Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

chelsea NEWS:
Official: Chelsea confirm signing of Malang Sarr of five-year deal but will loan French defender straight out... with Bayer Leverkusen one of teams interested in what could be a sweetener to secure Kai Havertz deal.
IMG_20200827_211615_744.jpg
 
Malang Sarr First Words after Signing to Chelsea

"Blue is the colour! Happy and grateful to sign for Chelsea FC.

"Thanks for the love and support! Let's get to work and achieve big things together."


1598559340660.png
 
Messi ni follower wa Chelsea FC kwenye Twitter account
Je hii si ndio dalili kwamba moja ya timu yake pendwa ni Chelsea baada ya Barcelona?
 
Messi anakuja City,mpeni hii habari babu Silva maana akishapinduliwa Mara mbili tu lazma aende hospital,
Mwaka was ngapi huu hakuna EPL ?naamini mtavunja record yetu ya miaka 50 ,endelea kuwaza ya babu Silva wakati arsenal champions league qualifying imegoma mwaka wa NNE.
 
Adourd Mendy kanunuliwa Paundi 3.5 mwaka jana, mwaka huu kwa sababu Chelsea kampenda anauzwa Paundi 45m. Kweli tajiri akiingia sokoni vitu vyote hupanda bei zaidi ya mara 10
Rennes signed Mendy from Reims for just £3.6million in August 2019 and a £45m deal with Chelsea would mean his value has risen by over 10 times in one season.
 
Adourd Mendy kanunuliwa Paundi 3.5 mwaka jana, mwaka huu kwa sababu Chelsea kampenda anauzwa Paundi 45m. Kweli tajiri akiingia sokoni vitu vyote hupanda bei zaidi ya mara 10
Rennes signed Mendy from Reims for just £3.6million in August 2019 and a £45m deal with Chelsea would mean his value has risen by over 10 times in one season.
Sioni hili deal likitokea kwa hiyo hela
Better utoe hiyo umchukue nick pope ambaye ashaprove ni gk mzuri
 
  • Thiago Silva - 510 apps, 32 goals
  • Maguire + Lindelöf - 715 apps, 31 goals
  • Ben Chilwell - 146 apps, 6 goals
  • Luke Shaw + Bissaka - 307 apps, 2 goals..
  • Timo Werner - 324 apps, 167 goals
  • Martial + Rashford - 512 apps, 158 goals
Tuendelee kuleta data au tuache?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom