Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea have reportedly submitted a second offer for Rennes goalkeeper Edouard Mendy.

The Blues' first bid of €16m was rejected earlier this week.

Now, according to Goal France, an improved €20m offer has been submitted.

The idea is for the 28-year-old Senegal international to rival Kepa.
 
1598780247396.png
 
Kwenye kusaka ubingwa wachezaji kama Cheek na Barkley sio wa kuwepo kwenye kikosi kwa sasa, viwango vyao vya kawaida sana. Wapelekwe kwa mkopo huko Burnley.

Tunahitaji sub za moto.

Sub:-

James - Moto
Giroud - Moto

Odoi - Vuguvugu
Alonso - Vuguvugu
Mount - Vuguvugu
Jognho - Vuguvugu

Tammy - Baridi
Cheek - Baridi
Christensen - Baridi
Barkely - Baridi iliyoganda
Batshuayi - Baridi iliyoganda jiwe
Unachosema ni kweli, ila kwa muda huu hatutaweza kusajili wote. Ikijitahidi Chelsea kwa sasa ni watatu tu labda ipatikane neema ya kuwauza hao kwa mara moja. Juzi tu Inter walikataa dau la mil 25 kwa Emerson na kwa hiyo kuna uwezekano asiuzwe. Sarri aliyekuwa anamtaka Jorginho hatujui yuko mitaa gani vile. Kuwauza hao garasha itachukua misimu mitatu tena kwa bei ya kutupa

Wanaotakiwa kubaki ukiacha hawa wapya ni
  1. Kante
  2. Kovacic
  3. Pulisic
  4. Mount
  5. Odoi anaweza kuwa backup mpaka akomae
  6. Bill Gilmour
  7. RLC bado anahitajika, majeruhi ilimrudisha nyuma
  8. Tammy bado anahitajika, anaweza kuwa backup mpaka akomae
  9. Zouma
Wanaotakiwa kuuzwa au kutolewa mkopo
  1. Kepa
  2. Tomori
  3. Barkley
  4. Jorgninho
  5. RLC - 50/50
  6. Tammy 50/50
  7. Christensen
Wanatotakiwa kusajiliwa
  1. Kipa no. 1
  2. CB 1 msimu ujao na mwingine msimu unaofuata
  3. Kiungo mbunifu - Creative midfielder
  4. Winger mmoja
 
Kwa mchezo wa jana Chelsea bado wana shida kwenye maeneo kadhaa
  1. Kujilinda na Set pieces, bado Lampard hajapata dawa ya kujikinga na set pieces ambayo ilituua mwaka jana.
  2. Ugonjwa wa kushindwa kucheza baada ya break au baada ya kufunga bao. Mechi nyingi msimu uliopita aidha tulitoa droo au tulifungwa hata baada ya kutangulia kufunga. Sababu kubwa wachezaji kuchoka na sub mbovu ya Kocha
  3. Too much possession without penetration. Hatuwezi kutengeneza nafasi au zikitengenezwa hakuna umaliziaji mzuri. Tunaposes 60% au hadi 70% halafu tunatoa droo au tunafungwa tena na vitimu vidogo kama Brighton
 
Onana imekuwaje?
Cash Money Forever huyo kipa Ni best than onana by far huyo scout wa Chelsea aliyemuona huyu kipa anywe Pepsi big nakuja kulipa huyo kipa ana vitu vingi ambavyo makipa wetu hawana pamoja na huyo onana Kama ifuatavyo

1.Vocal keeper

Ana uleadership ndani yake ana kemea defenders wake wakifanya makosa, anajua kupanga safu yake ya mabeki vizuri.Hii imemfanya kuwa best kwenye set pieces ikiwemo kusave mipira ya hatari ya set pieces, Kingine zaidi anajua kujiposition zaidi kitu ambacho Ni weakness ya Kepa.


