Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi sifuati mkumbo na wala sisemi kisa amesema yeye. Mm nasema kile nakiona kwa Lampard, toka Mwanzo huw nasema kuna wachezaji hawafai kuwa Chelsea pamoja na Lampard wewe mwenyewe ni shahidi. Mtu kama takataka Abraham, Loftus kuku, muoka mikate na wengineo

Lampard bado Sana, kama kuna madogo huwa tunawatoa kwa mkopo ili wakapate uzoefu basi ata Lampard akafundishe vi timu vidogo huko ili apate uzoefu.
Lampard katusaidia tumeingia top 4, tumecheza fainal FA yote hayo zingatia na ufinyu wa kikosi. Labda mlikua mnataka Lampard afanye maajabu gani?
 
Hawa ndio vichwa ngumu wanaoongelewa.

Linapokuja suala la kocha kutokuwa mzuri, hatuangalii kama bodi ya timu imempenda au la.

Leo zipigwe kura kwa mashabiki wa Chelsea duniani kote kuamua kama Lampard anafaa kuimanage timu kama Chelsea mpaka muda huu, tegemea 70% ya majibu kuwa HAPANA!

Ni kiasi cha muda tu, mtaanza kuzozana wenyewe kwa wenyewe humu.
Wewe ni kalabao tu hujui lolote, mbele ya wasomi unakuja na data uchwara
 
Hata PEP akipewa Chelsea atafukuzwa na haimaanishi sio kocha mzuri
Walipita worl class head coaches na wakafukuzwa, akina Conte, Ancelotti na wengineo
Kazi ya ukocha ni kuajiriwa na kufukuzwa
Lampard hana immune ya kutofukuzwa na ukichukulia ni kocha mchanga, ndio kwanza career yake ya ukocha inaanza
Afukuzwe asifukuzwe Lampard ni kocha mzuri na amedhihirisha hilo Derby Count na sasa Chelsea butu aliyoachiwa na Sarri. No playmaker Hazard, Ban mlangoni. Kaachiwa vitoto tu akina Tammy, Mount ndio tuwategemee kwenye ufungaji, akina Tomori, Christensen tuwategemee kwenye ukabaji. Kocha ambaye ligi nzima mechi 38 hakuwa na first 11.
Chelsea itatulia msimu wake wa tatu 2021/22
At least msimu huu atakuwa na first 11 ila itakuwa 50/50 against mancity, liverpool na Man U
 
Ipo siku watu wataelewa unachokisema! Kwa sasa hawawezi kuelewa ......... mi pia nina fikra kama zako kwa kile nachokiona, mi nasubir msimu uanze sijui atatetewa kwa lipi wakat amesajili, mana alikua anatetewa kwa kutokusajili. Ipo siku tutaongea lugha moja humu.
Hayo ni maoni yako na kila mtu anamaoni yake
We maoni yako unamuona lamps ni kocha ambae hana mbinu za kuifundisha chelsea

Na kwa upande mimi bado naamin super frank ni mtu sahihi kuwepo chelsea na atakaetufanya tuanze kupigania ubingwa ndani ya misim miwil ijayo
Siwez kukushangaa na hata siku akiondoka yeye sio wakwanza washapita wengi tu
 
Welcome
stamfordkai22-20200831-0001.jpg
 
Mpka hapo tulipo kaa ni juhudi za wachezaji tu na baadhi ya timu kutokuwa vizuri. Fikiria vizuri kama Arsenal wangekuwa na huyo kocha toka mwanzo hiyo nafasi wangekaa wenyewe.

Lampard hana mbinu zozote zile hakuna tofauti katika kipindi cha kwanza na cha pili, hakuna tofauti tunapo fugwa na pindi hatujafugwa. Nilicho kiona kwa Lampard ni kumiliki mpira tu
Lamps ni takataka
 
Mpka hapo tulipo kaa ni juhudi za wachezaji tu na baadhi ya timu kutokuwa vizuri. Fikiria vizuri kama Arsenal wangekuwa na huyo kocha toka mwanzo hiyo nafasi wangekaa wenyewe.

Lampard hana mbinu zozote zile hakuna tofauti katika kipindi cha kwanza na cha pili, hakuna tofauti tunapo fugwa na pindi hatujafugwa. Nilicho kiona kwa Lampard ni kumiliki mpira tu
Unasema hapo tulipo ni juhudi za wachezaji na bado unawaponda kina Tammy top score wa timu, unawaponda kina Barkley, RLC na kadhalika nashindwa kukuelewa umesimama wapi?

Kama Lampard hana mbinu basi tusingekua hapa tulipo yawezekana tungekua Championship sa ivi. Shida ni kwamba hajafikia expectations zako ndio maana unasema ivyo. Nahisi bado unaamini kwenye mpira kuna kubahatisha ndio maana unasema wachezaji ndio wamechangia kuwa hapa tulipoishia msimu uliopita. Bro hakuna kitu kama hicho kwa sababu ingekua rahisi kwa Wolves kulingana na wachezaji walionao wangeweza ingia top four.

Usichukulie poa kocha ana mchango mkubwa sana mfano waliwahi kumsema sana Zidane anabebwa na wachezaji alionao kipindi kile anachukua UEFA mara 3 mfululizo aliondoka timu ikaanza kuboronga aliporudi baada ya muda mambo yamekaa sawa huku Ronaldo akiwa hayupo. Same kwa Pep akiwa Bayern alikua na utajiri wa wachezaji kibao lakini kila msimu kwenye UEFA anaangukia pua leo hii Bayern hao hapo UEFA wamebeba wakiwa na kocha mwingine mabadiliko ya wachezaji ni Roben na Ribery ndio hawapo sasa utasema hao ndio walimzuia Pep asichukue UEFA akiwa Bayern? Nadhani jibu ni kuwa mbinu zake zilifeli kulingana na wachezaji aliokuwa nao.

Hebu tumuache Lampard afanye kazi yake huu mtindo wa kubadilisha makocha kila msimu ndio unafanya kukosa consistency ya performance. Msimu huu tutaperform msimu ujao maji ya shingo. Yaan haijawahi tokea tumeenda zaidi ya misimu mitatu onform coz kila kocha anapokuja kila kitu kinabadilika. Though mtindo huo umesaidia kubeba makombe ila nahisi boss keshachoka ndio maana wamemuamini Lampard.

Super Frank. Our Past, Our Present, Our Future
 
Unasema hapo tulipo ni juhudi za wachezaji na bado unawaponda kina Tammy top score wa timu, unawaponda kina Barkley, RLC na kadhalika nashindwa kukuelewa umesimama wapi?

Kama Lampard hana mbinu basi tusingekua hapa tulipo yawezekana tungekua Championship sa ivi. Shida ni kwamba hajafikia expectations zako ndio maana unasema ivyo. Nahisi bado unaamini kwenye mpira kuna kubahatisha ndio maana unasema wachezaji ndio wamechangia kuwa hapa tulipoishia msimu uliopita. Bro hakuna kitu kama hicho kwa sababu ingekua rahisi kwa Wolves kulingana na wachezaji walionao wangeweza ingia top four.

Usichukulie poa kocha ana mchango mkubwa sana mfano waliwahi kumsema sana Zidane anabebwa na wachezaji alionao kipindi kile anachukua UEFA mara 3 mfululizo aliondoka timu ikaanza kuboronga aliporudi baada ya muda mambo yamekaa sawa huku Ronaldo akiwa hayupo. Same kwa Pep akiwa Bayern alikua na utajiri wa wachezaji kibao lakini kila msimu kwenye UEFA anaangukia pua leo hii Bayern hao hapo UEFA wamebeba wakiwa na kocha mwingine mabadiliko ya wachezaji ni Roben na Ribery ndio hawapo sasa utasema hao ndio walimzuia Pep asichukue UEFA akiwa Bayern? Nadhani jibu ni kuwa mbinu zake zilifeli kulingana na wachezaji aliokuwa nao.

Hebu tumuache Lampard afanye kazi yake huu mtindo wa kubadilisha makocha kila msimu ndio unafanya kukosa consistency ya performance. Msimu huu tutaperform msimu ujao maji ya shingo. Yaan haijawahi tokea tumeenda zaidi ya misimu mitatu onform coz kila kocha anapokuja kila kitu kinabadilika. Though mtindo huo umesaidia kubeba makombe ila nahisi boss keshachoka ndio maana wamemuamini Lampard.

Super Frank. Our Past, Our Present, Our Future
Umeongea vyema sana mkuu
 
Kweli kabisa LAMPARD alipewa timu katika mazingira magumu kama:-

1. Hazard aliondoka
2. kuondoka Babu Sari (Kocha mpya kwa wachezaji)
3. Ban ya kutofanya usajili.
4. Uchanga wa Lampard Epl kama kocha

Tuseme ukweli Mungu anatuona, sidhani kama kuna shabiki yoyote wa Chelsea duniani alitegemea timu ingemaliza TOP 4, NEVER.

Mbio za kumaliza Top 4 zilikuja baada ya kuona tupo tupo top 4 muda mrefu, tukapata matumaini tunaweza maliza nafasi za juu.

Jamani Mnyonge mnyongeni haki yake tumpe. Kumaliza TOP 4 ni mafanikio makubwa sana kwetu kwa changamoto tulizopitia msimu huu.

Tumesajili wachezaji wapya msimu ujao ndio tutaanza kuupima ubora wa Lampard. Na hata hivyo tusitarajie sana ubingwa mi naona target iwe kumaliza ndani ya Top 2, Msimu ujao 21/22 tupambanie ubingwa.
Halafu Lampard karekebisha madhaifu mengi hasa yaliyoonekana kwenye mechi ya kwanza a Manure ya kupress high na kuacha void katikati mapaka viungo wa timu pinzani kupata mwanya wa kufanya counter.
Falsafa yake ya mwendo kasi inafanya mpira uvutie tofauti na mzee Sarri. Ujio wa akina Werner, Ziyech, Chilwell, Havertz, Silva, uwepo wa mkata umeme Kante na form nzuri ya Gilmour Pulisic, Mount, Kovacic na akina Odoi, Zouma wanaonyesha kuimprove utaifanya Chelsea msimu huu tusiwe na pressure na top 4 na silverware tutapata, hilo halina shaka
Mwaka jana wengi walitutabiria nje ya top 6 na wengine kutupeleka kwenye mid-table kabisa, lakini Lampard kawashangaza kwa kuipeleka timu top 4
Wengi wanamfananisha kimafanikio, Lampard na Sarri kwamba Sarri kaiwezesha timu kushika nafasi ya 3 na pia kabeba Europa
Bila kuzingatia kuwa alikuwepo playmaker Hazard na pia Sarri yeye alishiriki Europa mashindano ya vibonde wakati Lampard kashiriki UCL mashindano ya mabingwa
Pia hawakumbuki kuwa Chelsea na Man U ni kama wameshare nafasi ya tatu kwa maana ya points, Chelsea ana 66 na Man u 66
Pia wanasahahu kuwa Sarri hakuwa na majeruhi through out. Lampard karidhi timu yenye majeruhi wengi akiwemo Kante, Odoi na RLC ambao walianza kukiamsha kandanda safi.
Mimi naamini msimu uliopita ulikuwa ni pre-season kwa Lampard na sasa ndio anaanza ligi akiwa ameijua vizuri EPL kama kocha, mbinu na mikakati. Ni kocha kijana na mwenye akili sana.
Ndio maana EPL walimpendekeza kama kocha bora wa msimu, wao waliona mafanikio ambayo baadhi yetu hatuoni
IN LAMPARD WE TRUST
 
Paulo Tonietto agent told L’Equipe About Silva choosing Chelsea over other top teams

“He is on holiday in Italy, he will be in London between now and the end of the week.

“He is happy to discover the Premier League.

“We had a lot of offers, but Chelsea are one of the world’s top 10 clubs.

“Physically, Thiago can play for another 5 or 6 years at the highest level.

“He is an athlete who looks after himself. He doesn’t drink, he doesn’t smoke, he doesn’t party. His life is home – work, work – home.”
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom