PutinV
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 1,046
- 1,651
Mtakuwa hamna tofauti na YangaKilichobaki ni kipa tu ,tujiandae kushona suti ,blue is the colour
Magufuli tena 2020-2025Mtakuwa hamna tofauti na Yanga
Pesa yetu timu yetu mbona mnatesekaHii timu ya ajabu sana mnapigwa $100 kwa galasa lile
Wamepaniki haoPesa yetu timu yetu mbona mnateseka
Pesa yetu timu yetu mbona mnateseka
Mkuu hawa chelwowowo ndio kawaida yaoHii timu ya ajabu sana mnapigwa $100 kwa galasa lile
Mbona kafanana na KEPA asije akawa kama kepa ohoooNew colour new home
Blue is the colour View attachment 1558862View attachment 1558863View attachment 1558864
Ulichangia chochote ,mtanzania unakwama wapi pesa atoe mwingine unaumia wewe.Hii timu ya ajabu sana mnapigwa $100 kwa galasa lile
Giroud huyohuyo aliyewapatia kombe la Europa Chelsea na kuwaacha arsenal wakishinda vibao vya jamii.Giroud huyu huyu ambae bodi ya Arsenal iliamua kumpunguza baada ya kuonekana mzigo au?