2.Anajua kuokoa long shot

Ubora mwingine wa Edouard Mendy ana uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya mbali moja ya Kati ya shot nililoona kwa macho yangu ni wakati naangalia highlight za mechi za league one, nikaona moja ya mechi ilikuwa Kati ya Psg na Rennes huyo kipa alisave shuti Kali la maquinho la nyuzi 90.Na sio tu hiyo game nyingi amekuwa alisave mipira ya namna hiyo.

3.Ni mzuri V one

Ubora mwingine ana uwezo wa kucheza mipira ya ana kwa ana Kama kipa wa Bayern.

4.Ni calmess

Ni kipa mwenye kujiamini alafu sio mbutuaji mipira,Ni mzuri Sana kwenye miguu anaweza kutoa pass nzuri bila pressure kwenye maeneo ya hatari kutokana na ubora wa footage yake nzuri kiufupi Ni kipa mwenye utulivu akiwa na mpira.

NB: Kama Chelsea watamsajili Edouard Mendy kwa upande wangu utakuwa best signing kuliko zote huyu kipa Ni underrated Kama alivyo Ochoa sijui Ni kwasababu Ni mweusi au la? Huyu kipa ukimsajili hautamuhitaji kabisa oblak huyo onana Hana tofauti sana na kepa ila kwa huyu kipa kawapita vitu vingi Sana Kepa na onana.

Ollachuga Oc
lembu
mart66
idawa
Papaa Gx
 
Kwa mchezo wa jana Chelsea bado wana shida kwenye maeneo kadhaa
  1. Kujilinda na Set pieces, bado Lampard hajapata dawa ya kujikinga na set pieces ambayo ilituua mwaka jana.
  2. Ugonjwa wa kushindwa kucheza baada ya break au baada ya kufunga bao. Mechi nyingi msimu uliopita aidha tulitoa droo au tulifungwa hata baada ya kutangulia kufunga. Sababu kubwa wachezaji kuchoka na sub mbovu ya Kocha
  3. Too much possession without penetration. Hatuwezi kutengeneza nafasi au zikitengenezwa hakuna umaliziaji mzuri. Tunaposes 60% au hadi 70% halafu tunatoa droo au tunafungwa tena na vitimu vidogo kama Brighton
Sasa nilikuwa nashangaa watu wanakwambia tunahitaji beki sana kuliko kai wakati kumbe tunamatatizo sana na si moja na baadhi ya kauli zao :"tuachane na kai kwa sababu tuna mount n cheek"..nadhani kwenye mechi ya Jana wamejionea ,hasa hyo point ya mwsho kai anahitajika sana n hopeful tuombe adeliver na asiflop na km anapatikana sokoni wkt huu tena hatuna upinzani kwann tusimchukue potential world class....
 
Kwenye kusaka ubingwa wachezaji kama Cheek na Barkley sio wa kuwepo kwenye kikosi kwa sasa, viwango vyao vya kawaida sana. Wapelekwe kwa mkopo huko Burnley.

Tunahitaji sub za moto.

Sub:-

James - Moto
Giroud - Moto

Odoi - Vuguvugu
Alonso - Vuguvugu
Mount - Vuguvugu
Jognho - Vuguvugu

Tammy - Baridi
Cheek - Baridi
Christensen - Baridi

Barkely - Baridi iliyoganda
Batshuayi - Baridi iliyoganda jiwe
Sioni kama barkley anafuture ya kuwepo pale,
 
Unachosema ni kweli, ila kwa muda huu hatutaweza kusajili wote. Ikijitahidi Chelsea kwa sasa ni watatu tu labda ipatikane neema ya kuwauza hao kwa mara moja. Juzi tu Inter walikataa dau la mil 25 kwa Emerson na kwa hiyo kuna uwezekano asiuzwe. Sarri aliyekuwa anamtaka Jorginho hatujui yuko mitaa gani vile. Kuwauza hao garasha itachukua misimu mitatu tena kwa bei ya kutupa

Wanaotakiwa kubaki ukiacha hawa wapya ni
  1. Kante
  2. Kovacic
  3. Pulisic
  4. Mount
  5. Odoi anaweza kuwa backup mpaka akomae
  6. Bill Gilmour
  7. RLC bado anahitajika, majeruhi ilimrudisha nyuma
  8. Tammy bado anahitajika, anaweza kuwa backup mpaka akomae
  9. Zouma
Wanaotakiwa kuuzwa au kutolewa mkopo
  1. Kepa
  2. Tomori
  3. Barkley
  4. Jorgninho
  5. RLC - 50/50
  6. Tammy 50/50
  7. Christensen
Wanatotakiwa kusajiliwa
  1. Kipa no. 1
  2. CB 1 msimu ujao na mwingine msimu unaofuata
  3. Kiungo mbunifu - Creative midfielder
  4. Winger mmoja
Hatuwezi sajili team nzima ndani ya dirisha moja kama hatuuzi, tutegemee team kukaa sawa msim wa 2021-22
Hapo huenda ata tukafanya 4 signing
 
Kwa mchezo wa jana Chelsea bado wana shida kwenye maeneo kadhaa
  1. Kujilinda na Set pieces, bado Lampard hajapata dawa ya kujikinga na set pieces ambayo ilituua mwaka jana.
  2. Ugonjwa wa kushindwa kucheza baada ya break au baada ya kufunga bao. Mechi nyingi msimu uliopita aidha tulitoa droo au tulifungwa hata baada ya kutangulia kufunga. Sababu kubwa wachezaji kuchoka na sub mbovu ya Kocha
  3. Too much possession without penetration. Hatuwezi kutengeneza nafasi au zikitengenezwa hakuna umaliziaji mzuri. Tunaposes 60% au hadi 70% halafu tunatoa droo au tunafungwa tena na vitimu vidogo kama Brighton
Ujue pre season mda mwingine huwa zinatumika kama match za kuwapa wachezaj match fitness

Na upande wa CB stil hatujaona Comb ya Thiago + na atakao kuwa anacheza nao

Tusubiri hata tucheze our 1st game katika league ndio tutaona mapungufu ila mech ya jana ya RLC kucheza kama namba 10 stil bado ndio maana tunamuhitaji kai
 
Sasa nilikuwa nashangaa watu wanakwambia tunahitaji beki sana kuliko kai wakati kumbe tunamatatizo sana na si moja na baadhi ya kauli zao :"tuachane na kai kwa sababu tuna mount n cheek"..nadhani kwenye mechi ya Jana wamejionea ,hasa hyo point ya mwsho kai anahitajika sana n hopeful tuombe adeliver na asiflop na km anapatikana sokoni wkt huu tena hatuna upinzani kwann tusimchukue potential world class....
Usajili wa Kai mda wowote utatangazwa ni jambo la mda tu,
Tuanze kuexpect wiki hii inayoanza
 
Mpaka sasa sijajua kwann hawa maskauti wetu wameshindwa kumuona beki matata na kisiki James Tarkowski. James Tarkowski ni mchezaji kutoka Burnley mwenye umri wa miaka 27 akicheza nafasi ya CB. Hivi kuna mwenye sababu ya muhimu aniambie kwann tumeshindwa kumsajili huyu beki kisha tukachukua yule babu kutoka PSG. Kama ni uzoefu basi Tarkowski ana uzoefu wa misimu mitatu na ligi ya epl na umri wake si haba.

James Tarkowski beki mmoja alie underrated sana. Jamaa ana kiwango kizuri sana kama ni kufunga anafunga pia anatoa pasi za mwisho. Mpaka sasa bado najiuliza huyu beki inamaana klabu kubwa hazimuoni kabisa.!

Pia Kikosi chetu kinahitaji kiungo mkabaji mwingine, huyu Kante naona majera yanampenda sana tofauti na hivyo naona kuna klabu zisha anza kumvizia. Tofauti na hivyo timu yetu inahangaika sana kuupata mpira pindi inapo poteza hivyo kiungo mkabaji inapaswa tusajili. Mtu kama Sergej Milinkovic Savic kutoka Lazio anatufaa sana ni kiungo mzuri sana alie kwenye kiwango cha juu anafunga na kutoa pasi za mwisho. Pia kwenye kukaba ni mzuri sana na umri wake ni wakwenda.

Kuna taarifa kuwa kante atauzwa ili pesa itakayo patikana asajiliwe Declan Rice. Huu usajili endapo utatokea basi tutakuwa tumelamba dume. Rice anacheza zaidi ya nafasi tatu kwa ufasaha mzuri sana, msimu huu tumeona akitumika kama CM. Westham walikataa ofa yetu ya awali hivyo tunajiandaa kutuma ofa nyingine.
Tukimpata Rice, jorginho inabidi aondoke japo hili deal ni ngumu sana
West ham hawawezi kumuachia hivi hivi
 
Cash Money Forever huyo kipa Ni best than onana by far huyo scout wa Chelsea aliyemuona huyu kipa anywe Pepsi big nakuja kulipa huyo kipa ana vitu vingi ambavyo makipa wetu hawana pamoja na huyo onana Kama ifuatavyo

1.Vocal keeper

Ana uleadership ndani yake ana kemea defenders wake wakifanya makosa, anajua kupanga safu yake ya mabeki vizuri.Hii imemfanya kuwa best kwenye set pieces ikiwemo kusave mipira ya hatari ya set pieces, Kingine zaidi anajua kujiposition zaidi kitu ambacho Ni weakness ya Kepa.


2.Anajua kuokoa long shot

Ubora mwingine wa Edouard Mendy ana uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya mbali moja ya Kati ya shot nililoona kwa macho yangu ni wakati naangalia highlight za mechi za league one, nikaona moja ya mechi ilikuwa Kati ya Psg na Rennes huyo kipa alisave shuti Kali la maquinho la nyuzi 90.Na sio tu hiyo game nyingi amekuwa alisave mipira ya namna hiyo.

3.Ni mzuri V one

Ubora mwingine ana uwezo wa kucheza mipira ya ana kwa ana Kama kipa wa Bayern.

4.Ni calmess

Ni kipa mwenye kujiamini alafu sio mbutuaji mipira,Ni mzuri Sana kwenye miguu anaweza kutoa pass nzuri bila pressure kwenye maeneo ya hatari kutokana na ubora wa footage yake nzuri kiufupi Ni kipa mwenye utulivu akiwa na mpira.

NB: Kama Chelsea watamsajili Edouard Mendy kwa upande wangu utakuwa best signing kuliko zote huyu kipa Ni underrated Kama alivyo Ochoa sijui Ni kwasababu Ni mweusi au la? Huyu kipa ukimsajili hautamuhitaji kabisa oblak huyo onana Hana tofauti sana na kepa ila kwa huyu kipa kawapita vitu vingi Sana Kepa na onana.

Ollachuga Oc
lembu
mart66
idawa
Papaa Gx
Tatizo la Chelsea ni kipa na mabeki wa pembeni na kati apo. Tukimaliza hili tatizo epl tumeula.
 
Mkataba wa Messi bado uko hai,
release clause itatumika kwa anayemtaka kumasajili Messi
Timu itakayomtaka Messi ijiandae kulipa Euro mil 700 kwa sheria za Laliga
Laliga wenyewe wamesema hilo leo kwenye statement yao
La Liga have released an official statement siding with Barcelona and stating any buyer will have to trigger his £630million release clause.
1598823148932.png
 
Donnanruma talks
Chelsea have started talks to sign AC Milan goalkeeper Gianluigi Donnarumma according to the latest reports.

Alongside Mendy, the Blues are interested in the Italian shot-stopper to improve their options in goal.

Football Insider claims Chelsea are beginning to sound out a move for Donnarumma despite bidding for Mendy.

Reports earlier this week also touted Lille’s Mike Maignan as a potential target
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom