Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tofauti yetu na wao sisi tulipochukua EL haikua kama wao walipochukua FA. Yapata mwezi sasa bado wanasherehekea.

Mid table
 
Haaaahaaaaaa hawa jamaa wanadhihirisha kabisa midtable
Who is Mid table team?
IMG-20200830-WA0007.jpg
FB_IMG_1596699465033.jpg
 
Nyie takataka hivi humu mnajadili nini? Wanaume tushafungua account za mataji huko
Msimu huu Sheffield ,wolves ,Burnley ,saint ,spurs wana jambo lao mtaenda namba 13, utazeeka bila kushiriki champions league ,kuchukua EPL ndio ndoto kabisa
 
Mwaka wa ngapi hii kale ka mziki ka champions league mnakasikia kwa jirani?endeleeni kupambana na wolves,Sheffield, everton na Leicester awacheki na kima wanakukabia chini chini huko
Kwa Akili yako Unadhan Arteta angeanza toka mwanzo mngepona nyie Chelshit?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom