hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,667
- 27,550
Muulize Alonso alichofanywaPepe Yani hata kwa giroud hagusi[emoji23][emoji23]
Muulize Alonso alichofanywaPepe Yani hata kwa giroud hagusi[emoji23][emoji23]
Daaah! Hii timu haina kocha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]LampenaltyView attachment 1559306
Kijana acha kulalamika , waonye ndugu zako wanaokuja jukwaan kwetu kuleta fujo lasivyo hapatakalikaUzi huu ni wa Arsenal FC au Chelsea FC?
Mbona umejaa kejeli, matusi na malalamiko tele toka kwa mashabiki wa Arsenal FC hadi sisi mashabiki wa Chelsea FC tunashindwa hata namna ya kuchambua habari za klabu yetu kwa amani?
Nawaomba mashabiki wa Arsena FC mujitambue kama mashabiki wa timu zingine walivyo na staha ikiwa mtakuwa na hoja nzuri kuchambua habari za soka maana hili ni jukwaa huru lakini tusidharauliane hadi tukatukanana sababu tu tuko nyuma ya keyboards.
Wee subiri tu ligi ianze, na vichapo vikienea kila kona watatulia na visingizio juu mara nilibanwa kazini, mara nilikuwa nauguza, mara nilikuwa na project, mara bosi wangu alinibana sana nkUzi huu ni wa Arsenal FC au Chelsea FC?
Mbona umejaa kejeli, matusi na malalamiko tele toka kwa mashabiki wa Arsenal FC hadi sisi mashabiki wa Chelsea FC tunashindwa hata namna ya kuchambua habari za klabu yetu kwa amani?
Nawaomba mashabiki wa Arsena FC mujitambue kama mashabiki wa timu zingine walivyo na staha ikiwa mtakuwa na hoja nzuri kuchambua habari za soka maana hili ni jukwaa huru lakini tusidharauliane hadi tukatukanana sababu tu tuko nyuma ya keyboards.
Hizi kejeri ,mkiwashiwa moto mnalialia ,endeleeni tutaoneshana makaliArsenyeto wote ni sawa na wagonjwa wa ukimwi, hawna matumaini ya kuishi tena ndio maana wanahasira kila kona kila saa
Tuwasamehe bure tu
Na mtapigwa kweli tena sana ,Brighton juzi kawapa AlarmWee subiri tu ligi ianze, na vichapo vikienea kila kona watatulia na visingizio juu mara nilibanwa kazini, mara nilikuwa nauguza, mara nilikuwa na project, mara bosi wangu alinibana sana nk
Lini uliniona kwenye uzi wa Asrenal nikihangaika na habari zisizonihusu tena kwa matusi?Kijana acha kulalamika , waonye ndugu zako wanaokuja jukwaan kwetu kuleta fujo lasivyo hapatakalika
Usidhani Arsenal ni wajinga au hawajitambui, waonye ndugu zako, waache kuja jukwaan kwetu kuleta kejeri na mipasho ,
Nasema lasivyo hapatakalika
Na hao nduguzo unawajua na wanajulikana kwa majina
Ndio maana nimesema anza na wanyumban kwako hao ndio wanakuja kuleta fujo na kejeriLini uliniona kwenye uzi wa Asrenal nikihangaika na habari zisizonihusu tena kwa matusi?
Jitambueni bhana maana hizi keyboards zisitutoe akili hadi tukatuanana kumbe wawezakuwa unamtukana hata ndugu/rafiki/jamaa tena mnayeheshimiana sana.
Heshima ni kujiheshimu kwanza na hakuhitaji gharama zozote zaidi ya hekima tu.
Ungejua ndugu zako Ndio wanaoleta hizo mambo ,ungewaonya hao kwanzaJukwàaa hili wahenga linachosha sana limejaaa KEJERI MATUSI NGONO ZA JINSIA MOJA HATA MPIRA HAUCHAMBULIWI YOTE HIII INALETW NA MASHABKI WA TIMU PINZANI ZENYE WIVU HASA ARSENAL NA MAN U PLZ TUACHIENI TIMU YETU KAMA ITAFANYA VZR POWA IKIZINGUA FRESH TU
Nani wakumfunga Arsenal, wewe timu yako inaweza!Wee subiri tu ligi ianze, na vichapo vikienea kila kona watatulia na visingizio juu mara nilibanwa kazini, mara nilikuwa nauguza, mara nilikuwa na project, mara bosi wangu alinibana sana nk
Kabisa mkuuUngejua ndugu zako Ndio wanaoleta hizo mambo ,ungewaonya hao kwanza
Na uzuri mnawajua , sasa endeleeni kuwakumbatia
Huyo anayejiita Putin , na huyo Olachuga ,n.k
Unadhan Arsenal fans ni wajinga ?
Mnakuja kwenye Uzi wetu kuleta fujo , Arsenal fans wakireact mnalalamika
Waonyeni ndugu zenu, kama mtaona fujo
Hawa kikos chao cha makaratasi kinawapa kiburiNani wakumfunga Arsenal, wewe timu yako inaweza!View attachment 1559415
Wivu wa nini? una kipi cha kuonewa wivu,huwa nashangaa sana ushabiki wa mpira mtu anachukulia personal [emoji1787][emoji1787]Jukwàaa hili wahenga linachosha sana limejaaa KEJERI MATUSI NGONO ZA JINSIA MOJA HATA MPIRA HAUCHAMBULIWI YOTE HIII INALETW NA MASHABKI WA TIMU PINZANI ZENYE WIVU HASA ARSENAL NA MAN U PLZ TUACHIENI TIMU YETU KAMA ITAFANYA VZR POWA IKIZINGUA FRESH TU
Ssa vitu kama hivyo post kwa jukwaaa lenuWivu wa nini? una kipi cha kuonewa wivu,huwa nashangaa sana ushabiki wa mpira mtu anachukulia personal [emoji1787][emoji1787]View attachment 1559416