Kwa ubovu huo wa timu pinzani kwa nini Arsenal imemaliza nafasi ya 8? Kwanini Everton na Wolves walishindwa kuingia top four?Lampard uwezo wake wa ukocha ni mdogo sana, tactics zake duni sana, arteta amemzidi Lampard kwa kila kitu. Arteta ni mzuri kiukocha kabla hata hajasajiliwa wachezaji wazuri. Chelsea imemaliza top 4 kwa ubovu wa timu pinzani. Kuna kipindi Chelsea inafungwa Mechi 5 still ipo top 4. Kwa wachezaji waliosajiliwa, Chelsea inahitaji kocha mkubwa mwenye uwezo mkubwa, Lamaprd level yake ni derby country fc
Wewe unaongozwa na chuki soma hoja zake na wewe uchambue usifuate mkumbo tu.Hapa watu kama sisi wapenzi wa mpira ndio tutakuelewa tu, lakn wale mashabiki maandazi hawato kuelewa ata kidogo.
Kila siku nitaendelea kusema na sito choka kusema kwamba LAMPARD hafai na hastahili kuifundisha klabu kubwa kama Chelsea. Mbinu zake bado hazijaimprove, inabidi apate timu ndogo huko apate uzoefu na akomae ki mbinu kisha ndio akabiziwe timu kubwa. Kwa sasa Lampard bado sana.
Isingekuwa Leeds United kupanda daraja basi Marcelo Bielsa alikuwa anatufaa sana si huyu Lampard.
Huyo Arteta tutamjudge baada ya msimu huu hayo makombe aliyochukua yatatupa majibu msimu huu unapoisha.Katika hawa makocha watatu Ole, Lampard na Arteta. Arteta amewaacha mbali sana ole na Lamp kitactics, game plan. Arteta anashinda mechi kimbinu ubora wa wachezaji unakuja baadae. Lampard anategemea ubora wa wachezaji, uwezo binafsi wa mchezaji. Uchezaji wa 1half hauna tofauti na 2nd half. Uchezaji wa kabla ya kufungwa hauna tofauti na uchezaji baada ya kufungwa. Timu haina morale, poor organization, poor game plan, poor tactics, poor coach.
Tumvute Harvert mara moja. Anarekodi nzuri ya kutupiaKai Havertz hakuudhuria fitness test na Leverkusen na kocha wake Peter Bosz amekiri kuwa hategemei tena kumuona Kai mazoezini na Leverkusen
"Leon Bailey also wasn’t there. Unfortunately our squad isn’t set yet.
"I don’t expect Volland and Havertz to train with us again.
"It’s possible more players will transfer and we definitely still have to add some players."
Said Bosz
View attachment 1554219
Mkuu usimuite mwenzako kichwa ngumu ikiwa wewe mwenyewe unatoa uharo tu. Yaan wingi wa kura ndio unaamua kocha ni mzuri au mbaya utakua uko sawa kiakili wewe?Hawa ndio vichwa ngumu wanaoongelewa.
Linapokuja suala la kocha kutokuwa mzuri, hatuangalii kama bodi ya timu imempenda au la.
Leo zipigwe kura kwa mashabiki wa Chelsea duniani kote kuamua kama Lampard anafaa kuimanage timu kama Chelsea mpaka muda huu, tegemea 70% ya majibu kuwa HAPANA!
Ni kiasi cha muda tu, mtaanza kuzozana wenyewe kwa wenyewe humu.
Lampard ndio kwanza anaingia kwenye msim wake wa 3 tangu awe kocha na washaaanza kupata wasiwasi kazi kumuombea mabaya maana tangu anakuwa kocha wetu walisema hivi hivi sasa msim huu amekuwa kafanya usajili wanaanza kumuombea afukuzweHuyo Arteta tutamjudge baada ya msimu huu hayo makombe aliyochukua yatatupa majibu msimu huu unapoisha.
Lamps ndani ya msimu huu hajafanya sajili na ndio msimu wake wa kwanza PL amemaliza top four huyo Arteta na Sosha wapo PL misimu mingapi sijui sa ivi lakini anayeongoza kupigwa vijembe ni Lamps. Kwanini?
Hofu imetanda hawajui watamzuia vipi msimu ujao.
Kilicho baki kwa havertz ni kutangazwaTumvute Harvert mara moja. Anarekodi nzuri ya kutupia
Kaanzishe hiyo poll halaf uangalieHawa ndio vichwa ngumu wanaoongelewa.
Linapokuja suala la kocha kutokuwa mzuri, hatuangalii kama bodi ya timu imempenda au la.
Leo zipigwe kura kwa mashabiki wa Chelsea duniani kote kuamua kama Lampard anafaa kuimanage timu kama Chelsea mpaka muda huu, tegemea 70% ya majibu kuwa HAPANA!
Ni kiasi cha muda tu, mtaanza kuzozana wenyewe kwa wenyewe humu.
Kweli anahitaji mudaKweli kabisa LAMPARD alipewa timu katika mazingira magumu kama:-
1. Hazard aliondoka
2. kuondoka Babu Sari (Kocha mpya kwa wachezaji)
3. Ban ya kutofanya usajili.
4. Uchanga wa Lampard Epl kama kocha
Tuseme ukweli Mungu anatuona, sidhani kama kuna shabiki yoyote wa Chelsea duniani alitegemea timu ingemaliza TOP 4, NEVER.
Mbio za kumaliza Top 4 zilikuja baada ya kuona tupo tupo top 4 muda mrefu, tukapata matumaini tunaweza maliza nafasi za juu.
Jamani Mnyonge mnyongeni haki yake tumpe. Kumaliza TOP 4 ni mafanikio makubwa sana kwetu kwa changamoto tulizopitia msimu huu.
Tumesajili wachezaji wapya msimu ujao ndio tutaanza kuupima ubora wa Lampard. Na hata hivyo tusitarajie sana ubingwa mi naona target iwe kumaliza ndani ya Top 2, Msimu ujao 21/22 tupambanie ubingwa.
Kwakweli mkuu yan mtu anaangalia mechi moja tena ya kirafiki anaanza judgementsKweli kabisa LAMPARD alipewa timu katika mazingira magumu kama:-
1. Hazard aliondoka
2. kuondoka Babu Sari (Kocha mpya kwa wachezaji)
3. Ban ya kutofanya usajili.
4. Uchanga wa Lampard Epl kama kocha
Tuseme ukweli Mungu anatuona, sidhani kama kuna shabiki yoyote wa Chelsea duniani alitegemea timu ingemaliza TOP 4, NEVER.
Mbio za kumaliza Top 4 zilikuja baada ya kuona tupo tupo top 4 muda mrefu, tukapata matumaini tunaweza maliza nafasi za juu.
Jamani Mnyonge mnyongeni haki yake tumpe. Kumaliza TOP 4 ni mafanikio makubwa sana kwetu kwa changamoto tulizopitia msimu huu.
Tumesajili wachezaji wapya msimu ujao ndio tutaanza kuupima ubora wa Lampard. Na hata hivyo tusitarajie sana ubingwa mi naona target iwe kumaliza ndani ya Top 2, Msimu ujao 21/22 tupambanie ubingwa.


YeahKweli kabisa LAMPARD alipewa timu katika mazingira magumu kama:-
1. Hazard aliondoka
2. kuondoka Babu Sari (Kocha mpya kwa wachezaji)
3. Ban ya kutofanya usajili.
4. Uchanga wa Lampard Epl kama kocha
Tuseme ukweli Mungu anatuona, sidhani kama kuna shabiki yoyote wa Chelsea duniani alitegemea timu ingemaliza TOP 4, NEVER.
Mbio za kumaliza Top 4 zilikuja baada ya kuona tupo tupo top 4 muda mrefu, tukapata matumaini tunaweza maliza nafasi za juu.
Jamani Mnyonge mnyongeni haki yake tumpe. Kumaliza TOP 4 ni mafanikio makubwa sana kwetu kwa changamoto tulizopitia msimu huu.
Tumesajili wachezaji wapya msimu ujao ndio tutaanza kuupima ubora wa Lampard. Na hata hivyo tusitarajie sana ubingwa mi naona target iwe kumaliza ndani ya Top 2, Msimu ujao 21/22 tupambanie ubingwa.
.Kwa ubovu huo wa timu pinzani kwa nini Arsenal imemaliza nafasi ya 8? Kwanini Everton na Wolves walishindwa kuingia top four?
Chelsea ndio aliizuia Wolves na Man U kuchukua EL?
Njoo na hoja nzito tuongee siyo huu utumbo
Ila Mwamba you are so unfair, kwamba unauma na kupulizaKweli kabisa LAMPARD alipewa timu katika mazingira magumu kama:-
1. Hazard aliondoka
2. kuondoka Babu Sari (Kocha mpya kwa wachezaji)
3. Ban ya kutofanya usajili.
4. Uchanga wa Lampard Epl kama kocha
Tuseme ukweli Mungu anatuona, sidhani kama kuna shabiki yoyote wa Chelsea duniani alitegemea timu ingemaliza TOP 4, NEVER.
Mbio za kumaliza Top 4 zilikuja baada ya kuona tupo tupo top 4 muda mrefu, tukapata matumaini tunaweza maliza nafasi za juu.
Jamani Mnyonge mnyongeni haki yake tumpe. Kumaliza TOP 4 ni mafanikio makubwa sana kwetu kwa changamoto tulizopitia msimu huu.
Tumesajili wachezaji wapya msimu ujao ndio tutaanza kuupima ubora wa Lampard. Na hata hivyo tusitarajie sana ubingwa mi naona target iwe kumaliza ndani ya Top 2, Msimu ujao 21/22 tupambanie ubingwa.







Mmadiscuss nini sasa hapaa timu libovuuu hilii...Umeongea point mzeeKweli kabisa LAMPARD alipewa timu katika mazingira magumu kama:-
1. Hazard aliondoka
2. kuondoka Babu Sari (Kocha mpya kwa wachezaji)
3. Ban ya kutofanya usajili.
4. Uchanga wa Lampard Epl kama kocha
Tuseme ukweli Mungu anatuona, sidhani kama kuna shabiki yoyote wa Chelsea duniani alitegemea timu ingemaliza TOP 4, NEVER.
Mbio za kumaliza Top 4 zilikuja baada ya kuona tupo tupo top 4 muda mrefu, tukapata matumaini tunaweza maliza nafasi za juu.
Jamani Mnyonge mnyongeni haki yake tumpe. Kumaliza TOP 4 ni mafanikio makubwa sana kwetu kwa changamoto tulizopitia msimu huu.
Tumesajili wachezaji wapya msimu ujao ndio tutaanza kuupima ubora wa Lampard. Na hata hivyo tusitarajie sana ubingwa mi naona target iwe kumaliza ndani ya Top 2, Msimu ujao 21/22 tupambanie ubingwa.