Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Man utd flop of the season
*Lingard*
3 goals
2 assist.

Their player of the season
*Kovacic*
2 goals
3 assist.

And u are telling me this life is balance
Who is actually in charge of Chelsea awards?
 
Frank lampenalty
IMG_20200901_213847_758.jpg
 
Cheltyako harakati za maisha zinaendaje hamm//mm//
Nyie Makalio FC
Acheni ulimbukenge nyie. Mmeanza kushabikia Arsenane juzi kwa hiyo haya ndio makombe pekee mliyoyashuhudia mnaweza jivunia mbele yetu katika ushabiki wenu.
Man utd flop of the season
*Lingard*
3 goals
2 assist.

Their player of the season
*Kovacic*
2 goals
3 assist.

And u are telling me this life is balance
Who is actually in charge of Chelsea awards?
Ficha aibu hii mbele ya football intellectuals. Unaweza jikuta unarambwa makofi yasiyo na rangi kwa utumbo kama huu. Siyo kila kitu cha ku copy & paste tumia ubongo wako kufikiri wewe.
 
Zindukeni nyie mid table team kushinda FA Cup na CS imekua kero mngeshinda EL si JF ingefungwa kabisa.

Huo ulimbukeni wa kukosa makombe muda mrefu kwa hiyo mnatuliza machungu maana ni miaka kadha wa kadha mbele huko.
Kama inauma, chomoa
tapatalk_1598735840900.jpg
 
Mashabiki wa arsenal mnazingua sidhani hata kweny jukwaa lenu huwa mnafinyiwa hivyo
Mara nyingi watu huwa wanakuja kwenye jukwaa lenu kama mmefungwa ila nyie mnazingua hakuna chchote mnachopost zaid ya ujinga humu
Mnazingua

Waache tu ndio arsenyeto jukwaa lao limepooza kama mate ya mgonjwa ndio wanakuja kukazia vibwebwe huku kwa wanaume.
 
Acheni ulimbukenge nyie. Mmeanza kushabikia Arsenane juzi kwa hiyo haya ndio makombe pekee mliyoyashuhudia mnaweza jivunia mbele yetu katika ushabiki wenu.Ficha aibu hii mbele ya football intellectuals. Unaweza jikuta unarambwa makofi yasiyo na rangi kwa utumbo kama huu. Siyo kila kitu cha ku copy & paste tumia ubongo wako kufikiri wewe.
Wewe kenge ,tupo Arsenal kitambo, hata kabla Chelsea haijaanzishwa mwaka 2005

IMG_20200822_221008.jpg
 
Acheni ulimbukenge nyie. Mmeanza kushabikia Arsenane juzi kwa hiyo haya ndio makombe pekee mliyoyashuhudia mnaweza jivunia mbele yetu katika ushabiki wenu.Ficha aibu hii mbele ya football intellectuals. Unaweza jikuta unarambwa makofi yasiyo na rangi kwa utumbo kama huu. Siyo kila kitu cha ku copy & paste tumia ubongo wako kufikiri wewe.
Unabishana na takwimu?
Be humble mkuu
 
Mashabiki wa arsenal mnazingua sidhani hata kweny jukwaa lenu huwa mnafinyiwa hivyo
Mara nyingi watu huwa wanakuja kwenye jukwaa lenu kama mmefungwa ila nyie mnazingua hakuna chchote mnachopost zaid ya ujinga humu
Mnazingua
Mnavyokujaga kule kwetu kuleta vurugu ,mnaonaga raha sana?

Pumbaff , Tutakuja kuwawashieni moto humu hadi mkimbie Uzi wenu

 
Acheni ulimbukenge nyie. Mmeanza kushabikia Arsenane juzi kwa hiyo haya ndio makombe pekee mliyoyashuhudia mnaweza jivunia mbele yetu katika ushabiki wenu.Ficha aibu hii mbele ya football intellectuals. Unaweza jikuta unarambwa makofi yasiyo na rangi kwa utumbo kama huu. Siyo kila kitu cha ku copy & paste tumia ubongo wako kufikiri wewe.
Sawa amba ruti njoo nikupakate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom