Chelsea ya Moto mwaka huu
Pole sana kk.... Inaonekana umeumia sanaMsijidanganye nyiee.. Mnasajili viazi tu, sajili zenu zote ni mbovu!
Nasubiri mpigwe na hizo £90m kwa huyo Hawazi.
Hii ndio tofauti ya timu kubwa na ndogo. Wakati wakubwa wanafanya yao badala na wao wajitahidi wafikie level za wakubwa ndio kwanza unaponda juhudi kama siyo uchawi ni nini?Msijidanganye nyiee.. Mnasajili viazi tu, sajili zenu zote ni mbovu!
Nasubiri mpigwe na hizo £90m kwa huyo Hawazi.
Maneno ya wivu, wao hawakufanya lolote sasa anatuonea gereMsijidanganye nyiee.. Mnasajili viazi tu, sajili zenu zote ni mbovu!
Nasubiri mpigwe na hizo £90m kwa huyo Hawazi.
Acha kujidanganya wewee! Kwa kikosi hiki hupati chochote msimu huuPULISIC - WERNER - ZIYECH
KOVACIC - KANTE - HARVETZ
CHILWELL - RUDGER - THAIGO- AZIPU
SUB:- Odoi, Giroud, Joginho, Zouma, Alonso, Mount, James.
JUKWAANI:- Tammy, Barkely, Christensen, Ermason, Barkely, Cheek, Batshuayi
Throw Back FridayAcha kujidanganya wewee! Kwa kikosi hiki hupati chochote msimu huu
Ni wivu tuu unakusumbua msimu ulioisha mlisema ivyo ivyo mwaka huu mtajuta kutu fahamuHamna timu humu, mjiandae kushuka daraja
kwa upande wangu nhisi mechi za mwanzo timu itakua Hain chemistry nzur has ukizingatia maaingizo mapya ni mengi hii ni changamotoCHANGAMOTO KWA LAMPARD
- Kwa sajili tulizofanya mpaka sasa za wachezaji bora kila idara LB, CB, CF, RW, ATM naamini msimu ujao timu yetu ina kila sababu ya:-
1. Kucheza mpira mzuri
2. Kutoa changamoto kwenye kuwania makombe
- Changamoto itabaki kwa kocha kuorganize wachezaji kila idara, kuja na mfumo + mbinu za kiufundi zaidi, iwe rahisi kwa timu kufunga na ngumu kufungwa.
- Zile kauli za msimu ulioisha zisiwepo tena kama tulichezea mpira sana, tumetengeneza nafasi nyingi sana lakini tumeshindwa kufunga.
- Naamini Lampard atakuja kivingine kimbinu
KILALAHERI LAMPARD.
Utawau wakaushie tuTuendelee kuleta data au tuache?
- Thiago Silva - 510 apps, 32 goals
- Maguire + Lindelöf - 715 apps, 31 goals
- Ben Chilwell - 146 apps, 6 goals
- Luke Shaw + Bissaka - 307 apps, 2 goals..
- Timo Werner - 324 apps, 167 goals
- Martial + Rashford - 512 apps, 158 goals
Sio kwamba team itakosa Chemistry kwa sababu teyali Lampard kashaweka system yake inayoeleweka wa kiuchezaji na inawafit wachezaji tuliowasajili.Kweli kabisa nakuunga mkono
Saa ngapi?Kesho friendly match kujiandaa na ligi vs brighton
Nahic SAA 11 jioniSaa ngapi?
Asante mkuu.Nahic SAA 11 jioni
Mbona Arsenal huwa inakutesa sn mkuu[emoji1787][emoji1787]Viungo vya fahamu vyote vinakuwasha unatamani usiingize timu uwanjani maana ushaanza kuhisi dhahama inakuja.
Jamani waoneeni huruma Arsenal