Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

kwa niaba ya mashabiki wote wa Manchester United duniani kote napenda kuwapa Chelsea hongera sana kwa ushindi wenu dhidi ya Barcelona!hongereni sana wakuu

hivi niulize...dunia nzima kuna mshabiki pure yeyote wa man utd anayeipenda Barcelona?
 
kabla ya mechi ya leo barcelona na chelsea wamekutana mara 10 champions league , wote wameshinda mara 3 na draw game 4
 
hongereni sana wadau tumekuwa pamoja tangu mwanzo, hongera chelsea ingawa mi sio shabiki wa chelsea mmenifurahisha kuwapa dozi hao majamaa(uefalona)
 
kwa leo hongera za dhati darajani..Rev. Masa usikeshe na Invisible toa misamaha ya ban kusherehekea huu ushindi...hata sangria yangu leo haishuki vizuri, mtamtambua Messi huko Catalunya!!
 
kwani shida nini mkuu ? bado anaumwa ama nikuogopa kuumia ? maana niyeye peke yake naemwona anavaa hicho kitu.

mkuu jamaa alishawahi kupasuku bupulu(fuvu) la kichwa hiyo ni kwa usalama wake hata yule beki wa Inter Milan Cristian Chivu na yeye alishawahi kupasuka fuvu la kichwa anavaa pia ingawa alishapona kabisa
 
kwa leo hongera za dhati darajani..Rev. Masa usikeshe na Invisible toa misamaha ya ban kusherehekea huu ushindi...hata sangria yangu leo haishuki vizuri, mtamtambua Messi huko Catalunya!!

tatizo sio messi tatizo ni uefa official match ndio watakao fanya maamuzi na maamuzi hayo ni vizuri akawaulize milan kilicho wakuta pale camp no loose na utasikia drog in the red au ramiles kadi ya njano ilimradi wakufungeni ili mpate kuwa sema vibaya maana ndivyo walivyo zoea..:car:
 
normally CHELSEA hawana masihara na vitoto kama barca.

always barca huwa hawana bahati na uiengereza ila baba huko kwao na siku zote wanaanzia uk ili waje wamalizie kiporo chao maana wanafitina hata kina timbe sijui rage hwaoni ndani sijui maana ya mungu mengi itakuwa kama looserpool imechuka champs halafu msimu ujao haipo..

ila di mateo ilizi yake kali mazee anatumia filosofia ya pep huongei yaani action tu ndio zinafanyika kona kumi kwa moja ila mwisho wa siku you are the champs ni vizuri..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom