndio yanawasaidia tutaoneshana makaliView attachment 1559514
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-208050330.jpg


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hii timu ya ajabu sana mnapigwa $100 kwa galasa lile
Masikini huwezi ukampangia tajiri matumizi ya pesa yake.ndo maana mtu ambaye hana hela akikuona mwenye pesa unanunua hata soda atasema unatumia pesa vibaya,eti kisa tu kwasababu yeye hana hata hera yakununulia chunvi.
 
Endelea hivyo hivyo kujidanganya.

Tukisema mmepigwa basi mmepigwa kweli.

We kama angekuwa mchezaji mzuri hao Man City, PSG, Bayern na Real Madrid walikuwa wapi mpaka wasimchukue.
Daah bado kuna watu kama wewe hapa JF. Unadhihirisha uwezo wako mdogo wa kufikiri na kutoa hoja.

Loh loh [emoji23][emoji23][emoji23] unaaibisha madogo wenzako wa Arsenal. Kheri ungepiga kimya tu
 
Daah bado kuna watu kama wewe hapa JF. Unadhihirisha uwezo wako mdogo wa kufikiri na kutoa hoja.

Loh loh [emoji23][emoji23][emoji23] unaaibisha madogo wenzako wa Arsenal. Kheri ungepiga kimya tu
Acha kuzunguka wewe, bado hujatoa hoja ya kueleweka!

Kwa mujibu wako wewe si unasema kuwa mimi nina uwezo mdogo wa kutoa hoja? Nakusikiliza wewe sasa hoja yako iko wapi??

Nyie chupi-za-buluu[emoji156] hamna kitu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom