Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mwaka wa ngapi hii kale ka mziki ka champions league mnakasikia kwa jirani?endeleeni kupambana na wolves,Sheffield, everton na Leicester awacheki na kima wanakukabia chini chini huko
Wewe umeenda umekula 7

Arteta ana miez 6 tu, Ndio ana preseason ya kwanza hapa
 
Mwaka wa ngapi hii kale ka mziki ka champions league mnakasikia kwa jirani?endeleeni kupambana na wolves,Sheffield, everton na Leicester awacheki na kima wanakukabia chini chini huko
Maneno iachie khanga, hapa ni picha tu
IMG_20200829_221441.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom